Fahami ni nshomileHongera sana swahiba wangu Fahami Matsawili kwa maamuzi ya Busara, Hekima na uzalendo wa hali ya juu kwa kujiunga na chama cha mapinduzi CCM mapema leo.
Hakika wewe ni mmoja kati ya vijana wachache wasomi ambao si watumwa wa kifikra pia mmejaaliwa uzalendo wa hali ya juu kwa taifa hili la Tanzania.
Karibu sana CCM tujenge nchi pamoja katika misingi ya Demokrasia ya kweli na Uhuru wa Mawazo.tView attachment 408952
Huyu alikuwa Chadema kabla ya uchaguzi mkuu 2015 baadae akaondoka akaenda Act na akagombea ubunge Bukoba mjini, Leo yuko Ccm! Miaka 2 vyama 3! Hawa ndio waharibifu wa kisiasaKijana kabahatika kujichomoka mikononi mwa Waropokaji, wanao kula matapishi yao
Hahaha
MAGUFULI MUNGU AKULINDE ZAIDI
Huyu alikuwa Chadema mwaka Jana kabla ya uchaguzi mkuu, Karibia na uchaguzi akajiunga Act na akagombea ubunge Bukoba mjini kwa ticket ya ActHuyu ni nani?,amejiunga ccm kutoka Chama gani?..
Tetemeko litaleta mambo mengi, zile nafasi za mkurugenzi na RAS zitawatoa ngeu
Kuna wakati nilikuwa ninamwona akizunguka sana kwenye media, ukimsikiliza kwa makini hafichiki- ni miongoni mwa vijana ambao wanataka kuitumia siasa kuendesha maisha yao, I mean anataka afanikiwe kimaisha kupitia siasa wala hana malengo ya kutumia elimu kidogo aliyonayo kulisaidia taifa. Ndoto yake inaweza kufanikiwa sasa!Huyu alikuwa Chadema kabla ya uchaguzi mkuu 2015 baadae akaondoka akaenda Act na akagombea ubunge Bukoba mjini, Leo yuko Ccm! Miaka 2 vyama 3! Hawa ndio malaya wa kisiasa
Umenitoa tongotongo mkuuTetemeko litaleta mambo mengi, zile nafasi za mkurugenzi na RAS zitawatoa ngeu
.Hongera sana swahiba wangu Fahami Matsawili kwa maamuzi ya Busara, Hekima na uzalendo wa hali ya juu kwa kujiunga na chama cha mapinduzi CCM mapema leo.
Hakika wewe ni mmoja kati ya vijana wachache wasomi ambao si watumwa wa kifikra pia mmejaaliwa uzalendo wa hali ya juu kwa taifa hili la Tanzania.
Karibu sana CCM tujenge nchi pamoja katika misingi ya Demokrasia ya kweli na Uhuru wa Mawazo.tView attachment 408952
kwao wapo vizuri vyama vyote wamepitia kutakuwa kuna kitu wanatafuta bado hawajakipata ila huko alikoenda sio wala nini bora angeenda NLD au au chama cha jogoo mzee wa vunjoHuyu dogo nae kimeo tu, na sijawahi kumuelewa , Baba ake ni Diwani WA cuf kata Nyakibimbili na yeye mwanzoni alikuwa CHADEMA baadae akaamia ACT akagombea ubunge Bukoba Mjini akapigwa naona kaamua kuamia kwa CCM, Dogo ungetulia tu
Tetemeko litaleta mambo mengi, zile nafasi za mkurugenzi na RAS zitawatoa ngeu