Kifo cha Wangwe: Mtikila ajirudi au anazushiwa?

Huyu ni wa kumpata kesho... I'm fuming with wrath! povu linanitoka hadi masikioni....

Ukimpata kesho yatakuwa yale yale. Alipolipwa na Rostam akaja kwako ukamrushia soft balls akaya knock out of the park.

Kesho najua utavyo muuliza: "Sasa, hapo Mchungaji hudhani kwamba watu watapoteza Imani kwako ?" (staili ile ya soft-pedalling: you know, like "hudhani 'kumng'oa' Rais linaweza kutafsiriwa vingine kama tuliyoyaona Nigeria?" )

Mtikila atakujibu: "Dhamira yangu ya kupigana na ufisadi iko pale pale.... blah blah blah ...." Kwishne.

Kesho kutwa ataitisha crummy-press conference kutangaza kufungua ka kesi ka Katiba kujisafisha au ataahidi kufungua ka kesi ka madai ka kupigwa, crummy press haitamuuliza, ngoja kwanza, kesi yako dhidi ya Rostam umeshinda? atatokomea kimya kimya, Watanzania watasahau, atahongwa tena, atakwenda kujieleza KLH News, tutaanza tena. Same ol' muck.
 
Hata pamoja na kukanusha Mtikila sio mkweli na amefilisika kisiasa. Lazima atakuwa alichukua hela tu huyu bwana. Na mwisho wake sasa umekaribia.
 
Hii ni hatari kabisa, kama kweli Mtikila amesema hivyo, anastahili kifungo kwa kusema uongo. Lakini kama pia kuna watu wanaweza kupika statement kama hiyo basi nchi imeshatekwa na mafia.
 
Ukimpata kesho yatakuwa yale yale. Alipolipwa na Rostam akaja kwako ukamrushia maswali soft ball akaya knock out of the park.

Kesho najua utavyo muuliza: "Sasa, hapo Mchungaji hudhani kwamba watu watapoteza Imani kwako ?" (staili ile ya soft-pedalling: you know, like "hudhani "kumng'oa" Rais linaweza kutafsiriwa vingine kama tuliyoyaona Nigeria? )

Mtikila atakujibu: "Dhamira yangu ya kupigana na ufisadi iko pale pale.... blah blah blah ...." Kwishne.

Kesho kutwa ataitisha crummy-press conference kutangaza kufungua ka kesi ka Katiba kujisafisha au ataahidi kufungua ka kesi ka madai ka kupigwa, crummy press haitamuuliza, ngoja kwanza, kesi yako dhidi ya Rostam umeshinda? atatokomea kimya kimya, Watanzania watasahau, atahongwa tena, atakwenda kujieleza KLH News, tutaanza tena. Same ol' muck.

the ever critic; kwanini usimtafute na kumuuliza maswali ambayo wengine wote tunashindwa..?
 
Jamani mimi nashauri ishu hii isichukuliwe kwa wepesi hata kidogo.Chombo cha habari cha kuaminika kimediriki kusoma waraka uliosainiwa na Mtikila.

Kwa taratibu za uandishi haukurupuki kama unatema mate.Statement kama hii haikuokotwa nje ya geiti la ITV na wala hakukabidhiwa mlinzi au receptionnist.

Haiingii akilini kuwa chombo cha habari kama hki kinaweza kupokea taarifa na kuirusha bila kuwa na uhakika na chanzo cha taarifa yenyewe.

Halafu, wanini kila wakati Mtikila amekuwa akishutumu kuwa saini yake inagushiwa?
Huyu Mtikila mara zote amekuwa mtu kigeugeu sana.Mara zote amekuwa mahiri wa kutumua maneno na hata kujenga hoja za kujisafisha na kujitenga na uongo.

Si ajabu kuwa Mtikila anajiandaa kukanusha statement yake iliyosomwa ITV kamasehemu ya mbinu za kujikosha kwa watanzania na kwa wale waliomtuma.
 
Nia ipi anayo ya kutetea Taifa lake wakati he can easily be bought off?He is a big time liar and a damn political prostitute!
 
Nia ipi anayo ya kutetea Taifa lake wakati he can easily be bought off?He is a big time liar and a damn political prostitute!

