Kero: Nataka nimzabe kibao huyu binti sababu ananishawishi

Ivi si ulisema una mtoto na mchumba unataka kuoa imekuaje ?? Ebu tuanzie hapo kwanza..ili tujue kama tabia yako ni kuduungua na kuacha... Kuhusu uyo mwanafunzi mi naona hauko serious kwasababu umesema we ni mtu mzima.. Je utu uzima wako umekusaidiaje unataka kushindwa akili na form four? Hujui hata kublock mkuu?
 
Kama miezi mitatu imepita nilikutana na binti tukiwa kwenye jumuiya. Yeye ndo alinifata akaniomba namba, sikuwahi kumfahamu Ila yeye kumbe ananifahamu. Lengo la kuniomba namba ilikuwa nimsaidie kusolve kiissue flani maeneo ya ofisin kwangu.

Huyu binti yuko form four kwasasa. Baada ya kusolve tatizo lake, kuna siku aliniomba kuniona nikamkubalia akaja tukaongea, lengo lilikuwa kunishukuru kwa kumsaidia na ikumbukwe sikujua kama bado anasoma, ndio akaniambia yuko form four Ila umri wake ni 19, amechelewa kumaliza kutokana na matatizo ya kifamilia hapo nyuma.

KERO: Toka nikubali kuonana nae siku ile imekuwa kero, simu kila jioni nahisi akitoka shule, na kila weekend anataka kuonana na Mimi. Ananiita kaka. Nilimwambia mdogo wangu Mimi ni MTU mzima sasa ingawa sijaoa, so na jinsi unavokaa karibu na Mimi sio vizuri nitashawishika nikutafne iwe soo kwangu na kwako. Anasema Hamna tatizo yeye anajiamini kwasababu Mimi ni kama kaka yake.

Kwa akili yangu ya kuzaliwa inaonekana huyu Dogo analake jambo sio bure, ila tatizo ni mwanafunzi ambaye nahisi akiendelea hivi anaweza kufeli vibaya.

Nimeongea nae sana, ila inaonekana hasikii. Je nikimzaba vibao kama mdogo wangu nitakosea?
Yeye anakuona kama kaka yake .
Tatizo wewe fisi unataka kumtafuna papuchi yake, Lakini unaogopa kwenda Segerea sema ukweli tu mkuu.
 
Kama miezi mitatu imepita nilikutana na binti tukiwa kwenye jumuiya. Yeye ndo alinifata akaniomba namba, sikuwahi kumfahamu Ila yeye kumbe ananifahamu. Lengo la kuniomba namba ilikuwa nimsaidie kusolve kiissue flani maeneo ya ofisin kwangu.

Huyu binti yuko form four kwasasa. Baada ya kusolve tatizo lake, kuna siku aliniomba kuniona nikamkubalia akaja tukaongea, lengo lilikuwa kunishukuru kwa kumsaidia na ikumbukwe sikujua kama bado anasoma, ndio akaniambia yuko form four Ila umri wake ni 19, amechelewa kumaliza kutokana na matatizo ya kifamilia hapo nyuma.

KERO: Toka nikubali kuonana nae siku ile imekuwa kero, simu kila jioni nahisi akitoka shule, na kila weekend anataka kuonana na Mimi. Ananiita kaka. Nilimwambia mdogo wangu Mimi ni MTU mzima sasa ingawa sijaoa, so na jinsi unavokaa karibu na Mimi sio vizuri nitashawishika nikutafne iwe soo kwangu na kwako. Anasema Hamna tatizo yeye anajiamini kwasababu Mimi ni kama kaka yake.

Kwa akili yangu ya kuzaliwa inaonekana huyu Dogo analake jambo sio bure, ila tatizo ni mwanafunzi ambaye nahisi akiendelea hivi anaweza kufeli vibaya.

Nimeongea nae sana, ila inaonekana hasikii. Je nikimzaba vibao kama mdogo wangu nitakosea?

