Mwanzi1
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,000
- 4,586
Mimi najua linaitwa ziwa Nyasa, na upande wa kaskazini mashariki ni upande wa Tanzania. Upande wa kusini mashariki ni upande wa Msumbiji, upande wa magharibi ni wa Malawi. Itabaki hivyo mpaka mwisho wa uhai.Ziwa malawi