Kuna kipindi maalum ITV baada ya taarifa ya habari.
Stay tunned.
Mtikila anasema
- Nililipwa kwa kazi niliyokuwa nafanya kwa kusema uwongo kuhusu Uchaguzi wa Tarime na Chacha Wangwe
- Niliahidiwa kupewa ulinzi mkali katika harakati za kufanya hiyo kazi.
- Nimetubu
Mwisho
Nia yangu ya kutetea taifa langu la Tanzania iko pale pale na nina sababu zote za kuhakikisha kuwa rasilimali za nchi yangu ambazo tumepewa urithi kwa ajili yetu na watoto wetu haziporwi na Mafisadi na Magabachori bali zinavunwa na kutumiwa kwa manufaa ya wana na mabinti wa nchi yangu Tanznaia
Mtikila anasema
- Nililipwa kwa kazi niliyokuwa nafanya kwa kusema uwongo kuhusu Uchaguzi wa Tarime na Chacha Wangwe
- Niliahidiwa kupewa ulinzi mkali katika harakati za kufanya hiyo kazi.
- Nimetubu
Mwisho
Nia yangu ya kutetea taifa langu la Tanzania iko pale pale na nina sababu zote za kuhakikisha kuwa rasilimali za nchi yangu ambazo tumepewa urithi kwa ajili yetu na watoto wetu haziporwi na Mafisadi na Magabachori bali zinavunwa na kutumiwa kwa manufaa ya wana na mabinti wa nchi yangu Tanznaia
Ndio hiyo ya mtikila kutubu au ?
Nani wanadhamini hicho kipindi ? Chadema wenyewe ??
Alilipwa na nani?Mtikila anasema
- Nililipwa kwa kazi niliyokuwa nafanya ya kusema uwongo kuhusu Uchaguzi wa Tarime na Chacha Wangwe
- Niliahidiwa kupewa ulinzi mkali katika harakati za kufanya hiyo kazi.
- Sikupewa ulinzi nilivyokuwa Tarime na kujikuta napigwa na kutokwa na damu yangu.
- Nimetubu
Sijawahi ona mzee mwenye akili mbovu kama huyu!!! anasema hivyo ili iweje tuanze kumuonea huruma au?mbona hakusema hayo yote wakati anakua approached anakuja kusema wakati kesha kula hizo hela au zimeisha hakuongezwa nyingine?
Mtikila anasema
- Nililipwa kwa kazi niliyokuwa nafanya ya kusema uwongo kuhusu Uchaguzi wa Tarime na Chacha Wangwe
- Niliahidiwa kupewa ulinzi mkali katika harakati za kufanya hiyo kazi.
- Sikupewa ulinzi nilivyokuwa Tarime na kujikuta napigwa na kutokwa na damu yangu.
- Nimetubu
Mwisho
Nia yangu ya kutetea taifa langu la Tanzania iko pale pale na nina sababu zote za kuhakikisha kuwa rasilimali za nchi yangu ambazo tumepewa urithi kwa ajili yetu na watoto wetu haziporwi na Mafisadi na Magabachori bali zinavunwa na kutumiwa kwa manufaa ya wana na mabinti wa nchi yangu Tanzania
Alilipwa na nani?