Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 783
- 525
Vile ambavyo serikali ya awamu ya tano iliwaaminisha wananchi kuwa bandari ya Bagamoyo ulikuwa mradi usiotufaa kwa masharti yake, na ikafikia hatua ya kuuita kwamba ni mradi ambao ungekubaliwa na mtu mwendawazimu. Je, serikali imegeuka kuwa mwendawazimu?
Inawezekana maslahi yapo lakini mashaka yakiwa makubwa ni vyema kujiuliza na pengine kuahilisha zoezi. Inawezekana kuna shinikizo la kujenga mradi huo ama kutoka nje au ndani, tafakari kwanza huu ni mtego kwako ukizingatia aliyekataa umefanya naye kazi na ulikuwa mshauri wake.
Madai ya kuanza na pesa ya ndani si wazo baya lakini limepitishwa bungeni? yapo mengi yanayotegemewa na budget hiyo kuanzisha vitu vinavyoweza kusubiri ni kuipa mzigo mzito Nchi ukizigatia tuna miradi mingi iliyoko kwenye utekelezaji tuna madeni ya kututosha tupumue kwanza Bagamoyo itajegwa baadae Tanzania ni yetu wote.
Inawezekana maslahi yapo lakini mashaka yakiwa makubwa ni vyema kujiuliza na pengine kuahilisha zoezi. Inawezekana kuna shinikizo la kujenga mradi huo ama kutoka nje au ndani, tafakari kwanza huu ni mtego kwako ukizingatia aliyekataa umefanya naye kazi na ulikuwa mshauri wake.
Madai ya kuanza na pesa ya ndani si wazo baya lakini limepitishwa bungeni? yapo mengi yanayotegemewa na budget hiyo kuanzisha vitu vinavyoweza kusubiri ni kuipa mzigo mzito Nchi ukizigatia tuna miradi mingi iliyoko kwenye utekelezaji tuna madeni ya kututosha tupumue kwanza Bagamoyo itajegwa baadae Tanzania ni yetu wote.