SURE,
He can be forgiven by the Mighty GOD but not by Tanzanians unless he discloses names of who paid him
 
Hahahaha hizi sarakasi mbona zinanivunja mbavu doh.... Kweli siasa ni mchezo mchafu dah
 
STOP PRESS
Nimezungmza na Mtikila sasa hivi na anakanusha vikali sana kutoa taarifa tunayoijadili. Anasema kilichofanyika ni 'uhuni' wa Mengi na Chadema kufoji saini yake na kutoa taarifa ambayo yeye alishaitisha mkutano na waandishi jana mjini tarime kuikanusha.
This being the case, I withold my earlier comments on this

No wonder Tanzanian Journalists being compared to Comical Ali and termed as watu wacheshi,wenye dhihaka na utani as B W Mkapa had suggested in kitabu cha Kipanga 2 by his beloved author Seif Khatib!
But I still hold it that Mtikila is a big time political prostitute
 
No wonder Tanzanian Journalists being compared to Comical Ali and termed as watu wacheshi,wenye dhihaka na utani as B W Mkapa had suggested in kitabu cha Kipanga 2 by his beloved author Seif Khatib!
But I still hold it that Mtikila is a big time political prostitute

Ala kumbe kuna prostitution kila mahala, teh teh teh!
 
No wonder Tanzanian Journalists being compared to Comical Ali and termed as watu wacheshi,wenye dhihaka na utani as B W Mkapa had suggested in kitabu cha Kipanga 2 by his beloved author Seif Khatib!
But I still hold it that Mtikila is a big time political prostitute

Hahahaha mkuu KVO umeniacha hoi sana doh, asante sana kwa hili naona siku yangu inaanza vizuri sasa
 
ka nzi kamerudi:

a. Suala hili linahusiana na Tarime. Maoni ya watu hasa Tarime yameonekana kuelemea upande wa kuipendelea Chadema. Zaidi kilichowatibua hasa ni kuwasili kwa mwenyekiti wa Chadema na kinyume na watu wengine walivyofikiria amepokewa kwa maelfu ya watu.

b. Jana Mtikila alionesha kukerwa na kuchukizwa waziwazi kuwa licha ya kampeni yake dhidi ya Chadema na Mbowe watu wa Tarime wame"ng'ang'ania" tu "Mbowe Mbowe" na kwa maneno yake mwenyewe "wamemfanya kama Mungu Mtu".

c. Kumbuka pia kuwa katika tuhuma za mauaji ya Wangwe siyo tu Chadema Mtikila anadai wanahusika bali pia Mzee Mengi (mmiliki wa ITV iliyorusha habari hiyo). Hivyo ukiwa upande wa Mtikila utaona kuwa adui yako siyo Chadema tu bali pia Mengi.

Now: Ka "nzi" hakana uhakika lakini kutokana na kunusa nusa kadokeza mambo kadhaa:

a. Kuna mtu "kigogo" ambaye ITV inamuamini ambaye aliwadokeza kuwa Mtikila ameamua kukanusha na ya kuwa anayo barua/statement hiyo. Mtu huyo ni mtu wa kuaminiwa kabisa na kiongozi yeyote yule.

b. Huyo mtu yeye mwenyewe hakujua kabisa kuwa anasetiwa na akapeleka habari hizo ITV (sijui ni hadi level gani ilifikia lakini possibly way up "there"); kutokana na kuaminiwa kwa mtu huyo au ukweli hasa kuwa kauli hiyo ipo na ikaonekana ni genuine, wakaamua kuirusha.

c. Walichosahau/kutotilia maanani ni kwenda bila ya kumuweka Mtikila on record (yawezekana iko rekodi yake) na badala yake kusoma kile simply kutokana na uzito wa mtu aliyewapatia. Mtikila alikuwa anajua hilo.

d. Baada ya kusomwa Mtikila akafanya "his roll" nayo ni kukanusha na kupanga kuitisha mkuttano wa waandishi wa Habari kule kule Tarime kukanusha juu ya taarifa hiyo. Unaweza kuuliza why? (this is where I come in)

Sababu kubwa ni suala la coverage. Vyombo vya habari vingi vitapenda kwenda kumnukuu Mtikila kesho na kurusha madai yake ambapo sasa atapata nafasi ya kurusha shutma dhidi ya wabaya "wake" kwa kutumia vyombo vya kitaifa nakurushwa "nationally". Kimsingi atakuwa amejipatia muda wa dezo wa kujitangaza na kutangaza mipango yake. Hivyo madongo yake yatarushwa dhidi ya Chadema, ITV kama taasisi na dhidi ya Mbowe na Mengi kama watu binafsi.

kumbuka kuwa hayo mengi yatasomwa siku ya Jumamosi, siku moja kabla ya uchaguzi! Lakini si hivyo tu, CCM wanatarajiwa kuchukua side ya Mtikila na kulaani kitendo cha ITV. Na kauli za kila aina zitatolewa. Unaweza kujiuliza "why now"?