Toa taarifa kwa mwenyekiti wa Jumuiya! Kama ni Jumuiya ya Kanisani hilo tatizo lake si angelifanyia maombi. Hivi huoni kumchapa vibao ni kuvunja sheria za nchi? Kwa uzoefu wangu kumkwepa huyo ni ku-keep distance au keep aloof from her, namba yake ya simu unai-block; halafu muda wote mkikutana wewe hauna muda.

Kama akili yako ya kuzaliwa inakuambia hivyo ile ya shule inasemaje?
 
above 18,,,tafuna tu!.kumb.huyo demu ana mimba anataka akusakizie ooooh!..chunga hyooo
 
Kama miezi mitatu imepita nilikutana na binti tukiwa kwenye jumuiya. Yeye ndo alinifata akaniomba namba, sikuwahi kumfahamu Ila yeye kumbe ananifahamu. Lengo la kuniomba namba ilikuwa nimsaidie kusolve kiissue flani maeneo ya ofisin kwangu.

Huyu binti yuko form four kwasasa. Baada ya kusolve tatizo lake, kuna siku aliniomba kuniona nikamkubalia akaja tukaongea, lengo lilikuwa kunishukuru kwa kumsaidia na ikumbukwe sikujua kama bado anasoma, ndio akaniambia yuko form four Ila umri wake ni 19, amechelewa kumaliza kutokana na matatizo ya kifamilia hapo nyuma.

KERO: Toka nikubali kuonana nae siku ile imekuwa kero, simu kila jioni nahisi akitoka shule, na kila weekend anataka kuonana na Mimi. Ananiita kaka. Nilimwambia mdogo wangu Mimi ni MTU mzima sasa ingawa sijaoa, so na jinsi unavokaa karibu na Mimi sio vizuri nitashawishika nikutafne iwe soo kwangu na kwako. Anasema Hamna tatizo yeye anajiamini kwasababu Mimi ni kama kaka yake.

Kwa akili yangu ya kuzaliwa inaonekana huyu Dogo analake jambo sio bure, ila tatizo ni mwanafunzi ambaye nahisi akiendelea hivi anaweza kufeli vibaya.

Nimeongea nae sana, ila inaonekana hasikii. Je nikimzaba vibao kama mdogo wangu nitakosea?
Utakua una matatizo ya akili

Mtoto wa form four anakusumbua namna hii?? I am very sorry for your family, kama wanaume wamefikia this low, basi mtaishia pabaya

What a waste
 
Kiongozi hongera umuelewa ila si sana huyo binti amepata hisia kwako ww unaweza tu kumtreat kisaikolojia kwa kumpa ushauri.

Hapo hamna suala la hasira ila uelewa tu. Hawa wadogozetu inatokea sana kupata hisia za jinsi hiyo endelea kumuelewesha ataelewa tu.
 
Mkuu huyu mtoto anatakiwa asome kwa faida ya maisha yake na famiia yake hapo badae.
MTOTO? we Gojaga mwongo sana. Mmama miaka 20 kasoro moja unamwita mtoto? embu kua serious mkuu. embu kula hyo papuchi imeshakua zamani kha! au kama vp nipe namba yake afu mwambie kaka yake mwingine atamtafuta halafu ntaleta mrejesho baada ya siku tatu. nakuahidi hatakusumbua tena.!
 
Mvua ya miaka 30 inakusubiria hapo mbeleni ASAP! Mim kama mdogo wako nitakuwa nakuletea uji wa ndimu
 
Kumpiga_si_suluhIsho.
Mwanamke_hapigwi,haijalishi_amefanya_kosa_gani.

Unachoweza_kufanya_ni_kutopokea_simu_wala_kutokujibu_messege_zake.

Itafikia_wakati_atachoka,Na_kitu_kizuri_atachoka_mapema_kwa_maana_umeshamkanya....Kwa_kutokujibu_text_na_calls_zake_atajua_tu_kuwa_hupendi_akusumbue,kuliko_kumpiga_inaweza_kukuungiza_matatizoni.
Mkuu fuata ushauri huu ndio sahihi kwako.
 

Similar Discussions

11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom