Jioni hii kuna mikutano miwili mikubwa jijini Mwanza.
JK ametua kumpigia debe mgombea wake wa CCM Laurent Masha dhidi ya Wenje wa CHADEMA.
Ujio wa Dk.Slaa pamoja kampeni ya nguvu dhidi ya mgombea wa CCM imemfanya mgombea wa CCM kutokukubalika kwa wananchi wa jimbo la Nyamagana.
Ama kweli siasa za mwaka huu ni kali maana huyo Wenje amewakosesha usingizi wana CCM kwani hivi karibuni Waziri Benard Membe,Lowassa na Ridhwan Kikwete walifika hapa kujaribu kubadilisha upepo wa kisiasa ambao ni mbaya kwa CCM.
Leo usiku inasemekana JK ana kikao na viongozi wa dini mkoa wa Mwanza baada ya ziara ya Membe ya kutaka kuongea na waisaidie CCM Nyamagana kushindwa.
JK ametua kumpigia debe mgombea wake wa CCM Laurent Masha dhidi ya Wenje wa CHADEMA.
Ujio wa Dk.Slaa pamoja kampeni ya nguvu dhidi ya mgombea wa CCM imemfanya mgombea wa CCM kutokukubalika kwa wananchi wa jimbo la Nyamagana.
Ama kweli siasa za mwaka huu ni kali maana huyo Wenje amewakosesha usingizi wana CCM kwani hivi karibuni Waziri Benard Membe,Lowassa na Ridhwan Kikwete walifika hapa kujaribu kubadilisha upepo wa kisiasa ambao ni mbaya kwa CCM.
Leo usiku inasemekana JK ana kikao na viongozi wa dini mkoa wa Mwanza baada ya ziara ya Membe ya kutaka kuongea na waisaidie CCM Nyamagana kushindwa.