Angalia hapa Matokeo ya Kidato cha 6 mwaka 2023

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) imetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023 huku yakionyesha ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka jana.

Akitangaza matokeo hayo leo Julai 12, 2023 katika ofisi za Baraza hilo Zanzibar, Katibu Mtendaji wa Necta Dk Said Mohamed amesema jumla ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mtihani ni 106, 883 huku wasichana wakiwa ni 47, 340 na wavulana 59, 543.

"Jumla ya watahiniwa 104,549 sawa na asilimia 99.23 ya watahiniwa waliofanya mtihani wa kidato cha sita 2023 wamefaulu," amesema.

Wasichana waliofaulu ni 46,707 sawa na asilimia 99.51 huku kwa upande wa wavulana, waliofaulu ni 57, 843 sawa na asilimia 99.

Mwaka 2022 waliofaulu walikuwa 93,136 sawa na asilimia 98.97 hivyo ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka 2023.

BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023
 
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) imetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023 huku yakionyesha ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka jana.

Akitangaza matokeo hayo leo Alhamisi Julai 13, 2023 katika ofisi za Baraza hilo Zanzibar, Katibu Mtendaji wa Necta Dk Said Mohamed amesema jumla ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mtihani ni 106, 883 huku wasichana wakiwa ni 47, 340 na wavulana 59, 543.

"Jumla ya watahiniwa 104,549 sawa na asilimia 99.23 ya watahiniwa waliofanya mtihani wa kidato cha sita 2023 wamefaulu," amesema.

Wasichana waliofaulu ni 46,707 sawa na asilimia 99.51 huku kwa upande wa wavulana, waliofaulu ni 57, 843 sawa na asilimia 99.

Mwaka 2022 waliofaulu walikuwa 93,136 sawa na asilimia 98.97 hivyo ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka 2023.

Matokeo angali hapa
 
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) imetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023 huku yakionyesha ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka jana.

Akitangaza matokeo hayo leo Julai 12, 2023 katika ofisi za Baraza hilo Zanzibar, Katibu Mtendaji wa Necta Dk Said Mohamed amesema jumla ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mtihani ni 106, 883 huku wasichana wakiwa ni 47, 340 na wavulana 59, 543.

"Jumla ya watahiniwa 104,549 sawa na asilimia 99.23 ya watahiniwa waliofanya mtihani wa kidato cha sita 2023 wamefaulu," amesema.

Wasichana waliofaulu ni 46,707 sawa na asilimia 99.51 huku kwa upande wa wavulana, waliofaulu ni 57, 843 sawa na asilimia 99.

Mwaka 2022 waliofaulu walikuwa 93,136 sawa na asilimia 98.97 hivyo ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka 2023.

BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023
Kapata 2 ya 10 PCB (CDC) je MD atapata?
 
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) imetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023 huku yakionyesha ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka jana.

Akitangaza matokeo hayo leo Julai 12, 2023 katika ofisi za Baraza hilo Zanzibar, Katibu Mtendaji wa Necta Dk Said Mohamed amesema jumla ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mtihani ni 106, 883 huku wasichana wakiwa ni 47, 340 na wavulana 59, 543.

"Jumla ya watahiniwa 104,549 sawa na asilimia 99.23 ya watahiniwa waliofanya mtihani wa kidato cha sita 2023 wamefaulu," amesema.

Wasichana waliofaulu ni 46,707 sawa na asilimia 99.51 huku kwa upande wa wavulana, waliofaulu ni 57, 843 sawa na asilimia 99.

Mwaka 2022 waliofaulu walikuwa 93,136 sawa na asilimia 98.97 hivyo ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka 2023.

BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023
Kama hakuna grading ya shule inakuwa Haina maana mambo yawe kimya kimya tuu kama chuoni.
 
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) imetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023 huku yakionyesha ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka jana.

Akitangaza matokeo hayo leo Julai 12, 2023 katika ofisi za Baraza hilo Zanzibar, Katibu Mtendaji wa Necta Dk Said Mohamed amesema jumla ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mtihani ni 106, 883 huku wasichana wakiwa ni 47, 340 na wavulana 59, 543.

"Jumla ya watahiniwa 104,549 sawa na asilimia 99.23 ya watahiniwa waliofanya mtihani wa kidato cha sita 2023 wamefaulu," amesema.

Wasichana waliofaulu ni 46,707 sawa na asilimia 99.51 huku kwa upande wa wavulana, waliofaulu ni 57, 843 sawa na asilimia 99.

Mwaka 2022 waliofaulu walikuwa 93,136 sawa na asilimia 98.97 hivyo ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka 2023.

BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023
Mtoto wa baba angu mkubwa ambae Kwa Sasa ana miaka let say 90's
Mmoja ya watoto wake wa uzeeni NDIO amehitimu mwaka huu form 6

Kwa Sasa dogo yupo JKT nimeangalia shule ya kata mchepuko wa science alikokua akisoma matokeo ni kama ifuatavyo
Division 1@18
Division 2@29
Division 3@1
Hakuna division four Wala zero😊😊

Kwa kua Sina namba yake ya mtiani na alivyo kuaga mtundu mtundu I bet atakua na division 2 kali 😊

Pocket money na zile bro Kuna joint nataka nilipie vibomu nya hapa na pale nilikua nazishitukia lakini nampa support ya kibabe 😊😊kumbe dogo atakua alikua anakaza msuli.....

Ntaleta mrejesho hapa....

Nilicho kuja kuamini ukoo wetu haujawai kuwa na watoto vilaza kuanzia wazee wetu mpaka vitukuu vyake kwenye mambo ya masomo KAMA VILE TULICHANJIWA UBONGO WA FISI🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😊😊😊😊
 
Mtoto wa baba angu mkubwa ambae Kwa Sasa ana miaka let say 90's
Mmoja ya watoto wake wa uzeeni NDIO amehitimu mwaka huu form 6

Kwa Sasa dogo yupo JKT nimeangalia shule ya kata mchepuko wa science alikokua akisoma matokeo ni kama ifuatavyo
Division 1@18
Division 2@29
Division 3@1
Hakuna division four Wala zero😊😊

Kwa kua Sina namba yake ya mtiani na alivyo kuaga mtundu mtundu I bet atakua na division 2 kali 😊

Pocket money na zile bro Kuna joint nataka nilipie vibomu nya hapa na pale nilikua nazishitukia lakini nampa support ya kibabe 😊😊kumbe dogo atakua alikua anakaza msuli.....

Ntaleta mrejesho hapa....

Nilicho kuja kuamini ukoo wetu haujawai kuwa na watoto vilaza kuanzia wazee wetu mpaka vitukuu vyake kwenye mambo ya masomo KAMA VILE TULICHANJIWA UBONGO WA FISI🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😊😊😊😊
kipimo cha akili subiri amalize chuo
 
Back
Top Bottom