Nimeangalia Match ya EPL Bure bila DSTV kwa kutumia kifaa hiki..

Forest Hill

JF-Expert Member
Mar 4, 2018
1,875
3,580
Kwa wapenzi wa soka Weekend tukiwa hatuna mishe tunajifungia ndani tunaangalia mpira au tunasogea vibanda umiza kupata burudani,Mimi binafsi huwa naangalia mechi zote za jumamosi na jumapili,you may call me fanatic but football ndio ulevi wangu,

DStv vifurushi daily vinapanda kwa uchumi ulivyo mgumu mwaka huu sijaangalia mechi nyingi sana maana sikua nalipia subscription so nilikua naenda Bar naangalia mechi moja narudi kulala,

nikawa natafuta ufumbuzi nifanye Nini niweze kuangalia mechi online?jamaa yangu akanipa link ya Twitter,kila siku wanazifungia,katika kupita pita nikakutana na hii kitu kinaitwa MEDIA BOX,ukiwa na Smart tv,unachomeka kupitia HDMI,unaunganisha na internet tv yako ya Android,utaziona channels zote, movies, Mpira,Music, Documentaries,News,Mimi mpira huwa naangalia Kuna channel inaitwa fubotv,mechi zote ni 4K UHD,mind you, Internet Ina tumia data za kutosha kidogo.. ENJOY
1711825306540_1.jpg
 
Back
Top Bottom