Hii siku inaigharimu sana serikali!...hebu wataalamu tufahamisheni ni kiasi gani cha pesa serikali inapoteza kwa siku moja hii "Nyerere Day" hasahasa inapoangukia siku ya kazi ambapo uzalishaji,utendaji husimami na serikali kukosa pato kama vile ukusanyaji wa kodi.
Wataalamu tuwekeeni kiasi cha pesa ambayo serikali inapoteza kwenye hii siku moja ili tuone kama kweli kuna faida kwa nchi changa kama Tanzania kujiongezea mzigo mzito namna hii kwa ajili tu ya Nyerere.
Wataalamu tuwekeeni kiasi cha pesa ambayo serikali inapoteza kwenye hii siku moja ili tuone kama kweli kuna faida kwa nchi changa kama Tanzania kujiongezea mzigo mzito namna hii kwa ajili tu ya Nyerere.