Princess qute
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 621
- 551
Naomba msaada kujua sifa za mdhamini wako kwenye viambatanisho vya form ya mkopo kwa mfano mama huna baba unae lkn baba mtu mzima sana haifai kuwa mdhamini wako kwasababu mtimzima? Na uyo mdhamini wako board wanamuangalia km nani pls msaadahapo nyuma ulikua kama una Principal moja unaenda foundation programme halafu ukifauli unaenda Bachelor.ila kwa ssa ndo basi tena...Hamna namna.