mgashi
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 307
- 92
Mkuu hao kwao wanakuambia kuchanganya dini na siasa kwao ni sawa. ila tatizo lipo kwa wakatoliki hawapwasi waongelee siasa wakigusa tu hilo eneo tayari washaambiwa ni wadiniWakati sheikh Mohamed Issa, KUNDECHA, BASALEH, BUNGO, PONDA na wengine wanazunguka nchi nzima kutukana kanisa na kukisema vibaya kanisa na CHADEMA mbona mlikaa kimya bila kukemea?, mlikuwa mnakenua kwa kudhani ni mazuri. MOD pse acha ukweli usemwe na hawa wafitinishaji CCM waumbuke ikibidi siku moja wawaombe radhi WATANZANIA kwa hali hii waliyotufikisha.
Hao mashehe wote wamemuombea kura kikwete misikiti yote Tz wakiongwazwa na Shehe Basahle. Kwa wenyehe kwao si udini, na je? Walilipwa kiasi gani cha pesa? Na ndo maana hata selikari ifanye makosa ya aina yyote hutosikia wanakemea kwa sababau washatiwa mfukoni. h