Mh! Simple execuse, shame
Kama Jakaya mwenyewe anakili kuwa ameshindwa kutatua kero zinazowakabili wananchi, ni jambo la bisara kuachia ngazi na kuona kama mwananchi mwingine anaweza kuisaidia nchi kufikia level nyingine. Sio siri kuwa Rais wetu ni mgonjwa hivyo basi muda wake mwingi anautumia kufikirai maradhi yanayomsibu kuliko kujali matatizo ya nchi; na ndiyo maana hafanyi maamuzi muhimu ya nchi kama vile kujaza nafasi zilizo wazi za watedaji na kuwabadilisha watendaji wabovu!! Afya za viongozi wa juu wa nchi lazima iwe hoja ya kujadiliwa kwa kina katika katiba mpya itakayoandikwa kwani madhara yake tunayaona hivi sasa.