Huenda ikawa baada ya miaka 100 ijayo ngozi nyeusi ikapatikana kwa nadra hapa Tanzania kama ilivyo kwa Madagascar na Mauritius. Kupata mtu mweusi wa asili itabidi labda uende ndani kabisa mashambani huko vijijini. Majina ya asili yatachanganyikana na ya kichina kwa hiyo yatapotea kabisa.
Majina kama 'Mpango' utakuta limeshabadilika kutokana na uzalishwaji wa mbegu mpya wakati huo utakuta mtu anataitwa 'Mpanguang'. Kile kizazi cheusi kilichobaki wataonekana kama watumwa katika ardhi yao lakini baada ya muda mrefu watajikusanya na kuanza kudai nchi yao.
Kwa hiyo itakuwa ni vita ya ukombozi vya watwana kujikomboa kutoka kwa mabwana ambao ndiyo watakuwa wanafidi nchi.
Mungu apishilie mbali hili.
Majina kama 'Mpango' utakuta limeshabadilika kutokana na uzalishwaji wa mbegu mpya wakati huo utakuta mtu anataitwa 'Mpanguang'. Kile kizazi cheusi kilichobaki wataonekana kama watumwa katika ardhi yao lakini baada ya muda mrefu watajikusanya na kuanza kudai nchi yao.
Kwa hiyo itakuwa ni vita ya ukombozi vya watwana kujikomboa kutoka kwa mabwana ambao ndiyo watakuwa wanafidi nchi.
Mungu apishilie mbali hili.