Katiba ibadilishwe? Kikwete awe Rais wa Maisha!

mkifikiria sana utaona kuwa pendekezo langu kwa kweli ndilo pendekezo bora zaidi la kutusaidia kuachana na uongozi uchwara. Maana hata yeye anashindwa kufanya kazi nyingi hasa kwa mfano mwaka huu akifikiria mambo ya uchaguzi! Anaogopa hata kwenda kufanyiwa upasuaji bwana.

Alikuomba umsaidie kazi gani ambazo ameshindwa? acha uzushi

Lini umekuwa daktari wa rais? mpaka ufahamu hayo ya upasuaji?..Uzushi mwingine grow up dude!

Kikwete uchaguzi haumsumbui kitu maana kwenye chama anapita kilaini...kama wewe na wenzako mnataka kufanya siasa nendeni jukwaani...

Suggested unayoleta ni ya kukata tamaa maana wananchi hawawafahamu..kazeni buti..bado miezi 10.
 
Wameshaanza Zanzibar wanataka Karume aongezewe miaka mitatu kwa kisingizio cha mwafaka. Baada ya Zanzibar itakuja bara watasema kwa vile Kikwete alichaguliwa kwa kishindo 2010 basi tusiwe na uchaguzi 2015 aongezewe miaka mingine mitatu ili aongoze serikali ya mpito itakayoundwa hadi 2018.
On my dead body..hakuna atakayebadili katiba ya Tanzania bara..sina uhakika na zenj..lol
 
.......Ukifikiria sana utaona kuwa pendekezo hili lina faida kubwa sana kwa utawala wa demokrasia, kwani litaendelea umoja, udugu, mshikamano na mustakabali bora kabisa wa taifa letu.

Wawe na katiba yao na ynajimu wao na wafuasi wao na wanao jipendekeza kwao, Nchi kama isha anza biashara ya kutishiana kuwa ukigombea unakufa is this free democracy, au scaring Democracy?? au hii tanzania ni ya watu wachache?? maana nami ntaanza kuuliza maana kila matokeo na matukio kama haya yanatokea DAR? why DAR evrything is DAR DAR DAR sasa imefika wakati muhamie DODOMA sasa huko naona mumeshindwa hata kupeana mawazo na ushauri wa kimaendeleo na mwatishiana maisha sasa katika kuliongoza Taifa changa kama hili, ni dhahili kwamba sasa huko Dar mwaishi kiujanja ujanja tuuu basi na kutunga stories kila kukicha.

MJJK nkuulize "
.......mshikamano na mustakabali bora kabisa wa taifa letu" Tokea wapi?from scaring Democracy?
Tanzania ina MUSTAKABALI BORA UPI? ulisha sikia nchi hii ina mustakabali kweli???

Katiba ibadilishwe na JK asiwe Rais wa maisha na awe Rais wa kwanza kutumikia Tanzania for 5yrs na tuwe na rais mwingine with new KATIBA na hao wanajua kunajimu watafutiwe Kisiwa chao na KJ awe RAIS wao. Mambo gani haya ya kutishia maisha NDIO LEO MWANIAMBIA KUWA TANZANIA INA AMANI?????? ipi??? Mtu anatishia watu Uhai wa haki zao za kimsingi hawa Human Rights wako wapiiiiiii???
Huuuuu UHURU sasa wa kila kitu esp wa kutamka umepitiliza sasa naona kila mmoja ananza kuwa MC na nikiongozi

 
On my dead body..hakuna atakayebadili katiba ya Tanzania bara..sina uhakika na zenj..lol

Ivi mpwa nkuulize wewe ni wale kati ya watu hawaamini changes ipo siku zitatokea??? maana
"Living without change would be inconceivable and unbearable. At the same time few of your kind would care to go on living in the midst of ceaseless, chaotic, completely unpredictable change."

 
Ivi mpwa nkuulize wewe ni wale kati ya watu hawaamini changes ipo siku zitatokea??? maana "Living without change would be inconceivable and unbearable. At the same time few of your kind would care to go on living in the midst of ceaseless, chaotic, completely unpredictable change."

wewe wasema!

na wewe wafanya conclusion kazi kweli kweli!

At least i am sure JK hawezi kuchange constitution come 2015! he has no guts to do so,
 
mkifikiria sana utaona kuwa pendekezo langu kwa kweli ndilo pendekezo bora zaidi la kutusaidia kuachana na uongozi uchwara. Maana hata yeye anashindwa kufanya kazi nyingi hasa kwa mfano mwaka huu akifikiria mambo ya uchaguzi! Anaogopa hata kwenda kufanyiwa upasuaji bwana.

