TzPride
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 2,616
- 1,167
Hili saga lote limesababishwa na kukurupuka kwa huyu anaejiita Invisible. The way alivyoileta hii habari anadai Mtikila "kasema" wakati kumbe ni taarifa fake tu.
I know of late standard zimeshuka hapa jf lakini kwa hili kutoka kwa mtu kama Invisible kwa kweli inasikitisha sana, tatizo watu wanasukumwa na kupagaishwa na ushabiki kiasi kusahau na ku cross check usahihi wa habari.
Hawa ITV ndio kabisa yaani chombo kikubwa cha habari kama hiki kinaokota habari ovyo tuu majaani? very sad indeed..
Mwanakijiji as usual spinning, spinning.....
Hakuna tatizo na alichoandika Invisible, naona labda una agenda nyingine. Kama kweli hiyo statement kaandika Mtikila basi "kasema".....vinginevyo BAKITA wakatae hajasema.