Kikundi cha Waislam chatawanywa kwa mabomu Mnazi mmoja - Dar

Mkuu tungekuwa na viwanda hawa watu wanahusika sana kwenye viwanda hawawezi shindwa kufanya hata packing!

Tatizo hata hizo label za packing, zimeandikwa kiingereza aua kiswahili nao lugha wanayoiabudu ni Kiarabu.

Ndio maana wanafanya fujo kwa ukosefu wa elimu ya maana. Waliosoma hawawezi kufanya utumbo huu.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Na siku zote kujitambia usomi eti kisa tuh unajua kuongea,kusoma na kuandika kiingereza ni ujinga ulioganda hadi kwnye damu,,hiyo ni lugha kama ilivo lugha ya kihaya
tofauti ni kwamba hao waliwahi kuja huku wakakutawala,na kuua utamaduni wako,na kukufunza wewe uudharau utamaduni wako ikiwemo dini za babu zako wakakuambia ufuate dini yao,lugha wakakuambia yako ni ya kipagani,mavazi wakakuambia yako ni mya kishenz na ndio maana hata leo sishangai kukuskia jina lako unaitwa washngton christopher utadhan kama una asili ya huko
zile assimillation policies zimekuathiri sana,,,
 
Hivi jamani...sie tumekalia kuwashambulia kina Sheikh Ponda, Sheikh Farid, JK...mara ooooh radio Imaan kuwa wanapanda mbegu za udini na wanachochea vurugu....what are we doing hapa JF? Ukiangalia kila thread ya udini watu wanatukanana na kudhalilishana sana tu hapa jamvini, ni sababu tu tumejificha nyuma ya majina 'feki' na avatars, la sivyo nasi tungeshachapana sana hapa kwa misimamo ya kisiasa, kikabila na kidini....tuna tufauti gani na Sheikh Ponda au Farid? Tunayoongea humu yana tofauti gani na wanayoongea kwenye mihadhara ya kudhalilishana kiimani?!

hakika umenena!wewe kweli Great Thinker!
 
Ijumaa lazima watu wa dar wanunue vitu mapema najua hakutakalika kbs.
 

tatizo hata hizo label za packing, zimeandikwa kiingereza aua kiswahili nao lugha wanayoiabudu ni kiarabu.

Ndio maana wanafanya fujo kwa ukosefu wa elimu ya maana. Waliosoma hawawezi kufanya utumbo huu.



mizambwa
inaniuma sana!!!

labda tuongeze vyuo vya veta na tuwalazimishe kwenda huko!
 
jaman hao watu si wawekewe mdahalo waseme wanataka waishije au wanaonewa kwa kipi mana wanachosha kwani wana MUNGU tofauti na wakristo, km Mungu ni mmoja why wanakua ivyo?????????????????????????????????????
 
Back
Top Bottom