Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Morogoro Aachia Ngazi and Soon to Defect to ....

Pasco na wakuu wengine

Ni kweli jamaa...Abeli E. Ruanda, aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Morogoro kajiuzulu. Ofcourse press conference kafanya leo, lakini ameandika barua tangu Agosti 21, 2012, kwa Katibu Mkuu.

Amepima joto la M4C, ameliotea kwa mbali, lakini kasikia 'makali' yake, ameamua kujisalimisha mapema mwenyewe. Mfano mdogo tu wa uzembe wa huyo bwana; majuzi amekaguliwa na timu ya advance, inayoongozwa na Mwita Waitara Mwikabe, ameshindwa kuonesha faili za ofisi yake, maana yake hana, hivyo hata kumbukumbu za ofisi hana au hatunzi kabisa.

Ameshagombana na watu wa fedha makao makuu na viongozi wa majimbo ya Morogoro Mashariki na Kusini Mashariki mara kadhaa kwa kukwamisha ruzuku isiende katika majimbo hayo.

Kwa sababu mbali ya kuwa Katibu wa Mkoa wa Morogoro, pia alikuwa Mwenyekiti wa Wilaya ya Morogoro Vijijini, yenye majimbo mawili...katika nafasi hiyo amekwamisha majimbo hayo yasifungue akaunti benki, hivyo hawapokei fedha za ruzuku kutoka makao makuu kama inavyotakiwa. Kazi za chama katika maeneo hayo zimevia kabisa na yeye yupo kama Mwenyekiti na kama katibu!

Chama kilikuwa kimedumaa, hata kama kulikuwa hakujafanyika operesheni serious kama ya sasa katika Mkoa wa Morogoro, bado uongozi wa mkoa unawajibika kuhakikisha mambo katika ngazi za chini yanakwenda na chama kinakuwa hai, hakufanya hivyo katika nafasi yake.

Hatoi taarifa kwa ngazi za chini zinazotoka makao makuu, mara kadhaa amewa-misinform au kuwa wa-mislead for the interests best known to him. Wanachama wengi wanalalamika na kudai kuwa amekuwa aki-block ukuaji na ueneaji wa chama mkoani hapa katika nafasi yake kama mtendaji mkuu mkoani.

Mtu ambaye anaweza kukaguliwa na asiwe na nyaraka au taarifa zozote za chama zilizokuwa filed ni vigumu sana kuamini kuwa mko naye katika safari moja na anajua kweli anachotakiwa kukifanya. Kwa joto lililoko katika operesheni hii amepima mwenyewe...lakini pia kwa kasi ambayo CHADEMA inahitaji viongozi wake waende nayo katika kutimiza principle ya 'supply and demand', katika kuwatumikia watu na kukidhi matumaini makubwa waliyonayo katika mapambano haya, amepima mwenyewe na kuona maji ni marefu mno kwake.

Bila shaka atakuwa amesaidia vyombo vya maamuzi katika kuchukua hatua. Hakuna mwanachama makini angeweza kuvumilia uzembe wa kiuongozi kama wa Ruanda.

Nakumbuka wakati wa ziara ya kutembelea mikoa mitano mwezi Aprili, Katibu Mkuu, Dkt. Slaa alikuwa akisema mara kadhaa, uzembe wa aina yoyote hautavumiliwa, wala mtu yeyote ambaye anaona hawezi kuendana na kasi inayotakiwa kuwatumikia watu ajipime haraka...huyo ni miongoni mwa walioamua kujipima haraka na kuona hawawezi.

Kuna mahali Pasco umeandika ukweli ambao tayari hapa Morogoro unajulikana vyema na kila mtu makini anayetakia heri mapambano haya. Asisingizie M4C, malengo yanajulikana wazi. Hakuna siri katika hilo.
Mkuu TM, thanks kwa background!.
 
Katika msafara wa mamba kenge hawakosi...huyu kenge bora kajitambua na kujitambulisha mwenyewe na kujivua mapema kwani anajua cdm sio km ccm ambako angeweza tu kuhamishiwa sehemu nyingine na mambo yakaisha lkn amepima upepo wa viongozi wakuu wa cdm na kuona hatosalimika kwa upuuzi alofanya.
 
Pasco mkuu wangu kama alivyosema mwana mpotevu unajichanganya, ww kwa taaluma yako huwezi kuleta habarai ambayo haijakamilika hapa jamvini kwani lazima uwe wa kwanza hapa hakuna mashindano kaka uwe unajipanga kwanza.
 
