Angalia isije ikawa wanapanga wizi mkubwa wa kura kwani kwao piga ua lazima washinde. Huyo jamaa aliwahi kuniambia lazima ajenge jengo kama lile la Mafuta pale Posta. Hivyo uwaziri ndiyo njia yake ya kuchuma zaidi.Leo habari zilizopo ni kuwa vijana kwa wazee wengi wamejitolea kuwa mawakala wa Wenje hata kama kutakuwa hakuna malipo yeyote kwao,wako tayari kwa ulinzi wa kura. Wapambe wa Masha wanaendelea na vikao visivyo rasmi Mwanza Hotel na Mwanza Institute Club kutafuta njia za kunusuru anguko hili.
Nadhani kinachotafutwa sio ushindi tena ila kunusuru asishindwe kwa aibu kubwa. Wamekata tamaa.
Ama kweli mwaka huu si mchezo..Kama sikosei JK anakwenda Mwanza hii ikiwa ni mara tatu. Kama nimekosea naomba mnisahihishe!
Naomba kufahamishwa - huyu Ridhiwani Kikwete ana nafasi/cheo gani ndani ya CCM/Serikali ya Baba yake??
Huo ni uzushi mtupu, Wenje anachangiwa hata mafuta ya gari atatoa wapi pesa za kuwahonga wanafunzi wa CBE? hizo tabia halisi za CCM haziwezi kuigwa na CHADEMA. HIvi sasa Wenje yuko uwanja wa Milongo wakati JK yuko viwanja nvya Sahara ,lakini huwezi amini idadi ya mahudhurio ya Wenje yalivyo.Kwa habari nilizo zipata sasa hivi jana wpambe wa Masha waliwakutanisha Masha na wanafunzi wa CBE tawi la mwanza.....waliwanunulia chakula na kuwapatia fedha 10k each person attended the meeting.....rushwa hiyo
Huo ni uzushi mtupu, Wenje anachangiwa hata mafuta ya gari atatoa wapi pesa za kuwahonga wanafunzi wa CBE? hizo tabia halisi za CCM haziwezi kuigwa na CHADEMA. HIvi sasa Wenje yuko uwanja wa Milongo wakati JK yuko viwanja nvya Sahara ,lakini huwezi amini idadi ya mahudhurio ya Wenje yalivyo.
JK kaweka record mpya kwa kuwa rais wa kwanza TZ kupigiwa kampeni na familia badala ya makada wa chama!!!!! Very shameful!!!!!
CCM ya sasa ni ccm family -baba, mama, na mtoto jumlisha na mafisadi!Naomba kufahamishwa - huyu Ridhiwani Kikwete ana nafasi/cheo gani ndani ya CCM/Serikali ya Baba yake??
Huo ni uzushi mtupu, Wenje anachangiwa hata mafuta ya gari atatoa wapi pesa za kuwahonga wanafunzi wa CBE? hizo tabia halisi za CCM haziwezi kuigwa na CHADEMA. HIvi sasa Wenje yuko uwanja wa Milongo wakati JK yuko viwanja nvya Sahara ,lakini huwezi amini idadi ya mahudhurio ya Wenje yalivyo.
Kwa habari nilizo zipata sasa hivi jana wpambe wa Masha waliwakutanisha Masha na wanafunzi wa CBE tawi la mwanza.....waliwanunulia chakula na kuwapatia fedha 10k each person attended the meeting.....rushwa hiyo
[CCM ya sasa ni ccm family -baba, mama, na mtoto jumlisha na mafisadi!/QUOTE]
Yaani hata sisiem mtandao hawamo?
Dr Slaa kokote kule uliko hakikisha unarudi tena Mwanza kufanya vitu vyako ili kuhakikisha chadema inauteka mkoa huo.