Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
nasikia na mnajimu wake amemtabiria kifo kama ataiba kura .raaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaha.
Hahahah Dr.Slaa ni jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni..Chadema na isonge mbele mpaka kieleweke.
Ushauri kwenu wapenda Chama Cha Mafisadi kuzomewa mtazomewa mmeshajipaka matope kwishney..Serikali ya JK wadanganyika (kama mnavyowaona ninyi) mkiwatekelezea lifuatalo..Mahakama iamuru 'Chenge,Karamagi,Rostam Aziz,Mkapa,Lowassa wanasubiriwa segerea kesho asubuhi mtawapata wadanganyika woooote!!!!!' lakini kwa mtindo huu mwisho wenu ni sasa tutapangana mahakamani kuwasubiria mkifunika nyuso zenu kwa mashati mkisubiri karandinga la kwenda segerea..kwani segerea ilijengwa kwa ajili ya walala hoi tu hata ninyi pale panaitwa MTAKUJA UJAMAA VILLAGE.
Hivi kuna nini, mbona vyombo vya habari ni kimya JK kuzomea jana usiku kule Bukombe?
Fungua hiki kideo ujione mtu mzima alivyoporomoka jukwani pale jangwani. Hata hii hawataki kuirudia rudia ili tujikumbushe mambo mazito ya kitaifa
Kuna vitu watu naona hamko well informed:Waandishi katika msafara tu, wamechakachuliwa....!!!!
:becky::becky::becky::becky:MWANDISHI WA THREAD HII NI MUONGO MKUBWA...........KIKWETE HAWEZI KUZOMEWA POPOTE TANZANIA KWA SABABU AMETEKELEZA ILANI YA CCM NA MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA KWA ZAIDI YA 95%...........TUWAPUUZE WANAOMZOMEA LABDA WANACHUKI BINAFSI TU KWA KUWA KAWAZIDI U-Handsome, NA WALIOWENGI WANAOMUONEA WIVU NI WANAUME KWANI WANAONA ANAFAIDI SAAANA ANAPORUKA KILA WIKI KWENDA NG'AMBO NA MSAFARA WA MARAFIKI ZAKE KWA GHARAMA KUBWA ZA SERIKALI............ACHENI KUZOMEA KWANI RAIS WETU ALITAFUTA SANA KUINGIA IKULU JAPO ALIONYWA.........KWA HIYO WANAOZOMEA NI WALE AMBAO HAWAJAFIKA KULE VIJIJINI KUJIONEA MASHULE ,MAZAHANATI,MABARABARA, VIWANDA VIMEJENGWA NA AJIRA ZAIDI YA 1,000,000 KULE VIJIJIVI HAJAONA KWA SABABU HAWAJAFIKA..............JAMANI TAFAKARINI KABLA YA KUMZOMEA RAISI WENU NENDENI KWANZA VIJIJINI MKAFANYE TATHMINI KULIKUWAJE MIAKA 20 ILIYOPITA NA SASA KUKOJE NDIPO MZOMEE
TUMEELEWANA?