Elections 2010 Kikwete vs Wenje - Mwanza mjini

Mamboleo

Member
Oct 15, 2008
69
38
Jioni hii kuna mikutano miwili mikubwa jijini Mwanza.

JK ametua kumpigia debe mgombea wake wa CCM Laurent Masha dhidi ya Wenje wa CHADEMA.

Ujio wa Dk.Slaa pamoja kampeni ya nguvu dhidi ya mgombea wa CCM imemfanya mgombea wa CCM kutokukubalika kwa wananchi wa jimbo la Nyamagana.

Ama kweli siasa za mwaka huu ni kali maana huyo Wenje amewakosesha usingizi wana CCM kwani hivi karibuni Waziri Benard Membe,Lowassa na Ridhwan Kikwete walifika hapa kujaribu kubadilisha upepo wa kisiasa ambao ni mbaya kwa CCM.

Leo usiku inasemekana JK ana kikao na viongozi wa dini mkoa wa Mwanza baada ya ziara ya Membe ya kutaka kuongea na waisaidie CCM Nyamagana kushindwa.
 
hiyo haitosaidia wananchi HAWADANGANYIKI TENA imekula kwao, hata wakeshe wakisali na kuabudu na kutambika juu imekula kwao hiyo.......:rip: CCM mwisho wenu ni 31-10-2010
 
aaaaaaah,me natamani niwaulize viongozi waliopo madarakani na wanao ondoka kwa nini wana ruhusu uchochezi wa kidini unao fanywa na gazeti la al-huda kila siku
 
I am sorry JF, siamini macho yangu kuwa ni kweli Jamaa karudi tena Mwanza, ninachokumbuka ni kwamba tayari alishaenda Mwanza, kama nakosea naomba kurekebishwa. Kuna nini huko? lazima mwanza tu??? JK, tueleze
 
Kuna mwanafunzi wa SAUT (alikuja ofisini kwetu) anasema Lau alienda kupiga kampeni na kumponda Wenje, bahati mbaya akajikuta imekula kwake na kulazimika kushuka jukwaani kwani wananchi(wapiga kura) walimzomea
 
Kuna mwananchi wa Nyamagana nilikutana naye jana ansema hali ni ngumu sana kwa Masha. Wananchi wameweka wazi hawamtaki Masha hata kwa dawa!!

CCM hawana jipya. They have to let it go and go back to the drawing table to re-startegize!!!:bowl:
 
Dr Slaa kokote kule uliko hakikisha unarudi tena Mwanza kufanya vitu vyako ili kuhakikisha chadema inauteka mkoa huo.
 
Kwa jinsi ninavyojua Nyamagana hawaongozwi na mbuge vipindi viwili, kama Masha atalazimisha basi akipata tu asionekane jimboni kabisa. Vinginevyo, watamfanya kama yule kabla yake.
 
Niijuavyo MZA mimi, hata angekuja na nec nzima sisiemu hawana lao mwaloni. Labda kwa yule bwana wa star tv naye wanachagua m2 siyo chama! Maji ya shingo hayo!
 
kwa ufupi mwanza hatulali kwa izo kelele za kujinadi since last week
watu wanaweweseka sana,,,ngojeni matokeo ya leo!!
 
Jioni hii kuna mikutano miwili mikubwa jijini Mwanza.

JK ametua kumpigia debe mgombea wake wa CCM Laurent Masha dhidi ya Wenje wa CHADEMA.

Ujio wa Dk.Slaa pamoja kampeni ya nguvu dhidi ya mgombea wa CCM imemfanya mgombea wa CCM kutokukubalika kwa wananchi wa jimbo la Nyamagana.

Ama kweli siasa za mwaka huu ni kali maana huyo Wenje amewakosesha usingizi wana CCM kwani hivi karibuni Waziri Benard Membe,Lowassa na Ridhwan Kikwete walifika hapa kujaribu kubadilisha upepo wa kisiasa ambao ni mbaya kwa CCM.

Leo usiku inasemekana JK ana kikao na viongozi wa dini mkoa wa Mwanza baada ya ziara ya Membe ya kutaka kuongea na waisaidie CCM Nyamagana kushindwa.

Usicheze na watu wanaokula samaki wa maji baridi.

Ubongo wao hauna chumvi (hawali pweza wa maji chumvi)
 
Wananchi wa Nyamagana sio wajinga kiasi hicho kuona kama Masha anawatumia kwa manufaa yake zadi. Huyu alikataliwa toka 2005 ikalazimishwa kuwa yuko karibu na JK na ataupata uwaziri. Hakupata ubunge kwa utashi wa wananyamagana. I guess they were right. Kama waziri kuna kitu anachoweza kujivunia kama kiongozi zaidi ya routine work ya kusaini vocha, kujibu maswali bungeni. Kuna kitu anachoweza kujivunia kama WZ Magufuli? Badala ya kutumia nguvu nyingi ni vizuri kuheshimu maoni ya wananchi.
 
Jioni hii kuna mikutano miwili mikubwa jijini Mwanza.

JK ametua kumpigia debe mgombea wake wa CCM Laurent Masha dhidi ya Wenje wa CHADEMA.

Ujio wa Dk.Slaa pamoja kampeni ya nguvu dhidi ya mgombea wa CCM imemfanya mgombea wa CCM kutokukubalika kwa wananchi wa jimbo la Nyamagana.

Ama kweli siasa za mwaka huu ni kali maana huyo Wenje amewakosesha usingizi wana CCM kwani hivi karibuni Waziri Benard Membe,Lowassa na Ridhwan Kikwete walifika hapa kujaribu kubadilisha upepo wa kisiasa ambao ni mbaya kwa CCM.

Leo usiku inasemekana JK ana kikao na viongozi wa dini mkoa wa Mwanza baada ya ziara ya Membe ya kutaka kuongea na waisaidie CCM Nyamagana kushindwa.

poa.. hii ni habari njema kwa lau
 
Leo habari zilizopo ni kuwa vijana kwa wazee wengi wamejitolea kuwa mawakala wa Wenje hata kama kutakuwa hakuna malipo yeyote kwao,wako tayari kwa ulinzi wa kura. Wapambe wa Masha wanaendelea na vikao visivyo rasmi Mwanza Hotel na Mwanza Institute Club kutafuta njia za kunusuru anguko hili.
Nadhani kinachotafutwa sio ushindi tena ila kunusuru asishindwe kwa aibu kubwa. Wamekata tamaa.
 
.........na Ridhwan Kikwete walifika hapa kujaribu kubadilisha upepo wa kisiasa ambao ni mbaya kwa CCM.

Naomba kufahamishwa - huyu Ridhiwani Kikwete ana nafasi/cheo gani ndani ya CCM/Serikali ya Baba yake??
 
Kwa nini asiwaite kina Lowassa, Karamagi, Rostam na Chenge wamuongezee nguvu kwenye Kampeni?
 
Mwaka huu atachezza sindimba mpaka achoche lakini ni CHADEMA tu, Mungu naye yupo Upande wetu
 
Masha - it is QED - rudi IMMMA(+ Karume+Kikwete+Chenge) uendelee kuwatetea MAFISADI
 
Mungu amesha tuvusha kwenye matope, nawashangaa wasio jua kuwa tuko mbali kwa sasa.
 
Back
Top Bottom