Kikwete adai tatizo ni ujamaa!

Kwanini Korea kaskazini imeachwa na kusini kwa mbali sana? nchi iliyoko ktk nchi za baridi inayobanana na nchi za afrika ujue nchi hiyo ni masikini sana.Maana mahitaji ya kwa baridi ni makubwa mnoo. Ukifika korea kaskazini utatoa machozi.
 
Unaweka argument kumtetea Nyerere wakati idea za Nyerere za Ujamaa zilishindwa kabisa. Hata Warusi walikuwa na modeli yao ya Ucommonist na walifeli kabisa.


Kwanini unawaleta failures na unawaondoa winners? Ndiyo maana nimekuwekea mode of production ya govervanance ya Scandinavia na Israel; tena mfano wa siasa ya Nyerere hasa kwenye land ownership inafanana sana na China na mimi juzi nimefanya case studies za China actually sijui walimsoma Nyerere waliboresha siasa yetu ya ujamaa na kujitegemea. Duniani watu hawaigi failures japo wanatumika kujisomea ili tusifanye makosa kama yao. Ningekuwa na muda ningekueleza kwanini Urusi umefail na China wameweza japo wote walikuwa in the same block. Nimefanya case study zao siongei nisichokijua. Kwasababu na malengo yangu vinginevyo ningekupa hizo documents.
 
Kosa kubwa la Nyerere siyo Ujamaa, tatizo lake kubwa ni lile la kulea wanafiki. Angekuwa na utaratibu mzuri wa kuchuja wanafiki, basi wakati anaondoka madarakani angerithiwa na watu ambao wangerekebisha makosa yake na kuendeleza mazuri yake. Lakini alikuwa na wanafiki ambao walikuwa hawajui Nyerere anataka kufikia lengo lipi. Kwa hiyo baada ya Nyerere kuondoka kila mtu akaja na la kwake; nchi ikawa derailed kabisa.

I rather think differently; Alishindwa kuwa train watu wake kwenye Ideology yake ili wamsaidie kwakuogopa wangemziti kete na angeshindwa kuwa control. Pia alikuwa hayuko flexible kukubali kuikosoa siasa hiyo ili iboreshwe. Lakini pia waliomrithi hawakuendeleza practice katika siasa yake na kui abandon huku wakitumia jina lake ku win vote huku at ground walikuwa hawana vision wala direction ila kuishi kwa gravity. Kolimba aliwaambia ukweli wakamu victimize!
 
Kwanini Korea kaskazini imeachwa na kusini kwa mbali sana? nchi iliyoko ktk nchi za baridi inayobanana na nchi za afrika ujue nchi hiyo ni masikini sana.Maana mahitaji ya kwa baridi ni makubwa mnoo. Ukifika korea kaskazini utatoa machozi.

Development yoyote ya nchi ni matokeo ya policies nzuri na failures vile vile ni matokeo ya policies mbaya. Angalia kwanini IBM kwenye ICT wanafanya vizuri lakini makampuni mengine hapo hawako successiful japo wako kwenye nchi moja? Wengine walizuia pertent rights ila kwakuziuza ambayo inaongeza cost katika innovation zao huku IBM ikaitoa yake free na microsoft wakaitumia vilivyo na jinsi microsoft wanavyoendelea kupata masoko vilevile bidhaa za IBM zina pata soko. Kuna shida katika policies na hiyo ndiyo only measure ya policy kuwa nzuri ama mbaya.
 
Sudan 2,200 2010 est.
153 Mauritania 2,100 2010 est.
154 Tajikistan 2,000 2010 est.
155 Cambodia 2,000 2010 est.
156 Gambia, The 1,900 2010 est.
157 Senegal 1,900 2010 est.
158 Chad 1,800 2010 est.
159 Côte d'Ivoire 1,800 2010 est.
160 São Tomé and Príncipe 1,800 2010 est.
161 Korea, North 1,800 2009 est.
162 Bangladesh 1,700 2010 est.
163 Lesotho 1,700 2010 est.
164 Benin 1,600 2010 est.
165 Ghana 1,600 2010 est.
166 Kenya 1,600 2010 est.
167 Tuvalu 1,600 2002 est.
168 Tanzania 1,500 2010 est.

