Anazungumzia uhaba wa maji Dar, hii ahadi hata Jk aliizungumzia sana....Staili anayotumia Lipuma haitofautiani sana na ile ya JK, sina uhakika kama watu wanamwelewa vizuri
kazungumzia matatizo, ya maji na tatizo ya ajira, umeme na viwanda n.k....Lipumba anashindwa kutumia vizuri jukwaa hili kuwaconnvice watu hizi staili ya maelezo ni rahisi sana kwa Jk kupangua, Duni haji alianza vzr, huyu mwenyekiti anakosea direction aliyoianzisha duni haji
Sekondari za kata!! na matatizo ya elimu, hizi hoja ni nyepesi sana ni rahisi CCM kuandaa utetezi sbb watasema hizi ni challenge watakazokabiliana nalo watz wawape muda...attention ya wasikilizaji naona imeanza kupungua
Lipumba- Sekondari za kata zina lengo la kuwatenga vijana wa kitanzania ili vigogo waendelee kuwatawala,, hiizi tuhuma si sahihi sana anawapa credit CCm watazipangua kiurahisi
Lipumba ansema amesoma bure shula za Mission tabora, A level Pugu enzi hizo ikiwa ni St. Fransis
jamaa alipata zawadi ya vice cancellor UD.. Yote hayo aliyapata bure.
jamaa anaeleza alivyofundisha uchumi mavyuo makubwa makubwa hapa duniani.....jamaa ni prof wa uchumi wa ukweli..
Alimshauri hadi kofi annan hadi uchumi!!! Du! jamaa kakata nyanga za shule si mchezo
anarudia anaomba kura sbb alisoma bure na anataka urais watu wasome bure....chichiM wana kazi ya kupangua hoja hizi maana za CHADEMA walisema hazitekelezeki, sasa huyu kagongelea msumari hapo hapo
Anaomba kura ili watoto wa masikini wasome bure kama yeye, na anakumbusha watoto wa masikini ndio walikuwa wanawaburuza wale wa matajiri...
Ubaguzi: watoto wa maskini-shule za kata
watoto wa vigogo-shule za academy
Akichaguliwa ataanzisha matumizi ya computer hadi primary...Hii CCm, hawwezi kuipangua sbb hata wao wameahidi, wakikanusha nitawashangaa maana wakisema haliwezekani basi na wao walitudanganya
Anazungumzia hospitali sasa... na kuanisha matatizo ya kwenye afya... so far hadi sasa Lipumba hajasema atapataje hela za kulipia Afya na elimu bure, sbb wenzao Chadema wamesema watapunguza matumizi ya serikali na kudhibiti makusanyo ya kodi....sijamsikia Lipumba ila ngoja labda atasema.. huu ni ufa asipouziba CCm watasema hapo kuwa huwezi kutoa hilo bila kodi
Lupumba anataja kila eneo la ilani yao, to me this is wrong move sababu anashindwa kuelezea kwa makini...ndo maana CHADEMA wao wamekomaa na makazi na kudhibiti matumizi na kukomesha ufisadi..
Here we go..aneelezea vyanzo vya mapato sasa... itakuwa wanasoma JF tu hawa,,,, just kidding!!!
kodi za madini, wao watadai kutoka 3% hadi 30% kwenye mikataba
watasimamia matumizi ya kodi na kukancel matumizi ya rais nje
watabana kodi kwenye mafuta, wataziba mianya
anachambua posho za rais, na gharama za kuiweka ile jet ya prezidaa hewani, 1hour US$6000...Anachana safari za Jk
Anamchana JK kuwa ni matonya wa kimataifa......TBC1 watasema wametuna tu!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.