Click video add on halafu utaona neno get more click hapo zitakuja list za add ons chagua unayotaka halafu download/installhabari chief... nimejaribu hio watchmojo ila sijafanikiwa kupata channel za muziki na sports,na vid25tubes sijaiona msaada mkuu!
Nashukuru sana CHIEF MKWAWA, nimekuwa natumia browser moja kwa moja ku stream soka, sas nitakuwa natumia hii. Je, za Supersport zipo kwenye add-on ipi?
Tumezoea katika maisha yetu tukiangalia Tv basi huduma ile tunaipata kupitia madishi, cable au antenna. siku zinavyosogea mbele na technology ndivyo inavyokuwa na ndio jinsi madish na antenna vinavyopitwa wakati. leo kwenye uzi huu tutaangalia IPTV.
ni nini hii IPTV?
IPTV ni kifupi cha Internet Protocal TeleVision. hii ni aina ya uangaliaji tv kupitia mtandao wa internet ambapo kituo cha tv badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa intern
HATA hii nokia extramusic yangu inakamata?
Unaweza stream YouTube?
Tumezoea katika maisha yetu tukiangalia Tv basi huduma ile tunaipata kupitia madishi, cable au antenna. siku zinavyosogea mbele na technology ndivyo inavyokuwa na ndio jinsi madish na antenna vinavyopitwa wakati. leo kwenye uzi huu tutaangalia IPTV.
ni nini hii IPTV?
IPTV ni kifupi cha Internet Protocal TeleVision. hii ni aina ya uangaliaji tv kupitia mtandao wa internet ambapo kituo cha tv badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa internet.
unawezaje kuangalia IPTV?
utahitaji kifaa chenye internet na uwezo wa kustream ili kuweza kuangalia kama vile smartphone, tablet, laptop, desktop hadi tv zenye internet zinaweza kustream.
internet yenye speed gani inahitajika?
internet yoyote hata ya edge inaweza kustream ila iwe na latency nzuri, zipo stream zinahitaji speed ya 200kbps tu (25KBps). kama una latency ndogo hata internet iwe na speed vp huwwezi kustream live utastream tu vitu ambavyo si live. kujua zaidi kuhusu latency nenda thread hii
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...iwa-na-download-speed-kubwa-ndio-mzuri-2.html
je software gani inatumika kustream hizo tv?
kikawaida browser yenye flash au html5 inaweza kustream tv lakini ukitaka kustream vizuri zaidi software kama VLC au KODI ni muhimu. kutokana na uhaba wa links za vlc nitazungumzia zaidi jinsi ya kutumuia KODI kuangalizia IPTV.
KODI ni nini?
KODI ni software (media centre) ambayo hutumika kuubadili muonekano wako wa simu uwe kama tv na kuweza kuenjoy tv unazotumia na inapatikana kwenye simu, tablet, computer hadi tv
kuidownload nenda website yao hii hapa chini, ni bure haiuzwi
Downloads | Kodi
nikishadownload kodi nini kinafuatia?
utahitaji ku install plugin ili uweze kuangalia tv online. click video add on halafu chagua watchmojo, install halafu ifungue tuone kama itafanya kazi.
KODI imefanya kazi, je siwezi angalia mpira na vipindi vyengine?
unaweza angalia mpira chanell unayotaka kuanzia za ki Africa kama Super sport, za Ulaya kama Sky sport, za Asia kama Bein sport hadi za kimarekani kama NBC cha muhimu uwe na plugin (add ons) husika, hizi plugin za mpira na michezo mengine zinapatikana tu internet mfano mimi plugin yangu ninayotumia inaitwa Vdtube25 ina channell nyingi sana kuanzia mpira hadi movie.
hio hapo juu sky sport 3
uzuri wa hz plugin za kodi zipo tv ni HD na nyengine ni full HD kabisa hivyo internet yako tu.
malipo?
kila kitu kuanzia juu hadi hapa ulipofikia ni bure hutoi pesa, ila hz plugin za bure haziaminiki zipo za kulipia ambazo hazikati ovyo. mimi sijawahi kulipa natumia tu bure ila kama unahitaji service nzuri zaidi unaweza kulipa ila pia kuwa makini na matapeli
tutorial ya kueka na mahala pa kupatia plugins
plugin yangu ninayotumia ya vdtube25
https://seo-michael.co.uk/how-to-install-vdubt25-add-on-kodi-xbmc
website hio hio pia utapata plugins nyingi.
