Kyamkwikwi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 441
- 146
Habari JF GT,
Baada ya kuzisoma comments na posts nyingi mbalimbali humu na kwenye baadhi ya newspapers nikalazimika kuanza kutafiti kidogo ili nipate picha halisi ya mgawanyo wa kura katika kata mbalimbali. Kusema kweli kwa mtu yeyote makini anayejua kupima ukuaji wa taasisi au chama cha siasa atakubaliana na mimi kuwa unahitaji kupumbazika au kufyatuka akili kidogo ili kuweza kubeza kwa namna yoyote ile ukuaji huu wa chama cha CDM katika sehemu mbalimbali za nchi. Hakika hii hali bila ushabiki ni tishio kubwa sana kwa ustawi wa CCM na serikali yake. Pamoja na ukweli kwamba CDM imeifunika na kuiporomosha CCM kwa kulinda kata zake na kuinyanganya CCM kata nyingine tatu, ebu twende mbele zaidi tuyatathimini matokeo ya kila kata kwa kina zaidi. Mimi nimeanza na naendelea kufatilia maeneo mengine ili niweze kupata uhalisia wa kila kata, kusema kweli CCM kaa chonja CDM inawamaliza ebu jichunguze vinginevyo kwa margin hii mtajikuta shimoni mda si mrefu. Kama bado na huu mnauita ushindi wa kimbumga basi mtakuwa mmelogwa na bila shaka hakuna tena jambo litakaloweza kuwaamsha usingizini. Ebu Nape wasaidie vipofu wenzio japo na wewe uko kwenye kundi hilo hilo kwa jinsi nilivyo kusikia ukibwabwaja, lakini waambie ukweli kuwa jamani ee tumekwisha, sidhani kama kweli bado mnaamini habari za chama cha msimu, KALAGABAO....!!!!!
Baada ya kuzisoma comments na posts nyingi mbalimbali humu na kwenye baadhi ya newspapers nikalazimika kuanza kutafiti kidogo ili nipate picha halisi ya mgawanyo wa kura katika kata mbalimbali. Kusema kweli kwa mtu yeyote makini anayejua kupima ukuaji wa taasisi au chama cha siasa atakubaliana na mimi kuwa unahitaji kupumbazika au kufyatuka akili kidogo ili kuweza kubeza kwa namna yoyote ile ukuaji huu wa chama cha CDM katika sehemu mbalimbali za nchi. Hakika hii hali bila ushabiki ni tishio kubwa sana kwa ustawi wa CCM na serikali yake. Pamoja na ukweli kwamba CDM imeifunika na kuiporomosha CCM kwa kulinda kata zake na kuinyanganya CCM kata nyingine tatu, ebu twende mbele zaidi tuyatathimini matokeo ya kila kata kwa kina zaidi. Mimi nimeanza na naendelea kufatilia maeneo mengine ili niweze kupata uhalisia wa kila kata, kusema kweli CCM kaa chonja CDM inawamaliza ebu jichunguze vinginevyo kwa margin hii mtajikuta shimoni mda si mrefu. Kama bado na huu mnauita ushindi wa kimbumga basi mtakuwa mmelogwa na bila shaka hakuna tena jambo litakaloweza kuwaamsha usingizini. Ebu Nape wasaidie vipofu wenzio japo na wewe uko kwenye kundi hilo hilo kwa jinsi nilivyo kusikia ukibwabwaja, lakini waambie ukweli kuwa jamani ee tumekwisha, sidhani kama kweli bado mnaamini habari za chama cha msimu, KALAGABAO....!!!!!
No. | KATA | JUMLA YA KURA (BILA YA ZILIZOHARIBIKA) | CDM% | CCM% | WAPI |
1. | Rwezera | 2582 | 36.13 | 50.70 | Geita |
2. | Kilema Kusini | 2894 | 25.43 | 27.54 | TLP ilishinda -Kilmjaro |
3. | Nanjara Reheha | 3498 | 67.75 | 32.25 | Lindi |
4. | Mnero Miembeni | 1567 | 8.81 | 52.20 | " |
5. | Myovizi, Mbozi | 3224 | 46.46 | 53.53 | Mbozi na Momba |
6. | Mpapa, Momba | 1213 | 25.56 | 74.44 | " |
7. | Mahenge | 1154 | 38.47 | 61.52 | Morogoro |
8. | Mtibwa | 4468 | 69.29 | 30.70 | " |
9. | Daraja2 | 3743 | 58.59 | 35.37 | Arusha |