Angalia North korea wajamaa na Tanzania wajamaa wanavyovutana mashati. Teh teh teh,
Mkuu wangu huu mfano mzuri sana.. sasa tazama orodha nzima (which you overlooked) ni nchi ngapi za Kijamaa zipo hapa?..bila shaka kuna nchi za kijamaa chache kuliko za Kibepari au sio?, na Kenya ambao hawajawahi kuwa wajamaa imekuwaje wawe nafasi ile ikiwa Ubepari ndio njia?..

Kufanikiwa kwa nchi yeyote kunategemea vitu vinne - Watu, ardhi, Siasa safi na Uongozi bora. Sasa sisi maadam tuligundua kuwa siasa safi ndio ilikuwa tatizo letu imekuwaje leo baada ya kubadilisha tuna matatizo zaidi kuliko mwanzo hali tumechukua siasa safi?...Bila shaka kuna tatizo ktk yaliyobakia ambayo tukisema WATU, kweli lipo tatizo la elimu na nguvukazi kwani hatukujiandaa kuingia Ubepari, na viongozi bora - Hatuna.

Hivi visingizio vya Nyerere na Ujamaa haviwezi kabisa kutupeleka popote hata kama utatoa mifano millioni kwani mfano wa Korea kusini na Kaskazini ni sawa na kuuliza mbona Marekani Matajiri hali Mexico sii Matajiri wakati wote ni Mabepari?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Nadhani watu mnashindwa kuelewa ujamaa maana yake ni nini?....maana yake ni serikali kuunmiliki uchumi!!!!..Norway inamiliki asilimia 57% ya uchumi wake na china inamiliki 19% ya uchumi wake! Tanzania 25%...sasa mkamap nieleze kati ya hizo nchi ipi ni ya kijamaa na nchi ipi ina per capita GDP kubwa?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
jk wa sasa ak juma kaseja alwahi kusema kwamba angependa kuona hizo statistic za uchumi nk zina onyesha maisha wa mtz, nyerere aliweza kureflect hizo idea zake na maisha ya mtz, kwani tuliona ajira zaidi za watz, nyumba bora kwa ajili ya watz, kama nhc, bhesco, hosco, nbc, crdb, thb, bora , tcc nk nk, sasa wewe na theory zako je waweza kutuonyesha, impact ya theory za sasa ktk maisha ya watz?

Vema kabisa;

Nyerere alitambua thamani ya Uasili wa mwandamu ..ambao ni Utu! Na akasimamia kila mfumo wa kijamii kufuata dhana ya utu, Kwani hakuna mafanikio yeyote kwa kiumbe chochote hai nje ya Uasili wake. Mwanadamu hawezi kufanikiwa na kupata maendeleo yeyote nje ya uasili wake ambao ni utu wake!!!

Wanyama na mimea yote inafuatia asili zake tu na kupata maendeleo yake yote! Mnazi unafuata uasili wake na kuwa mnazi ...na hauwezi kuwa zaidi ya Mnazi..na taarifa zote za mafanikio ya kuwa mnazi kamili ..unapatikana kwnye uasili wake nje ya uasili wake hakuna mnazi

... wanyama wote wanafuatia ..uasili wao..kobe hawezi kuwa chochote zaidi ya kuwa kobe..wala hajadili kuwa kobe ..anafuata uasili wake na kufanya na kuwa kama kobe wote..Hawezi kuwa kobe kama ataukana uasili wake!!

Katika viumbe wote hai..Ni binadamu peke yake anahoji na kusaliti uasili wake... kwa porojo na visingizio vya kijinga kabisa!!

Watu wanapinga utu... watu wanatamani kuwa kile ambacho sio utu wao..

