Gojaga Nize
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,756
- 1,733
- Thread starter
- #21
Sihitaji chochote kabisaaa. Kama nilivyoeleza alinifahamu muda mrefu Mimi nikiwa simfahamu, na alinifahamu kwasababu tunaishi Mtaa mmoja. Wazazi wake wananifahamu na Mimi nawafahamu vizuri.Makubwa...kama hajui unapoishi si ubuloki namba yake, au kingine kipi unataka kwake???!!!!