Kikwete to USA (May 2009)

Ni nafasi adhimu hiyo pamoja na dhihaka zenu kupata audience na US President sio mchezo, yes atatembeza bakuli na hatotoka mtupu.

Mmekalia majungu tu....

Wabongo manapenda vya rahisi wenzenu wafanye kazi nyie mtege bakuli angalia...isije ikawa kuna masharti. Nyie fyenu mwawapa tu wachache wajilie then mnasifia kuwa hatotoka mikono mitupu thats a shame.

Tupambane hapa hapa bongo mbona jamaa kwa kukubalika kwake kulikojengwa na aiba yake na pia vyombo vya habari angetaka kufanya mabadiliko angeweza kwani hii nchi ina kila kitu INACHOTAKIWA HUYU MWONGOZAJI AWE NA VISION SIYO KUWA NA VISION YA KUTANGULIZA BAKULI KILA KIONGOZI AINGIAYE MADARAKANI. MBONA KULE SAMORA NA MITAANI MNAWATIMUA OMBAOMBA WAKATI KAMA NCHI MNAOMBA!!! TUFANYE KAZI TUTAFUTE VYETU SIYO KWENDA KUJIDHALILISHA HUKO ETI KWA KUWA OBAMA NI JIRANI YETU....TUNACHEMKA YULE NI RAISI WA USA NOT EA.
 
dailyhabari

Michuzi kaweka transcript ya maongeazi.. BO kamsifia sana JK na serikali yake na alikua anataka kujua atasaidiaje Africa kiuchumi na kuondoa conflicts... Amemuagiza Hillary afuatilie na ameomba JK atoe recomendations and that is what he did and will continue to do since its an on goin process. Kasema yeye amekuwa wakwanza kumuona kwasababu ya utawala bora.. (many here disagree) lakini compare with the rest of this continent and then ongea tena..! Katika nchi zaidi ya 50 I'm sure tuko top 5 kwa 'good governance' so its not such a bad thing. Mimi nashangaa mmemuattack sana.. JK on this, eti Vasco... that made my day though,too funny.. JF.. nakupenda

Truly URs K.

Mkuu sasa wewe kama wewe unasemaje? Obama kusifia ni sawa? Maana tusisahau kuwa yule ni USA Prez hicho akitamfanya aseme tz mbaya au uongozi mbaya wakati anajua nchi yake inabenefit kwa mengi au in future itabenefit.

Tunachotaka sisi ni kuwa AFRICA ijitegemee yenyewe ifanye maamuzi yake siyo hawa watufanyie maamuzi yatakayo tuletea maendeleo siyo kusifiwa kusiko na tija kwani sifa zinaondoa njaa, kujenga mashule, kujenga mahospitalo etc?

MIMI SIPENDI KUWEKA MKONO MBELE KWA KILA KIONGOZI HII NI HATARI TUTAUZWA TWAJIONA OHHH!!!
 
kwi kwi kwi rais anadesa mazungumzo kha! hii kali akiambiwa ahutubie je bila kidesa si itakuwa aibu wazee is is is is kibao hahahaha
 
Nani ana-jali? Hakutobadirisha maisha ya kila siku ya mtanzania.

Me namishangaa so akiwa wa kwanza ndio wafu wa mabomu ya kizembe ya Mbagala watafufuka? Natamani wanaposema rais wa kwanza wa africa kumtembelea Obama waongezee "KUTOKA NCHI MASIKINI ZAIDI DUNIANI LAKINI PIA YENYE UTAJIRI MKUBWA ZAIDI NA INAYOONGOZWA NA RAIS ANAYEAMINI KATIKA MAENDELEO YA NCHI KUPITIA MISAADA PEKEE "
 
THIS IS TERRIBLE!
lakini wakuu mambo ya KUDESA yanaanzia vyuo vyetu vya elimu ya juu!nakumbuka huu mchezo pale juu UMESHIKA SANA KASI YA AJABU
 
ni aibu!lakin pia INTELLECTUALS wa kizaz hichi waichukue hiyo KAMA CHALLENGE!hasa hasa wanafunzi walioko mavyuoni kipindi hichi
 
Mamekwenda huku bila waziri anashughulikia mambo ya TECHNOLOGY.................Sasa sijui watakuja kumwadisia walivyokwenda CISCO,IBM..............kaaaaaaaaaaaaazi kweli2
 
Matunda yapo, unataka tuanze kuzitaja?
1. Safari ya Bush TZ na Millenium.....
2. Kupata Misaada (soma MIKOPO)
3.
4
5.....

Umasikini wa mawazo ni mbaya zaidi kuliko umasikini wa mali. Hivi kweli Watanzania tunafurahia kuwa ombaomba? Wakati wenzetu Kenya kabla ya uchaguzi ulioleta machafuko ya kisiasa walikuwa wamefikia lengo la kutotegemea tena misaada kwenye bajeti yao ya mwaka mzima, sisi bado tunalia lia tu na kuona kama vile hatuwezi kujitegemea wenyewe. Huo ni uvivu wa kifikiri uliojaa vichwani mwa viongozi wetu, na wananchi nao tunafuata mkondo huo huo.