Watu hawataki mifumo yote ya kijamii kufuata dhana ya utu ambayo ni asili yao..

Watu nwanapingana na asili zao... Sasa kama Mtu na akaili timamu anapinga utu wake tumuite nani? Mnyama ?

Nyerere alikwenda mbali hadi kuweka azimo la utu ... lile la pale arusha...

Leo wanasema azimio hilo la utu ..limepitwa na wakati ... what a stupidity!!

Utu wa mtu unapitwa na wakati...Ni uasili gani wa kiumbe chochote hai ulishawahi kupitwa na wakati.. Misingi ya utu iliyosemwa kwenye azimio lile haipitwi na wakati...ila ni kama mavazi yanabadilika badilika ..kulingana na nyakati..lakini mavazi wakati wote yapo. azimo la utu linahitajika wakati wote..kwenye mavazi tofauti ...kulingana na wakati!!

Nyerere ni mtetezi wa utu wa mtu ...na kila alichosema , alichofikiri na kutenda ..it was along those ... Lines..

MIFUMO YOTE YA KIJAMII ILIKUWA KUTEKELEZA DHANA HIYO YA UTU ...NA ILILETA IMPACT KWA WANAJAMII!!

Ili kujitegema na kujiongoza na kujitawala kama kiumbe lazima uenzi asili yako...KUJITEGEMEA ni hulka ya mwandamu ..na lazima afanye hivyo kutokea au kupitia kwenye utu wake..iliyo asili yake!!

Utu haupitwi na wakati ... Hivyo kujitegemea hakupitwi na wakati ...Usijitegemee ..ili ..uwe nini... !!! [/SIZE][/FONT]
 
Mkuu wangu huu mfano mzuri sana.. sasa tazama orodha nzima (which you overlooked) ni nchi ngapi za Kijamaa zipo hapa?..bila shaka kuna nchi za kijamaa chache kuliko za Kibepari au sio?, na Kenya ambao hawajawahi kuwa wajamaa imekuwaje wawe nafasi ile ikiwa Ubepari ndio njia?..

Kufanikiwa kwa nchi yeyote kunategemea vitu vinne - Watu, ardhi, Siasa safi na Uongozi bora. Sasa sisi maadam tuligundua kuwa siasa safi ndio ilikuwa tatizo letu imekuwaje leo baada ya kubadilisha tuna matatizo zaidi kuliko mwanzo hali tumechukua siasa safi?...Bila shaka kuna tatizo ktk yaliyobakia ambayo tukisema WATU, kweli lipo tatizo la elimu na nguvukazi kwani hatukujiandaa kuingia Ubepari, na viongozi bora - Hatuna.

Hivi visingizio vya Nyerere na Ujamaa haviwezi kabisa kutupeleka popote hata kama utatoa mifano millioni kwani mfano wa Korea kusini na Kaskazini ni sawa na kuuliza mbona Marekani Matajiri hali Mexico sii Matajiri wakati wote ni Mabepari?

Mkuu,
Nitakujibu kwa kifupi zaidi kama wakenya ndo wangekuwa Tanzania na sisi tukiwa kwao, wangekuwa wametuacha mbali sanaaaa. Pamoja na kenya kuwa hawana lolote lakini bado wametuacha.

Ukitaka kufahamu hilo, jaribu kupima tu, hata utendaji bandarini kwao na kwetu, huduma ktk baa kwao na kwetu, hata utalii wakenya wana nini hasa hadi wajulikane kivile.

Tena ktk nchi nyingi Tanzania haijulikani kwa wengi, mpaka uanze kuwatafsiria inapakana na Kenya. Na ukiwaambia ni sehemu ulipo mlima kilimanjaro watakubishia watakwambia kilimanjaro ipo kenya , mpaka itabidi uwapeleke ktk ramani.
Ukiwaambia ktk serengeti pia watakwambia ipo kenya, sasa nini kilichotulaza akili mpaka ikawa hivyo kama sio ujamaa?