kama una swali lolote usisite kuuliza chini
Hyo plugin yako naipataje chief
Mkubwa nime install na imekubali sasa simu ilizima bt kila nikijaribu kurudi mpaka kwenye zile sky sports nakwama pale mwanzo, nafanyaje kuingia tena
Fata tutorial ya vdtube kuna add on nyingi sana tafuta humo zote Ni channel za mpira
Unakwama mwanzo wapi? Nenda video add on utazikuta list ya add on zote ulizozieka
Mkuu nikijaribu kuchagua jina la TV napokea ujumbe huu "one or more item failed to play, check the log book. Nn laweza kuwa tatizo chief maana step zote nimefata
Njunwa Wamavoko nimeona hao jamaa wa offside fee yao ni pound 11 ila hawajaspecify kama ni one time fee, kwa mwezi au kwa mwaka.
phoenix pia ninayo interface yake ya ukweli sana ila hawana tv nyingi kama vidtube,
then mimi naprefer windows over android kwenye kodi sababu ya games na emulators na nguvu ya kudownload
Offside streams Sky Movie section
Finally nimeweza kuona baadhi ya tv .usichoke kutupa maujanja kama haya mkuuhio ndio hasara ya plugin za bure si tv zote zinafanya kazi, ikikataa moja jaribu nyengine then utajua zipi zinazoonesha na zipi hazioneshi
Tumezoea katika maisha yetu tukiangalia Tv basi huduma ile tunaipata kupitia madishi, cable au antenna. siku zinavyosogea mbele na technology ndivyo inavyokuwa na ndio jinsi madish na antenna vinavyopitwa wakati. leo kwenye uzi huu tutaangalia IPTV.
ni nini hii IPTV?
IPTV ni kifupi cha Internet Protocal TeleVision. hii ni aina ya uangaliaji tv kupitia mtandao wa internet ambapo kituo cha tv badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa internet.
unawezaje kuangalia IPTV?
utahitaji kifaa chenye internet na uwezo wa kustream ili kuweza kuangalia kama vile smartphone, tablet, laptop, desktop hadi tv zenye internet zinaweza kustream.
internet yenye speed gani inahitajika?
internet yoyote hata ya edge inaweza kustream ila iwe na latency nzuri, zipo stream zinahitaji speed ya 200kbps tu (25KBps). kama una latency ndogo hata internet iwe na speed vp huwwezi kustream live utastream tu vitu ambavyo si live. kujua zaidi kuhusu latency nenda thread hii
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...iwa-na-download-speed-kubwa-ndio-mzuri-2.html
je software gani inatumika kustream hizo tv?
kikawaida browser yenye flash au html5 inaweza kustream tv lakini ukitaka kustream vizuri zaidi software kama VLC au KODI ni muhimu. kutokana na uhaba wa links za vlc nitazungumzia zaidi jinsi ya kutumuia KODI kuangalizia IPTV.
KODI ni nini?
KODI ni software (media centre) ambayo hutumika kuubadili muonekano wako wa simu uwe kama tv na kuweza kuenjoy tv unazotumia na inapatikana kwenye simu, tablet, computer hadi tv
kuidownload nenda website yao hii hapa chini, ni bure haiuzwi
Downloads | Kodi
nikishadownload kodi nini kinafuatia?
utahitaji ku install plugin ili uweze kuangalia tv online. click video add on halafu chagua watchmojo, install halafu ifungue tuone kama itafanya kazi.
KODI imefanya kazi, je siwezi angalia mpira na vipindi vyengine?
unaweza angalia mpira chanell unayotaka kuanzia za ki Africa kama Super sport, za Ulaya kama Sky sport, za Asia kama Bein sport hadi za kimarekani kama NBC cha muhimu uwe na plugin (add ons) husika, hizi plugin za mpira na michezo mengine zinapatikana tu internet mfano mimi plugin yangu ninayotumia inaitwa Vdtube25 ina channell nyingi sana kuanzia mpira hadi movie.
hio hapo juu sky sport 3
uzuri wa hz plugin za kodi zipo tv ni HD na nyengine ni full HD kabisa hivyo internet yako tu.
malipo?
kila kitu kuanzia juu hadi hapa ulipofikia ni bure hutoi pesa, ila hz plugin za bure haziaminiki zipo za kulipia ambazo hazikati ovyo. mimi sijawahi kulipa natumia tu bure ila kama unahitaji service nzuri zaidi unaweza kulipa ila pia kuwa makini na matapeli
tutorial ya kueka na mahala pa kupatia plugins
plugin yangu ninayotumia ya vdtube25
https://seo-michael.co.uk/how-to-install-vdubt25-add-on-kodi-xbmc
website hio hio pia utapata plugins nyingi.
kama una swali lolote usisite kuuliza chini
Kupata hiyo unatumia plugin gan na inapatikana wapi
Full Name : S CHHABRACredit Card Number : 4375511745826003
CVC : 698
Expiration Date : 12/2017