Mfua suleiman
Member
- Feb 27, 2014
- 60
- 62
Hongera sana swahiba wangu Fahami Matsawili kwa maamuzi ya Busara, Hekima na uzalendo wa hali ya juu kwa kujiunga na chama cha mapinduzi CCM mapema leo.
Hakika wewe ni mmoja kati ya vijana wachache wasomi ambao si watumwa wa kifikra pia mmejaaliwa uzalendo wa hali ya juu kwa taifa hili la Tanzania.
Karibu sana CCM tujenge nchi pamoja katika misingi ya Demokrasia ya kweli na Uhuru wa Mawazo.t
Hakika wewe ni mmoja kati ya vijana wachache wasomi ambao si watumwa wa kifikra pia mmejaaliwa uzalendo wa hali ya juu kwa taifa hili la Tanzania.
Karibu sana CCM tujenge nchi pamoja katika misingi ya Demokrasia ya kweli na Uhuru wa Mawazo.t