Hakuna sababu kabisa kwa Tanzania kubanana ama kushindwa na Kenya, angalia hata Tanzanite yenu maproducer wakubwa ni kenya.
 
Nadhani watu mnashindwa kuelewa ujamaa maana yake ni nini?....maana yake ni serikali kuunmiliki uchumi!!!!..Norway inamiliki asilimia 57% ya uchumi wake na china inamiliki 19% ya uchumi wake! Tanzania 25%...sasa mkamap nieleze kati ya hizo nchi ipi ni ya kijamaa na nchi ipi ina per capita GDP kubwa?

As an economic system, socialism is based on the direct allocation of economic inputs (the means of production) and production for use. Production is therefore planned and does not suffer from the cyclical fluctuations inherent to economies based on capital accumulation. Accounting for the use of economic inputs is based on calculation in-natura, while final goods and services are distributed through markets.
Market socialism retains the process of capital accumulation, but subjects investment to social control, utilizing the market to allocate the factors of production. The profit generated by publicly owned firms would go to a social dividend, which would be used for public investment or public finance. Market socialist theories range from libertarian theories like mutualism, to theories based on Neoclassical economics like the Lange Model.
The ownership of the means of production can be based on direct ownership by the users of the productive property through worker cooperative; or commonly owned by all of society with management and control delegated to those who operate/use the means of production; or public ownership by a state apparatus. Public ownership may refer to the creation of state-owned enterprises, nationalisation or municipalisation. The fundamental feature of a socialist economy is that publicly owned, worker-run institutions produce goods and services in at least the commanding heights of the economy.[17][18]
Management and control over the activities of enterprises is based on self-management and self-governance, with equal power-relations in the workplace to maximize occupational autonomy. A socialist form of organization would eliminate controlling hierarchies so that only a hierarchy based on technical knowledge in the workplace remains. Every member would have decision-making power in the firm and would be able to participate in establishing its overall policy objectives. The policies/goals would be carried out by the technical specialists that form the coordinating hierarchy of the firm, who would establish plans or directives for the work community to accomplish these goals.

Wewe usinipe DESA lako harafu utake nitoe jibu kwenye DESA lako. Ujamaa ni ule mliokuwa mnaenda kulima mashamba ya ushirika kama ulikuwepo, ama yale mavyama ya ushirika, ama maduka ya ushirika na vitu vya namna hiyo.
 
Nadhani watu mnashindwa kuelewa ujamaa maana yake ni nini?....maana yake ni serikali kuunmiliki uchumi!!!!..Norway inamiliki asilimia 57% ya uchumi wake na china inamiliki 19% ya uchumi wake! Tanzania 25%...sasa mkamap nieleze kati ya hizo nchi ipi ni ya kijamaa na nchi ipi ina per capita GDP kubwa?

Nilishamweleza kuwa wwakati wengine wanakariri theories na kupractice blindly wengine wanaweka kwenye context theories na kudevelop policies zinazoendana na culture za mahali husika. Huwezi leo kusema eti uwape watu hela wakaanzishe miradi yao kama alivyofanya JK kwenye mabilioni yake huku attitude ya Tanzanians ni kuajiriwa lazima ufail before you start. Lakini hizo hela zingekuwa seed money kwenye well government designed projects by the professionals na kuwa managed by the other professionala huku ukiweka policies za intensive labour use huku hizi projects zikipewa proper definitions of bundles of rights kama Ownership; propriatorship; management; claimants and access na kila mtu ukampa rights depending on capacities ukategemea failures. Ni kosa kusoma kwa kukariri ambapo ndiyo shida yetu; learning to pass exams so that we can get employed na hakuna investments kwenye innovation then utegemee miracles.

Wenzetu kama ulivyoweka above hawaja crame ila how much should a government own depends on research and experiences za past failures ambazo hazifanani kutokana na diversity ya geographical settings na pia cultures ambapo to some places risks is higher compared to others na hivyo to reduce risk Government assurance ni kitu cha muhimu.
 
