Duh! Na tunapata nini huko ??Loliondo ni miaka 99.
Na zaidi ya hapo hawa wazee wakumbuke, 2025 ipo karibu na wapiga kura nk ni watu tofauti sana licha ya juhudi zao za kuwahada haya Malindi, akina Mama, vijana, wazee na watu wengine kwa jumla lakini njia ya muongo ni fupi muda utaongea