MMJ umetoa pendekezo halafu unaji-thank mwenyewe. Ingawa ni pendekezo zuri lakini litatupeleka kwenye udikteta, kwanza tuangalie athari za udikteta kama ni nzuri ama la ndipo tuje na wazo lako. Mfano Gadafi ana zaidi ya miaka 40 madarakani mafanikio yakoje, Mugabe je, Omary Bongo wa Gabone je matunda yao yakoje etc. Baada ya kuchambua sasa tutakuwa na uamuzi mwafaka kusuka au kunyoa liwalo na liwe, lakini kwa sasa tutakuja kulaumiana tu mbeleni.
 
Katiba haitabadilishwa lakini JK atagombewa mara ya pili kama katiba inavyotaka period!

Teh Teh mpwa katiba ipi inavyosema??? yeye JK naye anaruhusiwa kuchukuwa fomu kama wagombea wengine wanavyochukuwa fomu kwa awamu ya uchaguzi ujao katiba inase 5yrs tu, ila CCM wanataratibu zao za mapendekezo kumruhusu kiongozi aliyepo kuendelea kama wameridhika nae.

Na kuhusu kubadilisha KATIBA JK is still in Scaring Democracy Cycle but changes will come soon amini nakuambia na istitoshe ikatokea within 2010 upto 2015.

 
...........Mfano Gadafi ana zaidi ya miaka 40 madarakani mafanikio yakoje,...........

Mpwa wataka kuniambia Gadafi alipofika sie TANZANIA twakaribiaaaa lets be honesty here na amani yetu tuliyo nayo where ar we till now?? Gadafi Kapitia Economic Sanction kwa muda gani?

Nawe tupe adhali ya Uongozi uliopo amabao ni HURU na umetuletea faida gani??? Zaidi ya kutuzidishia machungu na zurumati ya wenyewe kwa wenyewe esp kwa walionacho na maskini chunguza gap lililopo na utupe jibu

 
Teh Teh mpwa katiba ipi inavyosema??? yeye JK naye anaruhusiwa kuchukuwa fomu kama wagombea wengine wanavyochukuwa fomu kwa awamu ya uchaguzi ujao katiba inase 5yrs tu, ila CCM wanataratibu zao za mapendekezo kumruhusu kiongozi aliyepo kuendelea kama wameridhika nae.

Na kuhusu kubadilisha KATIBA JK is still in Scaring Democracy Cycle but changes will come soon amini nakuambia na istitoshe ikatokea within 2010 upto 2015.

Nazungumzia katiba ya nchi mpwa? hiyo hakuna wa kuibadilisha rais atatakiwa kutawala mara mbili mfulilizo period! ya CCM hainihusu mimi! wana CCM wataamua wenyewe wakubali utaratibu wao wamwachie JK au la! wakimweka mtu mwingine is also fine..ka

Changes will come, may be JK is the source of change itself...lakini siyo ya kubadilisha katiba for life presidency..miaka 23 ya nyerere wengine ilikuwa hell and failures..how about life presidency..hakuna atakayekubali hilo mpwa!
 
Nazungumzia katiba ya nchi mpwa? hiyo hakuna wa kuibadilisha rais atatakiwa kutawala mara mbili mfulilizo period! ya CCM hainihusu mimi! wana CCM wataamua wenyewe wakubali utaratibu wao wamwachie JK au la! wakimweka mtu mwingine is also fine..ka

Teh teh mpwaaaaaa usije ukafanya watu wakakushambulia waamkapo asubuhi, wakumbuka Mwenyekiti Mstaafu wa DODOMA -CCM na wenzake wenyeviti walipokuta DAR walisemaje??? kuwa CCM wanautaratibu wao wa kumpa tena nafasi ya kuongoza muhula wa pili kwa Rais aliyepo madarakani wakiwa wameridhika naye.
Sasa Mpwa niambie ni KATIBA ipi hiyo ya nchi yetu inamruhusu Rais atawale 5yrs 5yrs mfululizo? basi kusingalikuwepo uchaguzi aftr 5yrs ni mpaka aftr 10yrs. umenisoma????

 
Kwa vile kuna kundi la watu ambao wanaamini kabisa kuwa hakuna mtu mwingine yoyote (ndani ya CCM au nje yake) ambaye anaweza kuliongoza Taifa letu na kuwa Tanzania bila ngwe ya pili ya Kikwete haiwezekani basi CCM na mashabiki wa utawala bora wa Kikwete waamue kubadilisha Katiba ili waondoe vikomo vya utawala na ikiwezekana wapitishe uamuzi wa kumtangaza Rais Kikwete kama Rais wa Maisha wa Tanzania.

Kwa kufanya hivi angalau tutajua tugombee mambo ya ubunge tu kwani Urais tayari una mwenyewe!
,
Na wewe tumechoka na ujinga wako sasa.
kama unaona vipi seti mambo mengine kwenye mtandao, rudi bongo na ingia kwenye siasa.

umekuwa mzushi sana bro na wivu kibao.

punguza domo.
 
