Kenyatta na Ruto wakiunadi Mlima Kilimanjaro kwenye kadi ya Christmas

Wala sio bahati mbaya wanafanya makusudi wanajua tutaongea tu mwisho hatuna lolote
 
Nimeona kadi hii ya Christmas yenye picha ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na Makamu wake William Rutto.
Lakini ukiangalia vizuri kwenye background ya picha hiyo utauoana mlima Kilimanjaro,

Nimejiuliza sana; Kwanini wakenya wanapenda kusafiria nyota zetu?

Huu mlima waliuweka kwenye ndege zao za Kenya Airways, wakaona haitoshi.

Sasa wameuweka tena kwenye kadi za Christmas ili kuendelea kuiaminisha dunia kuwa Upo kwao, hivyo kukuza sekta ya utalii kwa ulaghai wa namna hii.

Utakumbuka pia binti wa Raila Odinga akiwa anahutubia umoja wa mataifa aliwahi kusema bonde la Olduvai lipo Kenya japo alikuja kukanusha lakini nina hakika watanzania Tungekaa Kimya bado dunia ingeaminishwa bonde hii hili lipo Kenya.

Wakuu tabia Hii ya Kenya kusafiria nyota ya Tanzania Mpaka lini?



Kwani tatizo lio wapi? Hivi ninyi huwa mna tatizo gani? Ml.Kili siyo mali yetu Watanzania bali ni mali ya Binadamu wote na umetokea tu kuwa ndani ya mipaka yetu Kijografia!
 
Clouds huwa wanasema kutumia fursa sijui!Naona somo limeeleweka kwa uhuru na Ruto kuliko huyu wetu
 
15665721_1507860822575799_5401258061350771418_n.jpg


[HASHTAG]#Tell[/HASHTAG] Uhuru to stop using Mt Kilimanjaro on his fotos background
Alianza baba sasa mtoto anatujaribu japo anatujaribu wakati tuna rais genius.
 
Haaaah wazee wa fulsa ujanja ujanja,Chezeeni tu utalii kwa ma vat mtaleta feedback mwakani June

Kwa taarifa yako watalii walikuwa wakitushangaa kwenye charges za makampuni yalikuwa hayaonyeshi element ya VAT. wadhungu wanaheshimu serikali inayokusanya kodi.Mtakalia majungu wa nchi inazidi kupaa
 
To be sencere wakenya ni wabunifu na wanabidii sana yote hii imejengwa kutoka mfumo wa elimu walionao. Wanatoa elimu practical sana na inayofundisha how to manipulate environments to opportunities. Tofauti sana na tz elimu yetu ni ya kukariri hapo practical. Just see kwenye vitu vidogo km kadi wameona ni fursa ya kutangaza vivutio vya uyatalii, nani hapa tz aliyefikiria kutangaza kwa disign Km hii au njia tofauti kwa hiki kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka?
Elimu elimu elimu elimu
 
Back
Top Bottom