Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Huyu njaa kali tu.
Wakati wa uchaguzi 2015 aligombea ubunge jimbo la Bukoba mjini kupitia ACT ili avuruge uchaguzi wa upinzani. Alichopata anajua mwenyewe na hawezi kurudia.
Kwa taarifa yake tu hata apitie ccm hawezi pata kitu. Njaa inamsumbua sana. Nenda kwa herí ufie huko kisiasa.
Wakati wa uchaguzi 2015 aligombea ubunge jimbo la Bukoba mjini kupitia ACT ili avuruge uchaguzi wa upinzani. Alichopata anajua mwenyewe na hawezi kurudia.
Kwa taarifa yake tu hata apitie ccm hawezi pata kitu. Njaa inamsumbua sana. Nenda kwa herí ufie huko kisiasa.