Kero: Nataka nimzabe kibao huyu binti sababu ananishawishi

Kumpiga_si_suluhIsho.
Mwanamke_hapigwi,haijalishi_amefanya_kosa_gani.

Unachoweza_kufanya_ni_kutopokea_simu_wala_kutokujibu_messege_zake.

Itafikia_wakati_atachoka,Na_kitu_kizuri_atachoka_mapema_kwa_maana_umeshamkanya....Kwa_kutokujibu_text_na_calls_zake_atajua_tu_kuwa_hupendi_akusumbue,kuliko_kumpiga_inaweza_kukuungiza_matatizoni.
 
Ungemkemea kwa kumaanisha sidhani kama angeendelea kukuzoea, tatizo unamuonya huku unamtazama kifuani....
Wanasemaga "Ukicheza na mbwa atakufata msikitini" Kaa chonjo.
 
Kumpiga_si_suluhIsho.
Mwanamke_hapigwi,haijalishi_amefanya_kosa_gani.

Unachoweza_kufanya_ni_kutopokea_simu_wala_kutokujibu_messege_zake.

Itafikia_wakati_atachoka,Na_kitu_kizuri_atachoka_mapema_kwa_maana_umeshamkanya....Kwa_kutokujibu_text_na_calls_zake_atajua_tu_kuwa_hupendi_akusumbue,kuliko_kumpiga_inaweza_kukuungiza_matatizoni.
Nashukuru Mkuu kwa ushauri, ila nilichogundua ni kuwa, toka kanakuwa, kalikuwa kananisoma vizuri maana almost tunaishi Mtaa mmoja. Kwa kasi kalionayo nawaza Mengi sana hadi naogopa, jamani wazazi wanakazi sana.
 
Makubwa...kama hajui unapoishi si ubuloki namba yake, au kingine kipi unataka kwake???!!!!
 
Kama miezi mitatu imepita nilikutana na binti tukiwa kwenye jumuiya. Yeye ndo alinifata akaniomba namba, sikuwahi kumfahamu Ila yeye kumbe ananifahamu. Lengo la kuniomba namba ilikuwa nimsaidie kusolve kiissue flani maeneo ya ofisin kwangu.

Huyu binti yuko form four kwasasa. Baada ya kusolve tatizo lake, kuna siku aliniomba kuniona nikamkubalia akaja tukaongea, lengo lilikuwa kunishukuru kwa kumsaidia na ikumbukwe sikujua kama bado anasoma, ndio akaniambia yuko form four Ila umri wake ni 19, amechelewa kumaliza kutokana na matatizo ya kifamilia hapo nyuma.

KERO: Toka nikubali kuonana nae siku ile imekuwa kero, simu kila jioni nahisi akitoka shule, na kila weekend anataka kuonana na Mimi. Ananiita kaka. Nilimwambia mdogo wangu Mimi ni MTU mzima sasa ingawa sijaoa, so na jinsi unavokaa karibu na Mimi sio vizuri nitashawishika nikutafne iwe soo kwangu na kwako. Anasema Hamna tatizo yeye anajiamini kwasababu Mimi ni kama kaka yake.

Kwa akili yangu ya kuzaliwa inaonekana huyu Dogo analake jambo sio bure, ila tatizo ni mwanafunzi ambaye nahisi akiendelea hivi anaweza kufeli vibaya.

Nimeongea nae sana, ila inaonekana hasikii. Je nikimzaba vibao kama mdogo wangu nitakosea?


Amekupenda kwa sababu wewe ni hendisamu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom