Nchi nyingi hasa za ulaya mashariki zilizotupa ujamaa/ukoministi mara nyingi wawekezaji hawatoi kodi ni 0% ila wanachoambiwa tu mfano waajiri watu atleast 200 bila kupungua ndani ya miaka 10.
Sema kwetu balaa tu ni kwenye madini maana wanakuja kuchukua chetu, yani hawazalishi chochote bali wanachukua.Lakini mtu wa kampuni ya simu hata asipolipa kodi sawa tu tena poa tu.
Kama ameajiri watu 1000 ni mpuuzi tu atakayesema kwamba hawalipi kodi.
Sema kwetu balaa tu ni kwenye madini maana wanakuja kuchukua chetu, yani hawazalishi chochote bali wanachukua.Lakini mtu wa kampuni ya simu hata asipolipa kodi sawa tu tena poa tu.
Kama ameajiri watu 1000 ni mpuuzi tu atakayesema kwamba hawalipi kodi.