Wizi wa 200b za Esrow wampeleka rais USA kurudisha ripoti

Jason Bourne

JF-Expert Member
May 11, 2011
200
438
Mtakumbuka wiki tatu zilizopita niliwaambia kuwa USA na Ulaya zimetoa karipio na kuagiza hatua zichukuliwe dhidi ya wizi huu, Rais JK aliahidi kulishughulikia, akiwa njia alifanya mabadiliko ya ghafla kwa mwendesha mashtaka na wakuu wengine wa idara,

Someni nilichowaambia.

Kufuatia hali ya ufisadi nchini kushamiri tangu enzi za serikali ya BWM na serika ya JK kuingizwa madarakani kwa nguvu ya ufisadi kitendo kinachoifanya serikali ya jk kutoonyesha uwajibikaji wowote juu ya ufisadi nchini,

Washington na Ulaya walimuweka kitako jk majuzi baada tu ya kufika USA, Wakuu wa kanda ya Afrika wa USA na Ulaya walionyesha kukerwa na hali ya mambo nchi Tz huku kukiwa hakuna juhudi zozote za kupambana na ufisa,

Mabadiliko yaliyofanywa pccb na dpp ni pressure ya Ulaya na US kwa JK kuhusu vita ya ufisadi

USA ilikuwa ikitambua kuwa felishi ameonekana akilinda ufisadi tangu epa kaondolewa

Sahivi Hossea atakuwa amefurahi, maana wabaya wake ndani ya DPP na PCCB wote wametolewa


Sasa leo, rais anawasili USA, pamoja na mambo mengine ya kiserikali rais atakutana na Wakuu wa kanda ya Afrika wa USA na Ulaya na kuwaambia hatua aliyofikia kushughulikia mgogoro huu unaoelekea kuiangusha serikali yake.


Kabla ya mtu, kulikuwa na mtu, na baada ya mtu kuna mtu.

Hutaki, Unaacha!
===================================

Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete ameondoka Jumatatu usiku kwenda Marekani kuanza ziara ya wiki mbili nchini humo.

Taarifa iliyotolewa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano, Ikulu, ilisema Rais atahutubia Mkutano wa 69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York pamoja na kuhudhuria mikutano muhimu Washington, D.C.

Akiwa Mjini New York, Rais Kikwete atashiriki katika mikutano mikubwa zaidi ya 10 iliyopangwa kufanyika Septemba 24 hadi Oktoba Mosi. Rais Kikwete amepangwa kuwa kiongozi wa 12 duniani kuhutubia baraza hilo.

Septemba 25. Pia atakuwa mwenyekiti wa Kamati ya Wakuu wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuhusu mazingira (CAHOSC) ulioitishwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki Moon.

Chanzo: Mwananchi
 
acha uzushi
naona siku hizi umeacha kuhesabu safari za rais baada ya mods kukuchan live
hebu badilika mkuu umri unaenda na chagadema huna nafasi zaidi ya porojo zako za mtandaoni wameshindwa kukutambua ata ngazi ya kata!
 
We bhana siku hizi hadithi zako sio tamu kama zamani ambazo hata kama zingine zilikuwa za kutunga lakini zilikuwa stori tamu kusoma!
 
acha uzushi
naona siku hizi umeacha kuhesabu safari za rais baada ya mods kukuchan live
hebu badilika mkuu umri unaenda na chagadema huna nafasi zaidi ya porojo zako za mtandaoni wameshindwa kukutambua ata ngazi ya kata!

Wewe rais kakupa cheo gani mmpe uhuru aongee kwani tanganyika ni yako peke yako ? Au mpaka watu wawe kwenye chama kinachoua raia wake ccm mf mwangosi n.k
 
Wewe rais kakupa cheo gani mmpe uhuru aongee kwani tanganyika ni yako peke yako ? Au mpaka watu wawe kwenye chama kinachoua raia wake ccm mf mwangosi n.k
poor you! si lazima niwe na cheo mimi ni mkulima tu wa kawaida ila sipendi uzandiki kila kukicha rais anafanya mambo mabaya,
ninakemea kila roho chafu ya uongo,uchonganishi na uzushi hapa JF
 
Mtakumbuka wiki tatu zilizopita niliwaambia kuwa USA na Ulaya zimetoa karipio na kuagiza hatua zichukuliwe dhidi ya wizi huu, Rais JK aliahidi kulishughulikia, akiwa njia alifanya mabadiliko ya ghafla kwa mwendesha mashtaka na wakuu wengine wa idara,

Someni nilichowaambia.




Sasa leo, rais anawasili USA, pamoja na mambo mengine ya kiserikali rais atakutana na Wakuu wa kanda ya Afrika wa USA na Ulaya na kuwaambia hatua aliyofikia kushughulikia mgogoro huu unaoelekea kuiangusha serikali yake.


Kabla ya mtu, kulikuwa na mtu, na baada ya mtu kuna mtu.

Hutaki, Unaacha!


Wewe hukuwahi kuwa na akili tokea pale ulipomkana mzazi wako na kukimbilia nasaba isiyo kuhusu ya nyerere.

Laana ya msambila inakusumbua.

