LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
Mheshimiwa Raisi Jakaya Mrisho Kikwete, yameshasemwa vya kutosha sasa, CHUKUA HATUA BABA!!
Halafu tuone kama mabadiliko hayatatokea, au tuambie tuelewe juu ya haya yote tunakuyokulaumu nayo, kuna nini? Na nini mwisho wake? Miaka mitano ni mingi sana ukiwa kama mwanadamu wa kawaida kuandamwa na mambo haya. CHUKUA HATUA.
Halafu tuone kama mabadiliko hayatatokea, au tuambie tuelewe juu ya haya yote tunakuyokulaumu nayo, kuna nini? Na nini mwisho wake? Miaka mitano ni mingi sana ukiwa kama mwanadamu wa kawaida kuandamwa na mambo haya. CHUKUA HATUA.