Uongozi wa hivi vyama vichanga kwa sehemu kubwa ni wa kujitolea tena katika mazingira magumu ya kuhujumiwa na serikali ya ccm. Iwapo kuna kiongozi ataonekana kulegalega kwenye utendaji basi kuwe na jinsi ya kuwasaidia ili wamudu majukumu yao na sio kuwaacha hadi mambo yameharibika ndio tuwalaumu kwa uzembe.

Ndio, kasi ya M4C inatakiwa lakini vilevile tutilie maanani changamoto zake.
 
Pasco na wakuu wengine

Ni kweli jamaa...Abeli E. Ruanda, aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Morogoro kajiuzulu. Ofcourse press conference kafanya leo, lakini ameandika barua tangu Agosti 21, 2012, kwa Katibu Mkuu.

Amepima joto la M4C, ameliotea kwa mbali, lakini kasikia 'makali' yake, ameamua kujisalimisha mapema mwenyewe. Mfano mdogo tu wa uzembe wa huyo bwana; majuzi amekaguliwa na timu ya advance, inayoongozwa na Mwita Waitara Mwikabe, ameshindwa kuonesha faili za ofisi yake, maana yake hana, hivyo hata kumbukumbu za ofisi hana au hatunzi kabisa.

Ameshagombana na watu wa fedha makao makuu na viongozi wa majimbo ya Morogoro Mashariki na Kusini Mashariki mara kadhaa kwa kukwamisha ruzuku isiende katika majimbo hayo.

Kwa sababu mbali ya kuwa Katibu wa Mkoa wa Morogoro, pia alikuwa Mwenyekiti wa Wilaya ya Morogoro Vijijini, yenye majimbo mawili...katika nafasi hiyo amekwamisha majimbo hayo yasifungue akaunti benki, hivyo hawapokei fedha za ruzuku kutoka makao makuu kama inavyotakiwa. Kazi za chama katika maeneo hayo zimevia kabisa na yeye yupo kama Mwenyekiti na kama katibu!

Chama kilikuwa kimedumaa, hata kama kulikuwa hakujafanyika operesheni serious kama ya sasa katika Mkoa wa Morogoro, bado uongozi wa mkoa unawajibika kuhakikisha mambo katika ngazi za chini yanakwenda na chama kinakuwa hai, hakufanya hivyo katika nafasi yake.

Hatoi taarifa kwa ngazi za chini zinazotoka makao makuu, mara kadhaa amewa-misinform au kuwa wa-mislead for the interests best known to him. Wanachama wengi wanalalamika na kudai kuwa amekuwa aki-block ukuaji na ueneaji wa chama mkoani hapa katika nafasi yake kama mtendaji mkuu mkoani.

Mtu ambaye anaweza kukaguliwa na asiwe na nyaraka au taarifa zozote za chama zilizokuwa filed ni vigumu sana kuamini kuwa mko naye katika safari moja na anajua kweli anachotakiwa kukifanya. Kwa joto lililoko katika operesheni hii amepima mwenyewe...lakini pia kwa kasi ambayo CHADEMA inahitaji viongozi wake waende nayo katika kutimiza principle ya 'supply and demand', katika kuwatumikia watu na kukidhi matumaini makubwa waliyonayo katika mapambano haya, amepima mwenyewe na kuona maji ni marefu mno kwake.

Bila shaka atakuwa amesaidia vyombo vya maamuzi katika kuchukua hatua. Hakuna mwanachama makini angeweza kuvumilia uzembe wa kiuongozi kama wa Ruanda.

Nakumbuka wakati wa ziara ya kutembelea mikoa mitano mwezi Aprili, Katibu Mkuu, Dkt. Slaa alikuwa akisema mara kadhaa, uzembe wa aina yoyote hautavumiliwa, wala mtu yeyote ambaye anaona hawezi kuendana na kasi inayotakiwa kuwatumikia watu ajipime haraka...huyo ni miongoni mwa walioamua kujipima haraka na kuona hawawezi.

Kuna mahali Pasco umeandika ukweli ambao tayari hapa Morogoro unajulikana vyema na kila mtu makini anayetakia heri mapambano haya. Asisingizie M4C, malengo yanajulikana wazi. Hakuna siri katika hilo.

Mkipewa serikali mkashindwa kuwatumikia watanzania mtatumia visingizio hivi hivi kuwa fulani ndio amekwamisha.

