Habari mkuu..kuna dogo wangu amemaliza PCM na amepata DBB anafkiria kufanya actuarial science au geomatics vp mnazionaje hizi courses kwa soko la ajira hapa tanzania pia kwa mujibu wa results zake mtamshauri afanye course gani nyengine ambazo zina soko hapa tanzania.Natanguliza Shukrani zangu Asante