Unashindwa kuelewa, ujamaa ulikuwepo ukashindwa, na kwabahati mbaya wazee walioshindwa ujamaa ndo bado wanaendesha serikali kwa kibepari wakati kichwani mwao wana ideology ya kijamaa. Ndo maana nikasema tuwapige chini wazee, waiingie vijana wenye mawazo ya kibepari na waendeshe serikali kibepari. Jiridhishe usome tangu mwanzo wa thread hii. Hakuna ninaposema Tanzania sasa ni ujamaa, nasema viongozi wazee ndo wajamaa wanatakiwa wapigwe chini na ujamaa wao.

Kama ujamaa ume fail basi Scandinavians Israel China and even Venezuela without forgetting Libya must not be removed from the list of the failures. Ujamaa concept ni continuum concept na extent varies from scenario to scenario mwenzangu hapo juu amekuja na facts ambapo levels za government investiment ameziweka sasa kama unapenda kubisha hatuna cha kukusaidia. Wewe endelea kubisha huku wengine tukiendelea kukata kitabu usiku na mchana huku tuki weka pilot projects before we come public with tested models zenye practical facts. I hope by this have made myself clear!
 
Kwanini unawaleta failures na unawaondoa winners? Ndiyo maana nimekuwekea mode of production ya govervanance ya Scandinavia na Israel; tena mfano wa siasa ya Nyerere hasa kwenye land ownership inafanana sana na China na mimi juzi nimefanya case studies za China actually sijui walimsoma Nyerere waliboresha siasa yetu ya ujamaa na kujitegemea. Duniani watu hawaigi failures japo wanatumika kujisomea ili tusifanye makosa kama yao. Ningekuwa na muda ningekueleza kwanini Urusi umefail na China wameweza japo wote walikuwa in the same block. Nimefanya case study zao siongei nisichokijua. Kwasababu na malengo yangu vinginevyo ningekupa hizo documents.


Kwanza lazima ujue Israel haijitegemei Kiuchumi. USA wanatumia mabillion ya hela ktk foreign aid kila mwaka kusupport uchumi wa Israel.

Kuhusu China, uchumi waChina ulifeli mpaka walipoaddapt capitalism idea ktk uchumi wao. Sasa hivi Wachina wana mixed economy kitu ambacho kinawasadia kumanipulate their currency ili wasiwe na strong currency ktk world market.
 
Kama ujamaa ume fail basi Scandinavians Israel China and even Venezuela without forgetting Libya must not be removed from the list of the failures. Ujamaa concept ni continuum concept na extent varies from scenario to scenario mwenzangu hapo juu amekuja na facts ambapo levels za government investiment ameziweka sasa kama unapenda kubisha hatuna cha kukusaidia. Wewe endelea kubisha huku wengine tukiendelea kukata kitabu usiku na mchana huku tuki weka pilot projects before we come public with tested models zenye practical facts. I hope by this have made myself clear!

Nipe reference, ambayo inasema scandinavia ni ujamaa, sio mnajenga hoja za kufikirika tu ku justfy hoja yenu. Lete hata katiba ya nchi moja ya scandinavia inaposema ujamaa.

Maupindisha ujamaa kwa hoja zenu, wakati mnafahamu kabisa jinsi ujamaa unavyofanya kazi, vijiji vya ujamaa, maduka ya ujamaa, mashirika ya ujamaa, mabasi ya ujamaa. nk.
 
Kwanza lazima ujue Israel haijitegemei Kiuchumi. USA wanatumia mabillion ya hela ktk foreign aid kila mwaka kusupport uchumi wa Israel.

Kuhusu China, uchumi waChina ulifeli mpaka walipoaddapt capitalism idea ktk uchumi wao. Sasa hivi Wachina wana mixed economy kitu ambacho kinawasadia kumanipulate their currency ili wasiwe na strong currency ktk world market.