Kwanza Morogoro hakuna jimbo linaloitwa Morogoro Mashariki, kama wewe mkurugenzi mzima hujui hata majina ya majimbo ya Morogoro maana yake ni kwamba chama hakina mkakati wa kujiendeleza Morogoro, kwa hiyo usimlaumu huyu bwana aliyejitoa huko.

Kama hamna utaratibu wa kupata viongozi waaminifu katika ngazi ya chama mtaweza vipi kusimamia both chama na serikali? hii ni ishara kuwa hamko tayari. Pale unapodhihirisha kuwa kweli huyu mtu hakuwa na sifa za kuwa kiongozi, unatafuta swali - je mlimpa vipi uongozi mtu asiye na sifa? Je, huyu ndio mtu wa mwisho asiye na sifa ndani ya chama chenu? wengine wasio na sifa kina nani? au asiye na sifa ni yule anayejitoa? Basi watajeni wote wasio na sifa ili wajue sio kungoja mtu ajitoe ndio muanze kumtupia lawama, where were you kabla hajajitoa?

Wewe ni mkurugenzi wa habari na mawasiliano, unasema barua ililetwa tangu tarehe 21.8.12, kwanini umefanya siri mpaka yeye alipotoa press conference ndio unakuja kumshutumu? Nawahurumia sana watu wanaoamini kwamba hicho chama kinaweza kuongoza nchi!!!
 
Nipo morogoro hoja yake kubwa anasema amejiona anatumikia chama ambacho kinaendeshwa kikabila zaidi,pia wale ambao wa kabila hilo na waliopo na kabila hilo wanasikilizwa zaidi,amebanwa na mwandishi ataje hilo kabila amesema wandishi wajue tu chadema ipo kikabila zaidi na amewalaumu wandishi wa habari kufumbia macho ukabila wa chadema,anaonekana ana wasi wasi sana!

Yaani Waluguru? Huyo amekatiwa donge na CCM kuchafua CDM. CDM haichafuki kabisa tena. Ipo kwa kusonga mbele na ujanja wa CCM unazidi kuvunda. Kweli CCM imeishia kaburini.
 
Yani mtu amekuwa katibu wa mkoa kwa muda wote huo sasa leo ndio anauona ukabila ndani ya Chadema?
Amekosa kabisa cha kuongea kwani kutaja ukabila ni yeye mwenyewe kujidhalilisha. Mimi namshukuru kwa yeye mwenyewe kuamua kuachia ngazi kwani ametambua kwamba huko tuendako asingehimili vishindo, na kung'olewa katika nafasi hiyo ya katibu wa mkoa lilikuwa ni jambo la kusubiri wakati tu.
Ina maana huyu jamaa hana kesi ya kutafuna fedha za ruzuku, mbona kaficha data katibu mzima hajui kutunza mafaili???
 
Pasco na wakuu wengine

Ni kweli jamaa...Abeli E. Ruanda, aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Morogoro kajiuzulu. Ofcourse press conference kafanya leo, lakini ameandika barua tangu Agosti 21, 2012, kwa Katibu Mkuu.

Amepima joto la M4C, ameliotea kwa mbali, lakini kasikia 'makali' yake, ameamua kujisalimisha mapema mwenyewe. Mfano mdogo tu wa uzembe wa huyo bwana; majuzi amekaguliwa na timu ya advance, inayoongozwa na Mwita Waitara Mwikabe, ameshindwa kuonesha faili za ofisi yake, maana yake hana, hivyo hata kumbukumbu za ofisi hana au hatunzi kabisa.

Ameshagombana na watu wa fedha makao makuu na viongozi wa majimbo ya Morogoro Mashariki na Kusini Mashariki mara kadhaa kwa kukwamisha ruzuku isiende katika majimbo hayo.

Kwa sababu mbali ya kuwa Katibu wa Mkoa wa Morogoro, pia alikuwa Mwenyekiti wa Wilaya ya Morogoro Vijijini, yenye majimbo mawili...katika nafasi hiyo amekwamisha majimbo hayo yasifungue akaunti benki, hivyo hawapokei fedha za ruzuku kutoka makao makuu kama inavyotakiwa. Kazi za chama katika maeneo hayo zimevia kabisa na yeye yupo kama Mwenyekiti na kama katibu!

Chama kilikuwa kimedumaa, hata kama kulikuwa hakujafanyika operesheni serious kama ya sasa katika Mkoa wa Morogoro, bado uongozi wa mkoa unawajibika kuhakikisha mambo katika ngazi za chini yanakwenda na chama kinakuwa hai, hakufanya hivyo katika nafasi yake.