Uamuzi wa Baraza la Wahariri kuficha ripoti yao ya suala la nafasi ya vyombo vya habari kule Tarime kwenye coverage ya Wangwe ripoti ambayo inamnyoshea kidole mmoja ya wanasiasa na wafanyabiashara maarufu nchini, basi hii ni zamu yao kushambulia ITV na Mengi kwani wanajua wiki ijayo yawezekana ikawa ni zamu yao kukaangwa.

Hata hivyo hisia yangu ni kuwa mstari kati ya wahusika na wafanyabiashara wakubwa unazidi kuchorwa na siku si nyingi sitoshangaa wafanyabiashara binafsi na wakubwa wakajitokeza wazi kusupport opposition kama vile wengine wanavyofanya kusupport CCM.

That is my 50cents
 
ka nzi kamerudi:

a. Suala hili linahusiana na Tarime. Maoni ya watu hasa Tarime yameonekana kuelemea upande wa kuipendelea Chadema. Zaidi kilichowatibua hasa ni kuwasili kwa mwenyekiti wa Chadema na kinyume na watu wengine walivyofikiria amepokewa kwa maelfu ya watu.

b. Jana Mtikila alionesha kukerwa na kuchukizwa waziwazi kuwa licha ya kampeni yake dhidi ya Chadema na Mbowe watu wa Tarime wame"ng'ang'ania" tu "Mbowe Mbowe" na kwa maneno yake mwenyewe "wamemfanya kama Mungu Mtu".

c. Kumbuka pia kuwa katika tuhuma za mauaji ya Wangwe siyo tu Chadema Mtikila anadai wanahusika bali pia Mzee Mengi (mmiliki wa ITV iliyorusha habari hiyo). Hivyo ukiwa upande wa Mtikila utaona kuwa adui yako siyo Chadema tu bali pia Mengi.

Now: Ka "nzi" hakana uhakika lakini kutokana na kunusa nusa kadokeza mambo kadhaa:

a. Kuna mtu "kigogo" ambaye ITV inamuamini ambaye aliwadokeza kuwa Mtikila ameamua kukanusha na ya kuwa anayo barua/statement hiyo. Mtu huyo ni mtu wa kuaminiwa kabisa na kiongozi yeyote yule.

b. Huyo mtu yeye mwenyewe hakujua kabisa kuwa anasetiwa na akapeleka habari hizo ITV (sijui ni hadi level gani ilifikia lakini possibly way up "there"); kutokana na kuaminiwa kwa mtu huyo au ukweli hasa kuwa kauli hiyo ipo na ikaonekana ni genuine, wakaamua kuirusha.

c. Walichosahau/kutotilia maanani ni kwenda bila ya kumuweka Mtikila on record (yawezekana iko rekodi yake) na badala yake kusoma kile simply kutokana na uzito wa mtu aliyewapatia. Mtikila alikuwa anajua hilo.

d. Baada ya kusomwa Mtikila akafanya "his roll" nayo ni kukanusha na kupanga kuitisha mkuttano wa waandishi wa Habari kule kule Tarime kukanusha juu ya taarifa hiyo. Unaweza kuuliza why? (this is where I come in)

Sababu kubwa ni suala la coverage. Vyombo vya habari vingi vitapenda kwenda kumnukuu Mtikila kesho na kurusha madai yake ambapo sasa atapata nafasi ya kurusha shutma dhidi ya wabaya "wake" kwa kutumia vyombo vya kitaifa nakurushwa "nationally". Kimsingi atakuwa amejipatia muda wa dezo wa kujitangaza na kutangaza mipango yake. Hivyo madongo yake yatarushwa dhidi ya Chadema, ITV kama taasisi na dhidi ya Mbowe na Mengi kama watu binafsi.

kumbuka kuwa hayo mengi yatasomwa siku ya Jumamosi, siku moja kabla ya uchaguzi! Lakini si hivyo tu, CCM wanatarajiwa kuchukua side ya Mtikila na kulaani kitendo cha ITV. Na kauli za kila aina zitatolewa. Unaweza kujiuliza "why now"?