Hawana wanafikiri nchi za ulaya mashariki zote zilikuwa zimefeli zote ktk uchumi kwa sababu ya bahati mbaya. Uchina kwenyewe wakati wa ujamaa wenyewe walikuwa choka mbaya kama korea kaskazini ambao wameng'ang'ania ujamaa.

China baada ya kuutupilia mbali uchumi wa kijamaa, wametoka. Sidhani ktk sera za kijamaa zinaruhusu kwenda kuwekeza nchi za watu. ujamaa mnaweka kiwanda chenu wajamaa, wafanyakazi ktk kiwanda hicho ninyi wajamaa, faida mnagawana ninyi wajamaa.
 
Huyu Jk ana Mambo Mengi sana ya kujibu anawaona watanzania mabwege iko siku watu watamfuata rostam azizi na kumkatakata kama kitunguu
 
Nipe reference, ambayo inasema scandinavia ni ujamaa, sio mnajenga hoja za kufikirika tu ku justfy hoja yenu. Lete hata katiba ya nchi moja ya scandinavia inaposema ujamaa.

Maupindisha ujamaa kwa hoja zenu, wakati mnafahamu kabisa jinsi ujamaa unavyofanya kazi, vijiji vya ujamaa, maduka ya ujamaa, mashirika ya ujamaa, mabasi ya ujamaa. nk.

Tatizo lako sijui ni lipi ebu niambie theory ya communication ilianza na ICT tuliyo nayo leo? Kwataarifa yako evolution ya ICT haiweki pembeni inovation ya type writers na mathematic formulars (Algorithm) zilizogunduliwa na yule mwingereza mwanamke na mume wake anayeitwa Augusta Ada Byron. Kuna basics katika mwanzo wa kitu theory inabakia kama a direction lakini implementation ina time factor kama variable ndiyo maana kuna static models ku potray kitu bila variations; dynamic models zinazo contain time factor and assumptions depending on environment that theory is to be practiced to make the theory practicable. Hatupindishi ila tunataka kukuelimisha usiwe una kariri bali unaelewa subject matter wakati wa Mwl mazingira ya wakati huo yali sababisha katika practice assumptions fulani kuzingatiwa mojawapo ilikuwa political environment; Sasa katika era hii ya free market economy ku practice ujamaa kwa kutumia static models za enzi za cold war sasa hapo mimi na wewe nani anayetaka kupindisha mambo? Ebu kwa mfano wa Scandinavia niambie huo ni ubepari ama ujamaa? Labda wewe ukinisaidia kujua which is which utanirahisishia mimi kukuelewa badala ya kuendelea kukubishia.

Kuhusu katiba zao je Scandinavia wanatumia kiswahili katika katiba yao upate exactly the word Ujamaa na kujitegemea kwa maana halisi ya context yake ukihusisha siasa ya Ujamaa na kujitegemea ya Tanzania chini ya Nyerere the theorist? Jamani nyie kama ndiyo wachumi tunaowategemea huko nyumbani basi inabidi waalimu tukazane sana kuwapiga msasa maana mnatafsiri kazi yetu kuwa hatuifanyi vizuri.
 
Kwanza lazima ujue Israel haijitegemei Kiuchumi. USA wanatumia mabillion ya hela ktk foreign aid kila mwaka kusupport uchumi wa Israel.

Kuhusu China, uchumi waChina ulifeli mpaka walipoaddapt capitalism idea ktk uchumi wao. Sasa hivi Wachina wana mixed economy kitu ambacho kinawasadia kumanipulate their currency ili wasiwe na strong currency ktk world market.

Nashukuru kukubali kuwa china wana mixed economy nikwambie tu ndugu China wana practice evolved communism baada ya kurekebisha ile siasa ya mwanzilishi wao Mao Tsetung lakini basics walizi adopt ndiyo maana land is not a private property but a state owned property kama ilivyo Tanzania. Kwahiyo huwezi kusema kuwa china ni capitalist country.
 