Cc Mwanadiwani.
 
acha uzushi
naona siku hizi umeacha kuhesabu safari za rais baada ya mods kukuchan live
hebu badilika mkuu umri unaenda na chagadema huna nafasi zaidi ya porojo zako za mtandaoni wameshindwa kukutambua ata ngazi ya kata!

Mwambie huyo au alitaka awe anakwenda kwny msafara kama first lady
 
Ile ID yako ya kila siku imefungiwa?

Mtakumbuka wiki tatu
zilizopita niliwaambia kuwa USA na Ulaya zimetoa karipio na kuagiza
hatua zichukuliwe dhidi ya wizi huu, Rais JK aliahidi kulishughulikia,
akiwa njia alifanya mabadiliko ya ghafla kwa mwendesha mashtaka na wakuu
wengine wa idara,

Someni nilichowaambia.




Sasa leo, rais anawasili USA, pamoja na mambo mengine ya kiserikali rais
atakutana na Wakuu wa kanda ya Afrika wa USA na Ulaya na kuwaambia
hatua aliyofikia kushughulikia mgogoro huu unaoelekea kuiangusha
serikali yake.


Kabla ya mtu, kulikuwa na mtu, na baada ya mtu kuna mtu.

Hutaki, Unaacha!
 
Wewe hukuwahi kuwa na akili tokea pale ulipomkana mzazi wako na kukimbilia nasaba isiyo kuhusu ya nyerere.

Laana ya msambila inakusumbua.

Cc Mwanadiwani.
Kama unamsema Yericko Nyerere basi huijui historia yake na inaonesha unachuki binafsi dhidi yake, Jina la Nyerere hakujipa yeye bali ni jina alilolitumia Msambila mwenyewe. Hivi jina hilo kwanini linakurusha roho? mbona kuna watu kibao wanatumia majina ya Samora, Nkurumah, Kaunda, Kambona... na wala hawana nasaba yoyote na wenye majina hayo!
 
Kama unamsema Yericko Nyerere basi huijui historia yake na inaonesha unachuki binafsi dhidi yake, Jina la Nyerere hakujipa yeye bali ni jina alilolitumia Msambila mwenyewe. Hivi jina hilo kwanini linakurusha roho? mbona kuna watu kibao wanatumia majina ya Samora, Nkurumah, Kaunda, Kambona... na wala hawana nasaba yoyote na wenye majina hayo!

Sasa wewe na akili zako unaweza kuacha kutumia jina la mzazi wako kisha ukakimbilia jina la mtu mwingine asiehusika nawewe kisha ukalikokoteza kuwa ndio utambulisho wako na kujifanya mwanafamilia husika na jina hilo??

Kutumia jina sio tatizo...tatizo ni ni kujifanyia utapeli na kulifanya linakuhusu kweli.
 
Sasa wewe na akili zako unaweza kuacha kutumia jina la mzazi wako kisha ukakimbilia jina la mtu mwingine asiehusika nawewe kisha ukalikokoteza kuwa ndio utambulisho wako na kujifanya mwanafamilia husika na jina hilo??

Kutumia jina sio tatizo...tatizo ni ni kujifanyia utapeli na kulifanya linakuhusu kweli.
Kwani Averoe ni jina la mzazi wako?
 
Sasa wewe na akili zako unaweza kuacha kutumia jina la mzazi wako kisha ukakimbilia jina la mtu mwingine asiehusika nawewe kisha ukalikokoteza kuwa ndio utambulisho wako na kujifanya mwanafamilia husika na jina hilo??

Kutumia jina sio tatizo...tatizo ni ni kujifanyia utapeli na kulifanya linakuhusu kweli.

Kweli mkuu
 
Samahani wakuu: Tunge waelewa nyoote huyo mtoa hoja na mnaojibu hoja kama mngetusaidia kuikanusha ama kuitetea kwa facts...badala yake mnatupiana lawama ambazo hazina tija
 
poor you! si lazima niwe na cheo mimi ni mkulima tu wa kawaida ....
Basi kama wewe ni mkulima, ni bora mitandaoni ukawa unatafuta habari za kilimo cha kisasa, utabiri wa hali ya hewa, tafiti za kilimo nk, kuliko kushinda kwenye habari za siasa tu. Ni vyema ukapiga hatua kutoka kwenye mkulima wa kawaida hadi kuwa mkulima wa kiwango cha kati, kuelekea kwenye ukulima mkubwa (vision 2025). Lakini kama kila thread ya siasa wewe umo tu, sijui hilo shamba lako litahudumiwa saa ngapi!
 
Kama unamsema Yericko Nyerere basi huijui historia yake na inaonesha unachuki binafsi dhidi yake, Jina la Nyerere hakujipa yeye bali ni jina alilolitumia Msambila mwenyewe. Hivi jina hilo kwanini linakurusha roho? mbona kuna watu kibao wanatumia majina ya Samora, Nkurumah, Kaunda, Kambona... na wala hawana nasaba yoyote na wenye majina hayo![/QUOT

tumekuelewa bwana Yericko...haya endelee kutumia jina hilo...
 
Back
Top Bottom