Uamuzi wa Baraza la Wahariri kuficha ripoti yao ya suala la nafasi ya vyombo vya habari kule Tarime kwenye coverage ya Wangwe ripoti ambayo inamnyoshea kidole mmoja ya wanasiasa na wafanyabiashara maarufu nchini, basi hii ni zamu yao kushambulia ITV na Mengi kwani wanajua wiki ijayo yawezekana ikawa ni zamu yao kukaangwa.

Hata hivyo hisia yangu ni kuwa mstari kati ya wahusika na wafanyabiashara wakubwa unazidi kuchorwa na siku si nyingi sitoshangaa wafanyabiashara binafsi na wakubwa wakajitokeza wazi kusupport opposition kama vile wengine wanavyofanya kusupport CCM.

That is my 50cents

Mkuu Mkjj,

Hii 50cents yako ni ya kuikalia chini, ngoja nisome tena Mkuu
 
Mtikila anasema
- Nililipwa kwa kazi niliyokuwa nafanya ya kusema uwongo kuhusu Uchaguzi wa Tarime na Chacha Wangwe

- Niliahidiwa kupewa ulinzi mkali katika harakati za kufanya hiyo kazi.

- Sikupewa ulinzi nilivyokuwa Tarime na kujikuta napigwa na kutokwa na damu yangu.

- Nimetubu


Mwisho
Nia yangu ya kutetea taifa langu la Tanzania iko pale pale na nina sababu zote za kuhakikisha kuwa rasilimali za nchi yangu ambazo tumepewa urithi kwa ajili yetu na watoto wetu haziporwi na
Mafisadi na Magabachori bali zinavunwa na kutumiwa kwa manufaa ya wana na mabinti wa nchi yangu Tanzania


Hili saga lote limesababishwa na kukurupuka kwa huyu anaejiita Invisible. The way alivyoileta hii habari anadai Mtikila "kasema" wakati kumbe ni taarifa fake tu.

I know of late standard zimeshuka hapa jf lakini kwa hili kutoka kwa mtu kama Invisible kwa kweli inasikitisha sana, tatizo watu wanasukumwa na kupagaishwa na ushabiki kiasi kusahau na ku cross check usahihi wa habari.

Hawa ITV ndio kabisa yaani chombo kikubwa cha habari kama hiki kinaokota habari ovyo tuu majaani? very sad indeed..

Mwanakijiji as usual spinning, spinning.....
 
Haya mambo mengine wa-Tanzania huwa tunajitakia wenyewe,

1. Mtikila ilipojulikna wazi kuwa amepewa hela na Rostam, niliwahi kusema wazi kuwa huyu hafai tena na wala tusimjali kabisa, kama kawaida mkatokea ma-intellectuals hapa na maneno mazito mazito kuwa hata viongozi wengine wamepewa na kwamba ooh jali message yake sio mengine, sasa leo eti mnalalamika kusikia haya ya Mtikila?

2. Alipopigwa huko Tarime mimi nilisema kwua ni sawa kabisa huyu kupewa kipigo kwa sababu anatumiwa na viongozI flani wa CCM, Jumapili nikatoa dataz kwamba kuna mpaka tepu ambaye imemnakili Rostam na Makamba wakimpa hela kabla ya kwenda Tarime, na wakimwambia what to do and say akifikia kule.

- Hapa nina wasi wasi kuwa Mtikila amegundua kua kuna tepu inakaribia kutoka ndio maana anajihami mapema, niliwaambieni hapa kuwa Makamba alipokwenda kumuangalia alipopigwa kule Tarime, kulikuwa na ugomvi mkubwa kati ya Rostam na Makamba kwa sababu Makamba alikuwa hataki kwenda kule akiogopa kuonekana naye in public knowing kwamba kuna tepu ipo mhali.

Wakuu hakuna jipya hapa, Mtikila anaogopa kuwa mwisho wake ambao ni wa siku nyingi zilizopita sasa unakaribia kua official.
 
ka nzi kamerudi:

a. Suala hili linahusiana na Tarime. Maoni ya watu hasa Tarime yameonekana kuelemea upande wa kuipendelea Chadema. Zaidi kilichowatibua hasa ni kuwasili kwa mwenyekiti wa Chadema na kinyume na watu wengine walivyofikiria amepokewa kwa maelfu ya watu.

b. Jana Mtikila alionesha kukerwa na kuchukizwa waziwazi kuwa licha ya kampeni yake dhidi ya Chadema na Mbowe watu wa Tarime wame"ng'ang'ania" tu "Mbowe Mbowe" na kwa maneno yake mwenyewe "wamemfanya kama Mungu Mtu".

c. Kumbuka pia kuwa katika tuhuma za mauaji ya Wangwe siyo tu Chadema Mtikila anadai wanahusika bali pia Mzee Mengi (mmiliki wa ITV iliyorusha habari hiyo). Hivyo ukiwa upande wa Mtikila utaona kuwa adui yako siyo Chadema tu bali pia Mengi.