Tatizo lako sijui ni lipi ebu niambie theory ya communication ilianza na ICT tuliyo nayo leo? Kwataarifa yako evolution ya ICT haiweki pembeni inovation ya type writers na mathematic formulars (Algorithm) zilizogunduliwa na yule mwingereza mwanamke na mume wake anayeitwa Augusta Ada Byron. Kuna basics katika mwanzo wa kitu theory inabakia kama a direction lakini implementation ina time factor kama variable ndiyo maana kuna static models ku potray kitu bila variations; dynamic models zinazo contain time factor and assumptions depending on environment that theory is to be practiced to make the theory practicable. Hatupindishi ila tunataka kukuelimisha usiwe una kariri bali unaelewa subject matter wakati wa Mwl mazingira ya wakati huo yali sababisha katika practice assumptions fulani kuzingatiwa mojawapo ilikuwa political environment; Sasa katika era hii ya free market economy ku practice ujamaa kwa kutumia static models za enzi za cold war sasa hapo mimi na wewe nani anayetaka kupindisha mambo? Ebu kwa mfano wa Scandinavia niambie huo ni ubepari ama ujamaa? Labda wewe ukinisaidia kujua which is which utanirahisishia mimi kukuelewa badala ya kuendelea kukubishia.

Kuhusu katiba zao je Scandinavia wanatumia kiswahili katika katiba yao upate exactly the word Ujamaa na kujitegemea kwa maana halisi ya context yake ukihusisha siasa ya Ujamaa na kujitegemea ya Tanzania chini ya Nyerere the theorist? Jamani nyie kama ndiyo wachumi tunaowategemea huko nyumbani basi inabidi waalimu tukazane sana kuwapiga msasa maana mnatafsiri kazi yetu kuwa hatuifanyi vizuri.

Ha ha ha huko kwenye communication na ICT, teh teh teh teh. Nakufahamu vizuri sana, communication ni tele means distance na communication ni mawasiliano. Telecommunication ya mwanzo haijazaa na algorithm yoyote bali walitumia farasi kupeleka information (barua) kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Aliyebadirisha historia ya communication ni bwana Fourrier mfarasa na uwezo wake wakuia nalyse spectrum, na wakati ana present paper lake profesa na bingwa wa mahesabu langelange alipinga sana, lakini hadi leo ndo Fourrier ameibuka kidedea. Mengine utabaki na hadithi tu kwamba scandinavia ni wajamaa.
 
As an economic system, socialism is based on the direct allocation of economic inputs (the means of production) and production for use. Production is therefore planned and does not suffer from the cyclical fluctuations inherent to economies based on capital accumulation. Accounting for the use of economic inputs is based on calculation in-natura, while final goods and services are distributed through markets.
Market socialism retains the process of capital accumulation, but subjects investment to social control, utilizing the market to allocate the factors of production. The profit generated by publicly owned firms would go to a social dividend, which would be used for public investment or public finance. Market socialist theories range from libertarian theories like mutualism, to theories based on Neoclassical economics like the Lange Model.
The ownership of the means of production can be based on direct ownership by the users of the productive property through worker cooperative; or commonly owned by all of society with management and control delegated to those who operate/use the means of production; or public ownership by a state apparatus. Public ownership may refer to the creation of state-owned enterprises, nationalisation or municipalisation. The fundamental feature of a socialist economy is that publicly owned, worker-run institutions produce goods and services in at least the commanding heights of the economy.[17][18]
Management and control over the activities of enterprises is based on self-management and self-governance, with equal power-relations in the workplace to maximize occupational autonomy. A socialist form of organization would eliminate controlling hierarchies so that only a hierarchy based on technical knowledge in the workplace remains. Every member would have decision-making power in the firm and would be able to participate in establishing its overall policy objectives. The policies/goals would be carried out by the technical specialists that form the coordinating hierarchy of the firm, who would establish plans or directives for the work community to accomplish these goals.

Wewe usinipe DESA lako harafu utake nitoe jibu kwenye DESA lako. Ujamaa ni ule mliokuwa mnaenda kulima mashamba ya ushirika kama ulikuwepo, ama yale mavyama ya ushirika, ama maduka ya ushirika na vitu vya namna hiyo.

