Matunda yapo, unataka tuanze kuzitaja?
1. Safari ya Bush TZ na Millenium.....
2. Kupata Misaada (soma MIKOPO)
3.
4
5.....
Aaah Kikwete nae kazidi kujifanya celebrity, basi anaona raha hii kutembea na kukutana na viongozi wa nchi matajiri na kupiga picha nao tu, nafikiri hakuna kiongozi wa Afrika anaemshinda kwa hizi safari za nje. Mwamsheni kuwa yeye ni raisi wa nchi masikini hiyo misaada kwa sasa anaweza kuiombea kwa simu tu viongozi wote wa nchi tajiri na hao watoa misaada na wawekezaji si ameishakutana nao mara nyingi tu na weshamjua tayari sasa kuna umuhimu gani tena wa hizi safari au anazipenda tu?, kama ni hivyo ajilipie mwenyewe asituletee ufisadi wa kiaina.