ITV na Radio one watarusha Live ondoa shakaNdugu jaribuni kurusha hata kwenye Tv mojawapo ila hat sisi wa huku mikoani tuweze kucheki kama itawezekana.
ITV na Radio one watarusha Live ondoa shakaNdugu jaribuni kurusha hata kwenye Tv mojawapo ila hat sisi wa huku mikoani tuweze kucheki kama itawezekana.
Mkuu Ritzwewe ni kijana au mzee?Unanishambulia mie unaniita kilaza kisa nimetoa maoni yangu waongeze wakongwe kwenye kongamano, sasa wewe ambaye sio kilaza sijui umechangia nini?
Kwani sasa hivi Zanzibar haipo? Nikuhakikishie jambo moja: Hata Muungano ukivunjika leo, Tanzania itabaki. Hatuwezi kurudi kuitwa TANGANYIKA. Asilimia kubwa ya watu wetu ni WATANZANIA. Wamebaki akina Kingunge, Wassira, Jakaya, Lowasa,...., ndio waliozaliwa Watanganyika.
Tupende mabadiliko, tukiwasikiliza akina Dr Lwaitama kila siku hatutapata mawazo mapya. Mimi kwa mfano nilisoma na Ester Wasira ana hoja nzito sana. Nadhani tuwape nafasi na tuanze kulea kizazi kipya kitakachochukua nafasi za akina Prof Issa Shivji
Kuna Pro-Chadema kasema bora viongozi wa Bavicha wangekuwepo, Chadema bana.
UDASA & ITV
Wanawaletea
Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Mwalimu Nyerere
Mada Kuu: 'Nini Jukumu la Kihistoria la Vijana Tanzania katika Kumuenzi Mwalimu Nyerere?
Tarehe: Jumapili 14 Oktoba 2012
Muda: Saa 8.00 mchana hadi Saa 11.30 jioni(2.00pm-5.30pm)
Ukumbi: Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Wazungumzaji Wakuu
1. Ndugu Deus Kibamba
2. Mheshimiwa Jerry Silaa
3. Ndugu Esther Wasira
4. Dk Vincesia Shule
Wote Mnakaribishwa
UDASA & ITV
Wanawaletea
Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Mwalimu Nyerere
Mada Kuu: 'Nini Jukumu la Kihistoria la Vijana Tanzania katika Kumuenzi Mwalimu Nyerere?
Tarehe: Jumapili 14 Oktoba 2012
Muda: Saa 8.00 mchana hadi Saa 11.30 jioni(2.00pm-5.30pm)
Ukumbi: Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Wazungumzaji Wakuu
1. Ndugu Deus Kibamba
2. Mheshimiwa Jerry Silaa
3. Ndugu Esther Wasira
4. Dk Vincesia Shule
Wote Mnakaribishwa
UDASA & ITV
Wanawaletea
Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Mwalimu Nyerere
Mada Kuu: 'Nini Jukumu la Kihistoria la Vijana Tanzania katika Kumuenzi Mwalimu Nyerere?
Tarehe: Jumapili 14 Oktoba 2012
Muda: Saa 8.00 mchana hadi Saa 11.30 jioni(2.00pm-5.30pm)
Ukumbi: Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Wazungumzaji Wakuu
1. Ndugu Deus Kibamba
2. Mheshimiwa Jerry Silaa
3. Ndugu Esther Wasira
4. Dk Vincesia Shule
Wote Mnakaribishwa
Ametuachia umaskini usiokuwa na mwisho halafu leo tumuenzi si upuuzi mwingine huu pelekeni facebook huko.
UDASA & ITV
Wanawaletea
Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Mwalimu Nyerere
Mada Kuu: 'Nini Jukumu la Kihistoria la Vijana Tanzania katika Kumuenzi Mwalimu Nyerere?
Tarehe: Jumapili 14 Oktoba 2012
Muda: Saa 8.00 mchana hadi Saa 11.30 jioni(2.00pm-5.30pm)
Ukumbi: Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Wazungumzaji Wakuu
1. Ndugu Deus Kibamba
2. Mheshimiwa Jerry Silaa
3. Ndugu Esther Wasira
4. Dk Vincesia Shule
Wote Mnakaribishwa
Wassira na Sitta hawamkumbuki vizuri Mwalimu ingawa ndie alieanza kuwatoa huko walikokuwa. Mwalimu aliwatupilia mbali wakati fulani wakabaki wabangaizaji mtaani.Ningeshauri,ili kongamano linoge mngetafuta mzee mmoja mropokaji anayeweza amsha hasira za wachangiaji..nashauri mtu kama Wassira,au Sitta anafaa sana.