Now: Ka "nzi" hakana uhakika lakini kutokana na kunusa nusa kadokeza mambo kadhaa:

a. Kuna mtu "kigogo" ambaye ITV inamuamini ambaye aliwadokeza kuwa Mtikila ameamua kukanusha na ya kuwa anayo barua/statement hiyo. Mtu huyo ni mtu wa kuaminiwa kabisa na kiongozi yeyote yule.

b. Huyo mtu yeye mwenyewe hakujua kabisa kuwa anasetiwa na akapeleka habari hizo ITV (sijui ni hadi level gani ilifikia lakini possibly way up "there"); kutokana na kuaminiwa kwa mtu huyo au ukweli hasa kuwa kauli hiyo ipo na ikaonekana ni genuine, wakaamua kuirusha.

c. Walichosahau/kutotilia maanani ni kwenda bila ya kumuweka Mtikila on record (yawezekana iko rekodi yake) na badala yake kusoma kile simply kutokana na uzito wa mtu aliyewapatia. Mtikila alikuwa anajua hilo.

d. Baada ya kusomwa Mtikila akafanya "his roll" nayo ni kukanusha na kupanga kuitisha mkuttano wa waandishi wa Habari kule kule Tarime kukanusha juu ya taarifa hiyo. Unaweza kuuliza why? (this is where I come in)

Sababu kubwa ni suala la coverage. Vyombo vya habari vingi vitapenda kwenda kumnukuu Mtikila kesho na kurusha madai yake ambapo sasa atapata nafasi ya kurusha shutma dhidi ya wabaya "wake" kwa kutumia vyombo vya kitaifa nakurushwa "nationally". Kimsingi atakuwa amejipatia muda wa dezo wa kujitangaza na kutangaza mipango yake. Hivyo madongo yake yatarushwa dhidi ya Chadema, ITV kama taasisi na dhidi ya Mbowe na Mengi kama watu binafsi.

kumbuka kuwa hayo mengi yatasomwa siku ya Jumamosi, siku moja kabla ya uchaguzi! Lakini si hivyo tu, CCM wanatarajiwa kuchukua side ya Mtikila na kulaani kitendo cha ITV. Na kauli za kila aina zitatolewa. Unaweza kujiuliza "why now"?

Uamuzi wa Baraza la Wahariri kuficha ripoti yao ya suala la nafasi ya vyombo vya habari kule Tarime kwenye coverage ya Wangwe ripoti ambayo inamnyoshea kidole mmoja ya wanasiasa na wafanyabiashara maarufu nchini, basi hii ni zamu yao kushambulia ITV na Mengi kwani wanajua wiki ijayo yawezekana ikawa ni zamu yao kukaangwa.

Hata hivyo hisia yangu ni kuwa mstari kati ya wahusika na wafanyabiashara wakubwa unazidi kuchorwa na siku si nyingi sitoshangaa wafanyabiashara binafsi na wakubwa wakajitokeza wazi kusupport opposition kama vile wengine wanavyofanya kusupport CCM.

That is my 50cents

This makes sense.
Niliposhuhudia hiyo statement inasomwa ITV..nilijiuliza mambo mengi...kweli niliona the whole issue as kiini macho.
Ngoja tuone ngonjera itakuwaje hapo kesho
 
Ni jambo la kawaida kabisa kwa mtu au taasisi kufilisika mtaji wa fedha na kugeuka hohe hahe taabani.
Lakini ni jambo gumu lisilo bebeka mtu au taasisi kufilisika kimawazo.
Dalili moja kubwa ya mtu mzima, chombo au taasisi ya kitaifa kufilisika ni kutetea uongo kwa kutumia mgongo wa dhamana ya heshima ilijengwa kwa kuvumilia taabu nyingi katika kipindi kirefu.

Ukifilisika fedha ni rahisi kukukopesha fedha nyingine ukarudi pale ulipokuwa awali.

Lakini Je?Ukifilisika mawazo utakopeshwa nini ili urudishwe pale ulipokuwa awali?!?!?!?!

Kweli akutukanaye hakupi a b c ya matusi.
 
Back
Top Bottom