Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,428
Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.
Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.
Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.
Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?