Hii idea hata Kikwete mwenyewe akisikia ataona ni ujinga na upuuzi, it is very possible hata mwenyewe hataki kugombea kipindi cha pili. Ni Kikwete huyo huyo alipinga ujinga wa third term uliotaka kutokea Zanzibar, am sure JK hawezi kuwa mtu wa namna hiyo.
 
Wakati mwingine watu muwe mnasoma kilichoandikwa! ndio maana watu wengine wanaona hatuwezi kuendelea. Mtu kaandika kitu kimoja watu wanasoma kitu kingine kabisa! Sijui ni wapi nimesema Kikwete abadili Katiba! gademu!
 
Nadhani kila anayesemea jambo fulani hufanya hivyo akitanguliza maslahi na hasa maslahi binafsi. Lakini kiujumla jumla atadai ayasemayo ni kwa manufaa ya wengi. Yahaya shehe katahadharisha wana CCM wasimpinge wana kupambana na kikwete kwenye kinyakanyilo cha uraisi 2010 vinginevo watakufa. Nawaonea huruma watanzania wanaoelekea kulikubali hili, kwa shehe Yahaya - kikwete akipata kuwa raisi tena, ana mengi yakufaidi ikiwa ni pamoja na kumpata kadhi ambaye ameshindikana katika hii miaka 5. Mimi nadhani kikwete ukiwete wake kutuongoza upo dhahili na vita dhidi ya mafisadi hasa ndiyo iliyommaliza. Hata haya mautabili ya kishirikina ya akina Yahaya shehe nadhani ni mbinu chafu za mafisadi na ndiyo maana utabili wenyewe umekuta ikulu imejaa vilaza wakadakia kuunga mkono. Acheni upuuzi huu na nadhani watu twapaswa kuukemea
 
Ninahisi Mwanakijiji anamaanisha kuwa, kila kukicha wana zidi kutokea watu ambao wanataka kutuaminisha kuwa hakuna Rais bora kama Kikwete, na haswa kipindi hiki tunapoelekea kwa uchaguzi. Hata Makamba alisema Kikwete ndio mtaji wa CCM (REDET study). Na wengine wamehongwa ili watutishe kuwa atakayejitokeza kupingana na Kikwete 2010 basi atakufa ghafla.

Kama ni hivyo, na kama wote tunajiaminisha Kwelikweli kuwa this guy ni chaguo la Mungu, maana huwezi kuwa na sifa hizi zote afu ukaishia kwa vipindi viwili tu, Basi ndio maana Mwanakijiji anasema, tumpe Ruhusa (tubadili katiba) atuongoze maisha.

Vinginevyo kama kuna watu mbadala na tunajua wapo (what if this man dies - Mungu apishe mbali), tunawahitaji wajitokeze! Ili hizi blah blah za vibaraka hawa uchwara ziishe. Nchi inaongozwa kidemokrasia bwana, na hata kama sisi hatutaki, the wind of change itatuswaga na kutulazimishe tuelekee huko.
 
Naunga mkono hoja yako mkuu..

ila naogopa kwa kuwa taifa letu litaendelea kuwa taifa la kuhudumia wagonjwa..

sijui mpaka sasa gharama kubwa ni kiasi gani?

hivi ripoti za mkaguzi mkuu huwa zina gharama hizi ama ni kasma

Mzee Gembe
 
Ninahisi Mwanakijiji anamaanisha kuwa, kila kukicha wana zidi kutokea watu ambao wanataka kutuaminisha kuwa hakuna Rais bora kama Kikwete, na haswa kipindi hiki tunapoelekea kwa uchaguzi. Hata Makamba alisema Kikwete ndio mtaji wa CCM (REDET study). Na wengine wamehongwa ili watutishe kuwa atakayejitokeza kupingana na Kikwete 2010 basi atakufa ghafla.

Kama ni hivyo, na kama wote tunajiaminisha Kwelikweli kuwa this guy ni chaguo la Mungu, maana huwezi kuwa na sifa hizi zote afu ukaishia kwa vipindi viwili tu, Basi ndio maana Mwanakijiji anasema, tumpe Ruhusa (tubadili katiba) atuongoze maisha.

Vinginevyo kama kuna watu mbadala na tunajua wapo (what if this man dies - Mungu apishe mbali), tunawahitaji wajitokeze! Ili hizi blah blah za vibaraka hawa uchwara ziishe. Nchi inaongozwa kidemokrasia bwana, na hata kama sisi hatutaki, the wind of change itatuswaga na kutulazimishe tuelekee huko.

Mundu.. yaani umewatafunia, hadi umewamezea; sasa washibe tu!
 
huyu huyu jamaa anayediriki kusema "Sijui kiini cha umasikini wa watanzania".....duh - nafikiri MM anatufumbua macho kuwa kuubeba mzigo huu awamu nyingine ni tatizo kubwa kwa taifa letu.
 
Tanzania, hata chizi anaweza kuwa Rais. Ni Job Description ipi ya rais wa tz inayoshindikana?
 
Back
Top Bottom