wote kiwango chenu cha kufikiri ni kimoja! mawazo yaliyo likizo..Ndio maana ukikosekana hapa ninakumiss sana Mwiba, post zako zina akili sana
Nilidhani nasoma thread iliyoanzishwa mwaka 2004! kumbe ni ya leo leo!!
Mkuu Mpungati Mimi ni Mkristo lakini huwa siamini katika Udini, sababu nina marafiki wengi sana waislamu na tunashirikiana katika maisha ya hapa Duniani na Kila mtu anaheshimu imani ya mwenzake
Kuwa Mwislamu, Muhindu, orthodox au mkristo Hakupunguzi au kuongeza Uwezo wa mtu kuwa kiongozi na mimi sipati shida hata Kama rais angekuwa muislam mkristo au mhindu miaka yote tatizo langu ni kiongozi anayeweza kutimiza matakwa ya wananchi wake
JK simkubali si kwa sababu ya dini yake lakini ni kwa sababu anauwezo mdogo sana wa kuwa kiongozi, kashindwa kutatua matatizo ya raia wake karibu yote.
Haya ni mawazo yangu na niko tayari kukosolewa.
Ndio maana nampongeza. au we hujui kwua inahitaji akili za mwendawzimu kubishana na huyu bwana?wote kiwango chenu cha kufikiri ni kimoja! mawazo yaliyo likizo..
kwel we ni MPITA NJIA!!! yani post ya kijinga kama hii unasema ina akili??? are u serious??? nahisi unashoti kwenye ubongo wako!!Ndio maana ukikosekana hapa ninakumiss sana Mwiba, post zako zina akili sana
Naamini kabisa huyu jamaa anamuelekeo wa kuifikisha Tanzania pale inapotaka kwenda,utendaji wake na serikali uliopo hivi sasa inaonekana ulichelewa ,lakini kasi ya maendeleo ambayo inaonekana kila pembe ya Tz ni wazi kuwa Tanzania imepata kiongozi mwenye upendo na wananchi wake.
WaTanzania hawana budi kumpa tena muhula wa uongozi kwa miaka kumi mingine.Huku tukisubiri Katiba mpya au Tanganyika mpya.
[h=1]Kikwete aendelee muhula mwingine[/h]
Safari hii kura yako usiipeleke tena CCM !
Wewe Mwiba inaelekea jana hakula Daku!! Muda wa kufuturu unakaribia.
Safi sana Mwiba nilikuwa nafikiri kuleta uzi kama huu sijui kwa nini watanzania hawaoni haya maendeleo, halafu unajua nini kasi ya maendeleo itaongezeka zaidi akimteua Mwigulu nchemba kuwa waziri wa fedha, Lusinde waziri wa habari na utamaduni na Komba waziri mkuu! we si umeona maendeleo kule temeke mtoto wake ambaye hajamaliza hata sekondari (Khalfan Kikwete) amepata kiwanja, sasa mnafikiri watoto wetu wangapi watapata viwanja wakiwa bado chekechea tukimuongeza miaka mingine kumi! Tunaimaaaaniiii na Kikweeeeteeee oya oya oya!