Hizi notes ulizotoa ni biblia kwamba hakuna kinachotakiwa kubadilika hata kama hakiwezi ku produce results? Ingekuwa hivyo kusinge kuwa na PhDs cases baada ya wavumbuzi wakwanza kugundua vitu Ebu niambie vipi utaweza ku privatize the quality air prodused by a naighbour who has a forest in that particular street to his neighbours je huyu mtu hapati garama kutunza huo msitu; au privatise a beuty of garedn in your house ground to the pedestrians if your house is built next to the road? Je huyo anayetunza hiyo bustani halipi water dues; electricity for pumping water; halipi labour in terms of time or cash kwakui maintain hiyo bustani? Kuna vitu vinaitwa public goods mfano roads; externerlities both positive na negative ambazo hata ufanyeje haziwezi kuwa private costs or benefits. Lakini tunaweza kukubali kuwa na ujamaa kwenye hivi vitu na kuwa na private investment lakini community wakawa taxed kwenye hizo products and services ilikuwapa incentive wanaofanya investments kwenye such projects ambazo mara nyingi hazina positive economic returns kama hazijapewa value na policies. Hii ni mifano michache tu kati ya mingi. Mfano pastoralist wali evolve kwenye communal ownership ya land si kwa bahati mbaya bali nature ya economy activities zao so sisi tungeangalia kwanini wakulima wali opt private land holdings a case of Bukoba with Nyarubanja system na wakati huku Arusha na Manyara mpaka serengeti mara waka opt communal land holdings hata tukaweza hatimaye kubahatika kukuta pristine ecosystems ambazo leo ndo zinatu letea kipato kikubwa. Tungemboresha hizo theories and building from Nyerere's ideology ya Ujamaa na kujitegemea leo hii tungekuwa bomba na wengine wangekuja kutuigilizia tunachokifanya. Training yetu ime contribute a lot in this na external factors ambazo nikianza kuzi list hapa utanipa kazi ya kuandika thesis.
 
Ha ha ha huko kwenye communication na ICT, teh teh teh teh. Nakufahamu vizuri sana, communication ni tele means distance na communication ni mawasiliano. Telecommunication ya mwanzo haijazaa na algorithm yoyote bali walitumia farasi kupeleka information (barua) kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Aliyebadirisha historia ya communication ni bwana Fourrier mfarasa na uwezo wake wakuia nalyse spectrum, na wakati ana present paper lake profesa na bingwa wa mahesabu langelange alipinga sana, lakini hadi leo ndo Fourrier ameibuka kidedea. Mengine utabaki na hadithi tu kwamba scandinavia ni wajamaa.

Karudie tena notes zako; mfaransa aligundua internet system ambapo walikuwa wanaunganishwa na tele system nawalikuwa wanaweza kutext mesages lakini hakugundua the basics of transfering mesages usiende mbali google to hapo kwenye wiki itakusaidia zaidi maana imeweka comprehensively siongei kitu nisicho kifahamu. Lakini wataalamu wote wa IT watakwambia hakuna It technology bila algorithim ila unaweza baadaye ukaifanyia madoido na kuja na digital mpaka tuna pata touch screen lakini mvumbuzi ni yule aliyegundua type writer na mwingine aliye gundua mahesabu hayo ya programming sasa napo zungumza communication sisemi sending of mesages lakini system ama ni ite hiyo technology ambapo hao farasi ni soft ware na si hard ware maana wametoa concept kwamba we need to take mesage from one area to another sasa system ya farasi ama hii ya type writer na mathematics ipi tu iadopt na kuiboresha. Ya farasi nadhani itakuwa ilizaa posta and the like hapo sina uhakika naangalia hii dominant system ya writing and sending mesages using certain media ofcourse ku inprovise vitu kama electromagnetism huziwezi kuweka mbali etc etc.
 
Back
Top Bottom