Our leaders are the reflection of ourselves!!! So sad though!!!
 
kwi kwi kwi rais anadesa mazungumzo kha! hii kali akiambiwa ahutubie je bila kidesa si itakuwa aibu wazee is is is is kibao hahahaha

Ajenda yake kubwa ilikuwa kuomba misaada na kichwani kwake hajui wananchi mna matatizo gani; ndio maana lazima aandikiwe. matatizo ya barabara, madawa, elimu, maliasili, nk. Bila kusoma atayajuaje? Mara ya mwisho wa sweden walipomwuliza swali la haraka haraka kuhusu tatizo la barabara nchini alikurupuka na kusema chalinze kwenda tanga ni moja ya barabara muhimu sana kwa kwa uchumi wetu kwa sababu ya kuunganisha bandari zetu, malori mengi sana yako kwenye foleni muda mwingi.
 
attachment.php

Wakuu, tunaweza kuipatia captions hii picha. Maana hayo macho ya Obama mh!... Captions zitaipa uhai zaidi (Besides its T.G.I.F)
 
Huyu kwa mwaka anakwenda Nyamwezi mara ngapi?



Sina Ushahidi ila huenda anajijengea mazingira ya kuhifadhi kibinafsi...!! Na huko si ndiko Balali hai mfu aliko ?

Viongozi wetu huenda wanatumia nchi za ughaibuni ktk kujijengea misingi ya kitapeli !!!

Kama ni misaada anatafuta , Nadhani posho na marupurupu ya safari na fedha zile za Epa na zingine zilizotumika katika uhujumu wa uchumi zingetosheleza zaidi ya hiyo chache anazo kwenda kuomba this time !

Juzi Jk tumepanda KLM akielekea Europe na akiwa na mama Mkapa na wenzio, Leo USA kesho China wakati anaacha nchi inatekea..!!
 
Namtakia kila la kheri Rais wa Tanzania kwa kila juhudi anazozifanya katika kuleta mandeleo ya nchi yetu.Kuonana na Obama ni sehemu moja ya kutafuta maendeleo hayo.Big up Mr. President!!!
 
Wakuu, tunaweza kuipatia captions hii picha. Maana hayo macho ya Obama mh!... Captions zitaipa uhai zaidi (Besides its T.G.I.F)

Obama yuko kwenye masikitiko anatamani kungekuwa na title tofauti kwa watu kama hawa, haamini kama wote wawili wanaitwa Presidents.
 

Attachments

  • pres1.jpg
    pres1.jpg
    87.4 KB · Views: 26
matunda yapo, unataka tuanze kuzitaja?
1. Safari ya bush tz na millenium.....
2. Kupata misaada (soma mikopo)
3.
4
5.....

utaishi kwa misaada mpaka lini ndugu yangu..!! Wenye kutoa misaada wenyewe wana financial crisis..!!

Tanzania ni nchi tajiri yenye kuweza kutoa mikopo iwapo kutakuwa na udhibiti na matumizi mazuri ya fedha na mali asili zilizopo..!!
 
hii ndizo sababu alizozitoa rais kikwete kuhusu safari zake: [font=times new roman, new york, times, serif]"our local businessmen cannot reach other executive areas on their own without the president’s presence. During my visit to the us, we had a luncheon with nasdaq officials, who later held talks with tanzanian businesspersons. Under normal circumstances, the nasdaq president, whose stock exchange volume stands at usd7.1 trillion, cannot meet a person of the stature of tccia president elvis musiba. But because i was there, the nasdaq president personally attended that event...when i visited tiffany, a big jewelers company turning out billions of dollars, its officials were in some other place and had to be summoned to meet tanzanian [t]anzanite dealers...this is how they could meet; because i was there otherwise it would have been difficult for local tanzanite dealers to meet their us counterparts... [/font][font=times new roman, new york, times, serif]it is after i had talks with the nasdaq president that we now have the us tanzania business association where businessmen from the two countries can meet. I visited new york stock exchange, whose business volume is usd22.8 trillion, where we were given the honour to open the day’s business. It is because i was there on that day that we were given that honour...do you think jonathan njau [head of dar es salaam stock exchange] can meet those guys up there on his own? (laughter). People should not just simplify these things” - president jakaya kikwete quoted by the guardian in december 2006 [/font]

nadhani kama rais anaona ni muhimu yeye kuwepo kwenye kutano hizo basi hakuna haja ya kuwa na ambassaders na kuwalipa mifedha kibao kila mwezi...!!
 
Hata mimi ningekuwa mshauri wa JK mambo ya ufisadi ningemshauri ayaweke kando na aangalie the way foward.[/QUOTE]

UKISIKIA CHUMA ULETE NDIO HII SASA !!!!
Wataka akawaletee muendeleze libeneke sio..!! Ni sawa na kufuga paka jizi kisha waliacha nyumbani ukiwa umesahau mnofu wa samaki mezani kisha waenda omba kichwa cha dagaa...!!
 
Back
Top Bottom