Hatoi taarifa kwa ngazi za chini zinazotoka makao makuu, mara kadhaa amewa-misinform au kuwa wa-mislead for the interests best known to him. Wanachama wengi wanalalamika na kudai kuwa amekuwa aki-block ukuaji na ueneaji wa chama mkoani hapa katika nafasi yake kama mtendaji mkuu mkoani.

Mtu ambaye anaweza kukaguliwa na asiwe na nyaraka au taarifa zozote za chama zilizokuwa filed ni vigumu sana kuamini kuwa mko naye katika safari moja na anajua kweli anachotakiwa kukifanya. Kwa joto lililoko katika operesheni hii amepima mwenyewe...lakini pia kwa kasi ambayo CHADEMA inahitaji viongozi wake waende nayo katika kutimiza principle ya 'supply and demand', katika kuwatumikia watu na kukidhi matumaini makubwa waliyonayo katika mapambano haya, amepima mwenyewe na kuona maji ni marefu mno kwake.

Bila shaka atakuwa amesaidia vyombo vya maamuzi katika kuchukua hatua. Hakuna mwanachama makini angeweza kuvumilia uzembe wa kiuongozi kama wa Ruanda.

Nakumbuka wakati wa ziara ya kutembelea mikoa mitano mwezi Aprili, Katibu Mkuu, Dkt. Slaa alikuwa akisema mara kadhaa, uzembe wa aina yoyote hautavumiliwa, wala mtu yeyote ambaye anaona hawezi kuendana na kasi inayotakiwa kuwatumikia watu ajipime haraka...huyo ni miongoni mwa walioamua kujipima haraka na kuona hawawezi.

Kuna mahali Pasco umeandika ukweli ambao tayari hapa Morogoro unajulikana vyema na kila mtu makini anayetakia heri mapambano haya. Asisingizie M4C, malengo yanajulikana wazi. Hakuna siri katika hilo.

You are always late Tumain Makene . These stuff should had known to us before his press conference!
 
Huyo ni aliyetangulia tu, bado wengi watarudi. kuna tetesi hata dr. anatarajia kurudisha kadi "... Mwana mpotevu arudi kwa baba yake ...." Karibuni na ninyi mrudi kwa baba yenu!!!!!
 
Tuna bahati kweli kuondokewa na Mwizi na Mzembe wa Kutupwa bado shibuda

Ukimtaja tu Shibuda tumbo linanikata!!! Yaani huyu nidye mamluki wa CDM nambari one!! Nina watu wananipa info jinsi gani alivyokuwa analikisha habari za CDM maana alitumwa kufanya kazi ya kubomoa. Nashukuru CDM waliliona hilo na sasa milango imefungwa kwake. CDM ina busara sana na inampa tu muda uishe. Nikiliona hili huwa naongea nalo kwa usanifu sana. Halina chochote kichwani. Elimu yake mashaka, alikaa pale bungeni hasomi maana shule letters umande!! Utakula jeuri yako baada ya 2015.
 
Nimefurahia sana kujiuzuru kwake. Sasa mambo yataenda mswano, alikuwa anatumiwa sana na Mh Suzan Kiwanga, amehusika pia kukuukuza uliokuwa mgogoro Kilombero. Na Huyo Mwenyekiti wa mkoa aondolewe ni mzigo kwa mkoa.Dr usimwache na Mwenyekiti.
 
Duuuuuuuh! Yani kama sababu yake ndio hile yakina Nape kweli ni mwepesi eti cdm kuna ukabila kweli ameishiwa cha kusema!

Bora amekwenda hatumuitaji mnafiki
 
Nipo morogoro hoja yake kubwa anasema amejiona anatumikia chama ambacho kinaendeshwa kikabila zaidi,pia wale ambao wa kabila hilo na waliopo na kabila hilo wanasikilizwa zaidi,amebanwa na mwandishi ataje hilo kabila amesema wandishi wajue tu chadema ipo kikabila zaidi na amewalaumu wandishi wa habari kufumbia macho ukabila wa chadema,anaonekana ana wasi wasi sana!

Muongo huyu, alijua atatimuliwa.
 
Kama mahakama ingekuwa huru angepelekwa mara moja mahakamani, lakini kwa kuwa hata kesi ya madiwani wa arusha inakuwa delayed basi hakuna haja, ahukumiwe na wananchi tu.
 
kweli ukiwa na akili ndogo huwezi kuongoza akili kubwa, kutokana na yeye kuwa na akili ndogo ameona bora ang'atuke kuliko kuongoza akili kubwa za wana CDM.
 
Back
Top Bottom