Thatha itakuwa je!Aithee!vipi tena hao waislamu mbona wanataka kulazimisha wanavyotaka wao kwani wanajua kiza cha huko Mbagala.Jamani viongozi na maimam jaribuni kuwaelimisha hao vijana ili tuacha kulumbana na vitu ambavyo havina msingi wowote tuiachie mamlaka huzika itende kazi yake na isipotenda hapa kuna ulazima wa kulazimisha na kudai haki kwa hao wahusika na hapo kwa muislami mwenye akili ataunga mkono na serikali itakubali bila kipingamizi
Ni kweli kabisa unachosema, hii mbegu ya udini, imepaliliwa sana na CCM hasa baada ya kufa Nyerere, na imezidi sana awamu hii ya JK. Hamkumbuki maimamu kule Igunga walivyokuwa wanamnadi Dr Kafumu wa CCM msikitini, huku makada wa CCM, wakichekelea kwa nguvu sana! Hivi sasa makanisa yamechomwa moto, ndiyo wanajidai eti kuwakemea waislamu, wasijichukulie sheria mkononi!!Ngoja nishuke niwaulizie zaidi maana naona nikiwa ghorofani nikishuka nitakujuza zaidi, ila mbegu alizopanda JK na CCM sasa zinachanua kwa kasi
nahisi wanao andamana ni kundi la vijana wasio na ajira kwa sababu leo si j5?waislamu tuacheni malumbano tumtafute Mungu kwa dhati na tujenge tz yetu' daaah!.
Ijumaa ni vita kama Jumatano ni hv basi ijumaa huenda ikawa vita kabisa
Suruali fupi na bagarshia chakavu
Matatizo ya akili za kushikiwa, wenye akili zao wanachakarikia maisha tu saa hizi...
Piga hao wowowoooooo!!!
Nasema piga hao mburula/Boko haram
Hivi jamani...sie tumekalia kuwashambulia kina Sheikh Ponda, Sheikh Farid, JK...mara ooooh radio Imaan kuwa wanapanda mbegu za udini na wanachochea vurugu....what are we doing hapa JF? Ukiangalia kila thread ya udini watu wanatukanana na kudhalilishana sana tu hapa jamvini, ni sababu tu tumejificha nyuma ya majina 'feki' na avatars, la sivyo nasi tungeshachapana sana hapa kwa misimamo ya kisiasa, kikabila na kidini....tuna tufauti gani na Sheikh Ponda au Farid? Tunayoongea humu yana tofauti gani na wanayoongea kwenye mihadhara ya kudhalilishana kiimani?!
ukiona hivyo ujue ijumaa patakuwa hapatoshi!Mbona wiki hii wameanza kabla ya ijumaa?
Hakuna lolote ni watu dhaifu sana,bado watu hawajaamua kudeal nao seriously!ukiona hivyo ujue ijumaa patakuwa hapatoshi!
maandamano hayana siku
umenena point mkuu. Suluhisho kamili ni hawa viongozi wao, masheikh nk wawaelekeze waumini wao ustaarabu. Swali ni je hawa viongozi si sehemu ya tatizo? Uongozi wa kiislamu una structure gani? Sijui.vipi tena hao waislamu mbona wanataka kulazimisha wanavyotaka wao kwani wanajua kiza cha huko Mbagala.Jamani viongozi na maimam jaribuni kuwaelimisha hao vijana ili tuacha kulumbana na vitu ambavyo havina msingi wowote tuiachie mamlaka huzika itende kazi yake na isipotenda hapa kuna ulazima wa kulazimisha na kudai haki kwa hao wahusika na hapo kwa muislami mwenye akili ataunga mkono na serikali itakubali bila kipingamizi