NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Kwa hali ya mabando jinsi ilivyo kwa sasa kuna shida kubwa kwenye kudownload mafaili, kufa kufaana mwanangu! penye shida mpya huwa pana mlango wa fursa mpya.
Ttcl hasa kwenye majiji wanatoa unlinited internet ya fiber kupitia nyaya za kwenye nguzo hasa maeneo ya town, unavutiwa waya nyumbani, ofisini au kwenye frem yako kisha unalipia elf 55 kwa mwezi kwa speed ya kudownload GB 7 ndani ya lisaa.
Sasa hapa cha kufanya unaenda town maeneo yenye nguzo za fiber, unakodisha frem hata ndogo tu ya elf 60 kwa mwezi.
Humo ndani utaweka viti kama vitatu, meza na Pc walau iwe na TB 4, wala hakuna haja kujaza vitu, kazi zote zinafanywa kwa PC.
Mtu akihitaji faili unamshuhia hapo hapo ama anaweza kupitia.
-muvi huwa ni takribani GB 1 hadi 3
-Series ndefu huwa ni takribani GB 10 na kuendelea
-windows huwa ni takribani GB 4
-Softwares zipo kibao za size ndogo hadi zenye Gb 20 kama adobe full pack
-Games kama za playstation huwa zinatembea kwa wastani GB 70 (zipo zenye 100+)
-Video za miziki zile HD huwa ni Mb 100 hivi, akiweka miziki 10 ni kama GB
hivi vingi utavipata kwenye mitandao ya torrents kwa hivyo inakubidi uongezee elf 15 ya huduma ya kudownload moja kwa moja kwa spidi ya juu, huduma pendwa huwa ni real debrid.
kuhusu video za youtube hizi unaweza kuzidownload bure.
Muhimu uwe na hard disk kubwa iwe hata na TB 4, vitu vingine sio kudownload kila muda, unavitunza ili mtu akihitaji unamhamishia hapo hapo fasta ila kwa bei zile zile tu za kudownload ama mnaweza kuelewana.
Kwenye bei hapa itategemeana na ukubwa wa faili.
Ttcl hasa kwenye majiji wanatoa unlinited internet ya fiber kupitia nyaya za kwenye nguzo hasa maeneo ya town, unavutiwa waya nyumbani, ofisini au kwenye frem yako kisha unalipia elf 55 kwa mwezi kwa speed ya kudownload GB 7 ndani ya lisaa.
Sasa hapa cha kufanya unaenda town maeneo yenye nguzo za fiber, unakodisha frem hata ndogo tu ya elf 60 kwa mwezi.
Humo ndani utaweka viti kama vitatu, meza na Pc walau iwe na TB 4, wala hakuna haja kujaza vitu, kazi zote zinafanywa kwa PC.
Mtu akihitaji faili unamshuhia hapo hapo ama anaweza kupitia.
-muvi huwa ni takribani GB 1 hadi 3
-Series ndefu huwa ni takribani GB 10 na kuendelea
-windows huwa ni takribani GB 4
-Softwares zipo kibao za size ndogo hadi zenye Gb 20 kama adobe full pack
-Games kama za playstation huwa zinatembea kwa wastani GB 70 (zipo zenye 100+)
-Video za miziki zile HD huwa ni Mb 100 hivi, akiweka miziki 10 ni kama GB
hivi vingi utavipata kwenye mitandao ya torrents kwa hivyo inakubidi uongezee elf 15 ya huduma ya kudownload moja kwa moja kwa spidi ya juu, huduma pendwa huwa ni real debrid.
kuhusu video za youtube hizi unaweza kuzidownload bure.
Muhimu uwe na hard disk kubwa iwe hata na TB 4, vitu vingine sio kudownload kila muda, unavitunza ili mtu akihitaji unamhamishia hapo hapo fasta ila kwa bei zile zile tu za kudownload ama mnaweza kuelewana.
Kwenye bei hapa itategemeana na ukubwa wa faili.
-GB 1 hadi 3 shilingi 1,000 kwa kila GB
-GB 4 hadi 10 shilingi 850 kwa kila GB
-GB 11 hadi 20 shilingi 700 kwa kila GB
-Kuanzia GB 21 na kuendelea shilingi 500 kwa kila GB
-Mafaili yasiyozidi Gb kwamfano faili la MB 500 (GB 0.5), shilingi 150 kwa kila MB 100 (GB 0.1)
-GB 4 hadi 10 shilingi 850 kwa kila GB
-GB 11 hadi 20 shilingi 700 kwa kila GB
-Kuanzia GB 21 na kuendelea shilingi 500 kwa kila GB
-Mafaili yasiyozidi Gb kwamfano faili la MB 500 (GB 0.5), shilingi 150 kwa kila MB 100 (GB 0.1)
MAPATO
tutadeal na huduma ya kwanza tu kwenye hesabu za faida / hasara ili kupata makadirio walau ya kuyategemea kwa kudidimiza hesabu za mapato na kukuza hesabu za matumizi
1. wateja wa ku download mafaili - hawa kwa mwezi unaweza kuwahushia mafali ya takribani TB 1 (GB 1000). kwa wastani hapa inaweza kuwa shilingi milioni 1,
2. Wateja wa mafaili ambayo tayari ulisha download - kwa kuwa pc ina hard disk kubwa, mafaili mengine unayatunza, wateja wakija unawahamishia tu ama unaweza kuzuga una download wapitie badae, mfano kama muvi mpya, series mpya, window mpya, n.k. file moja unaweza hamishia hata watu 10 kuanzia wapenzi wa series, mafundoi computer, mafundi simu, n.k.
3. Huduma za ziada - unaweza kujiongeza ku install windows, games, software n.k.
MATUMIZI
Internet - 55,000
frem - 100,000
vingine - 245,000
JUMLA - 400,000
FAIDA
Mapato ya milioni 1 - matumizi ya laki 4 = 600,000 ( Laki 6 )
Haya ni mkadirio tu.
tutadeal na huduma ya kwanza tu kwenye hesabu za faida / hasara ili kupata makadirio walau ya kuyategemea kwa kudidimiza hesabu za mapato na kukuza hesabu za matumizi
1. wateja wa ku download mafaili - hawa kwa mwezi unaweza kuwahushia mafali ya takribani TB 1 (GB 1000). kwa wastani hapa inaweza kuwa shilingi milioni 1,
2. Wateja wa mafaili ambayo tayari ulisha download - kwa kuwa pc ina hard disk kubwa, mafaili mengine unayatunza, wateja wakija unawahamishia tu ama unaweza kuzuga una download wapitie badae, mfano kama muvi mpya, series mpya, window mpya, n.k. file moja unaweza hamishia hata watu 10 kuanzia wapenzi wa series, mafundoi computer, mafundi simu, n.k.
3. Huduma za ziada - unaweza kujiongeza ku install windows, games, software n.k.
MATUMIZI
Internet - 55,000
frem - 100,000
vingine - 245,000
JUMLA - 400,000
FAIDA
Mapato ya milioni 1 - matumizi ya laki 4 = 600,000 ( Laki 6 )
Haya ni mkadirio tu.