Ofcourse kwa maneno-"Shughuli" na "Lazima" tupo tofauti,Nilichogundua mie na wewe tupo tofauti kiumri, ninaposema wakongwe Mwl Kitila Mkumbo, kanielewa shughuli yeyote ya Mwl Nyerere pale Nkurumah lazima wakongwe kama Prof Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu, Salim A Salim wanakuwepo.
Muhimu ni hawa wahuni wa Zanzibar kuondoka na Zanzibar yao. Hili la kubadili jina lina usumbufu na gharama zake nyingi tu kitaifa na kimataifa pia. Kuna vitu vingi tu tutabadili tukiendekeza hili ukiwemo wimbo wa Taifa, nembo za kitaifa, uraia,..., yote hayo ya nini.Mkuu vipi unaona aibu kuitwa Mtanganyika hata ung'ang'anie jina lenye elements za Zanzibar japo imeshajiondoa kwenye Muungano?
Waswahili wanasema "mkataa asili kafiri" .......
Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Mwalimu Nyerere
Mada Kuu: 'Nini Jukumu la Kihistoria la Vijana Tanzania katika Kumuenzi Mwalimu Nyerere?
Wazungumzaji Wakuu
1. Ndugu Deus Kibamba
2. Mheshimiwa Jerry Silaa
3. Ndugu Esther Wasira
4. Dk Vincesia Shule
Muhimu ni hawa wahuni wa Zanzibar kuondoka na Zanzibar yao. Hili la kubadili jina lina usumbufu na gharama zake nyingi tu kitaifa na kimataifa pia. Kuna vitu vingi tu tutabadili tukiendekeza hili ukiwemo wimbo wa Taifa, nembo za kitaifa, uraia,..., yote hayo ya nini.
Jina lenyewe Tanganyika limekaa kishamba sana. Teh Teh.
Tupende mabadiliko, tukiwasikiliza akina Dr Lwaitama kila siku hatutapata mawazo mapya. Mimi kwa mfano nilisoma na Ester Wasira ana hoja nzito sana. Nadhani tuwape nafasi na tuanze kulea kizazi kipya kitakachochukua nafasi za akina Prof Issa Shivji
Mkuu
Naona mmekosa kabisa wazungumzaji ama? Kibamba na Mh J.Silaa, hawana credibility ya kuwa wazungumzaji, kwenye kongamano kubwa kama hilo la wanazuoni, tena ni UDASA!!.... huyo Kibamba ni mropokaji tu.. ni mtu wa ndimu mbili, hafai, Silaa nae ndio kabisaa, anaishi maisha gani? Kibamba usanii anajitengenezea jina ili apige pesa kwa wafadhili, Silaa.. uchaguzi UVCCM... hamna kitu hao.kwa vyovyote vile hao hawana connection nzuri ya maisha yao na mada tajwa!
Mkuu, kwenye familia ya Nyerere hakuna Kijana/mtu mzuri wa kuweza kuwa ni mzungumzaji mnatuwekea hao wasanii?
Ni kwanini magongamano ya Mwl. Nyerere huwa hamhusishi na familia yake?
Sijafahamu sifa walizotumia UDASA na ITV kuwaalika hao wawili kuwa wazungumzaji. ndio maana huwa nasema hakuna mtu hapo UD atakaeweza kuziba pengo la Prof. Chachage.RIP
Kongamano hilo ni kubwa ila limefanywa kuwa ni rahisi tu, Nitafika ama kuangalia ITV, kuwaona/ kuwasikiliza hao wawili (Blue) kwa kuwa siwafahamu, ila Prof. Chachage kafa na UDASA yake. full stop.
Mwisho! Kuna wana JF wangeweza kuliko hao wasanii hata Ritz TUMBIRI Mungi chama mikaelPAwenda benSaanane mwaJ na wengine kibao