Huyu jamaa atakuwa ni mwana JF tu!... maana anazungumzia bei ya sukari na vituu vingine mkupanda kama iilivyo kwenye kwenye figure za post moja ya hapa JF
anzazungumzia ahadi za CCM na kuonyesha kitabu cha ahadi za CCM kama ilivyo kwenye kitabu cha ahadi kilivyoainishwa na ofisi ya waziri mkuu
baadi ya ahdi hewa:
Machimbo ya mawe mchuchuma,
barabara za kigoma
benki ya mikopo ya nyumba
kumaliza tatizo za umeme kigoma/kasulu
Du!! CCM weanakazi kubwa sana j'mosi ya kupangua hizi hoja
anamchana JK sasa na ahadi zake....Tabora kaoa hadi ya maji hajatekeleza na kaenda kaairudia tena!!
Du!!! Lipumba anashusha data za kutosha, anainisha matatizo ya CCM na ni kwanini wasichague CCM
watz tuna uranium zaidi ya US.. hili wanaojua watuhabarisha ukweli wake....matumizi ya Uranium ni umeme.. anawagusia Iran kutengeneza nuclea bombs!.... wakimsikia hawa jamaa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.