Tanganyika iliyodumu sana ni ile ya mkoloni Mwingereza: 1919-1961. Tanganyika huru ilidumu kwa miaka miwili na ushei hivi: Dec 1961 hadi April 1964. Majina haya ya kikoloni kwa NCHI nyingi za Africa yaliachwa baada ya Uhuru kwa mfano Malawi, Zambia, Zimbabwe, Ghana, DRC,..., yaliyobaki ni yale yenye asili halisi na nchi yenyewe kama vile Kenya, Uganda, Sudan,...Nadhani hicho ndicho kinachokusumbua. Kasumba ya kuwa jina Tanganyika limekaa kishamba.
Huna tofauti na wale wanaokataa majina ya babu zao kisa hayaendani na image zao za "kimjini mjini"
Aibu kwako
Tanganyika iliyodumu sana ni ile ya mkoloni Mwingereza: 1919-1961. Tanganyika huru ilidumu kwa miaka miwili na ushei hivi: Dec 1961 hadi April 1964. Majina haya ya kikoloni kwa NCHI nyingi za Africa yaliachwa baada ya Uhuru kwa mfano Malawi, Zambia, Zimbabwe, Ghana, DRC,..., yaliyobaki ni yale yenye asili halisi na nchi yenyewe kama vile Kenya, Uganda, Sudan,...
Ni vigumu mno ku-trace jina hili Tanganyika. Tukibaki na jina TANZANIA ni kumuenzi Mwalimu pia.
Tanganyika iliyodumu sana ni ile ya mkoloni Mwingereza: 1919-1961. Tanganyika huru ilidumu kwa miaka miwili na ushei hivi: Dec 1961 hadi April 1964. Majina haya ya kikoloni kwa NCHI nyingi za Africa yaliachwa baada ya Uhuru kwa mfano Malawi, Zambia, Zimbabwe, Ghana, DRC,..., yaliyobaki ni yale yenye asili halisi na nchi yenyewe kama vile Kenya, Uganda, Sudan,...
Ni vigumu mno ku-trace jina hili Tanganyika. Tukibaki na jina TANZANIA ni kumuenzi Mwalimu pia.
bado unasadifu hilo jina ona unavyojigonga!!! waongeze wakongwe ama nguvu? ndio ukilaza wenyewe huo, umesahau kitu cha dakika60 tu, ndio huitwa umelaza yaani kilaza....soma nayoyaita maoni yako ya kwanza na unachosema sasa
Nilichogundua mie na wewe tupo tofauti kiumri, ninaposema wakongwe Mwl Kitila Mkumbo, kanielewa shughuli yeyote ya Mwl Nyerere pale Nkurumah lazima wakongwe kama Prof Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu, Salim A Salim wanakuwepo.
Muiltiple Ids, sasa hivi ipo offline, ikirudi inaanza na likes kwa Ritz, sajafahamu wewe die nani wake? na daima huwezi kuziona point zangu mpaka tukutoe huo ukungu! mitazamo daima huwa tofauti nauwezo tofauti, huyo na mie ni tofauti kama alivyokwambia. endeleeni kuwa na IDs nyingi tu, mtazidi kuumbuka.Tangu nimeanza kukusoma humu jamvini sijawahi kuelewa point yoyote katika posts zako zaidi ya kuwashambulia na kuwadhihaki wale usiokubaliana na mawazo yako. Ritz katoa pendekezo lake wewe unaanza kumshambulia na kumdhihaki.
Kutakuwa na wachangiaji wengine nadhani hao ni wazungumzaji wakuu tu, wazee watapata pia nafasi ya kuchangia hoja za hao vijana. Wazee hawawezi kuwasemea vijana ila vijana waseme na wazee wachangie
Muiltiple Ids, sasa hivi ipo offline, ikirudi inaanza na likes kwa Ritz, sajafahamu wewe die nani wake? na daima huwezi kuziona point zangu mpaka tukutoe huo ukungu! mitazamo daima huwa tofauti nauwezo tofauti, huyo na mie ni tofauti kama alivyokwambia. endeleeni kuwa na IDs nyingi tu, mtazidi kuumbuka.
Zitto akisema tunageuka!!!!!
UDASA & ITV
Wanawaletea
Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Mwalimu Nyerere
Mada Kuu: 'Nini Jukumu la Kihistoria la Vijana Tanzania katika Kumuenzi Mwalimu Nyerere?
Tarehe: Jumapili 14 Oktoba 2012
Muda: Saa 8.00 mchana hadi Saa 11.30 jioni(2.00pm-5.30pm)
Ukumbi: Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Wazungumzaji Wakuu
1. Ndugu Deus Kibamba
2. Mheshimiwa Jerry Silaa
3. Ndugu Esther Wasira
4. Dk Vincesia Shule
Wote Mnakaribishwa
Kitila Mkumbo kusema kweli wazungumzaji wakuu wanatia kichefuchefuUDASA & ITV
1. Ndugu Deus Kibamba
2. Mheshimiwa Jerry Silaa
3. Ndugu Esther Wasira
4. Dk Vincesia Shule
UDASA & ITV
Wanawaletea
Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Mwalimu Nyerere
Mada Kuu: 'Nini Jukumu la Kihistoria la Vijana Tanzania katika Kumuenzi Mwalimu Nyerere?
Tarehe: Jumapili 14 Oktoba 2012
Muda: Saa 8.00 mchana hadi Saa 11.30 jioni(2.00pm-5.30pm)
Ukumbi: Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Wazungumzaji Wakuu
1. Ndugu Deus Kibamba
2. Mheshimiwa Jerry Silaa
3. Ndugu Esther Wasira
4. Dk Vincesia Shule
Wote Mnakaribishwa
Muiltiple Ids, sasa hivi ipo offline, ikirudi inaanza na likes kwa Ritz, sajafahamu wewe die nani wake? na daima huwezi kuziona point zangu mpaka tukutoe huo ukungu! mitazamo daima huwa tofauti nauwezo tofauti, huyo na mie ni tofauti kama alivyokwambia. endeleeni kuwa na IDs nyingi tu, mtazidi kuumbuka.
unataka ianzishwe UAMSHO day?Peleka, hayo ni maoni yako! muhimu kwangu mimi sasa hivi hapa ni kuwa nina hoja nzito ya kufutwa kwa hii Nyerere Day.
safu ya wazungumzaji haina mvuto sana ila ntakuja dr.kwakuwa namuona kibamba zaidi. esther labda tu kwakuwa tumemkaribisha kwetu juzi. jerry hana lolote, shule atajaribu.UDASA & ITV
Wanawaletea
Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Mwalimu Nyerere
Mada Kuu: 'Nini Jukumu la Kihistoria la Vijana Tanzania katika Kumuenzi Mwalimu Nyerere?
Tarehe: Jumapili 14 Oktoba 2012
Muda: Saa 8.00 mchana hadi Saa 11.30 jioni(2.00pm-5.30pm)
Ukumbi: Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Wazungumzaji Wakuu
1. Ndugu Deus Kibamba
2. Mheshimiwa Jerry Silaa
3. Ndugu Esther Wasira
4. Dk Vincesia Shule
Wote Mnakaribishwa
Ningependa kujua kama ikitokea Chadema ikichukua nchi, CCM day itabakia au itaondoka?unataka ianzishwe UAMSHO day?