Tetesi: habari zilizopatikana hivi punde zinasema kuwa makati ya bunge ya hesabu za mashirika ya umma poac imekataa kuzipitisha hesabu za shirika la mamlaka ya mawasiliano TCRA kutokana na ubadhirifu mkubwa wa fedha ambao kamati imeubaini katika hesabu za shirika hilo, leo asubuhi wakati lilipopeleka hesabu zake kwa kamati hiyo ktk ofisi ndogo za bunge.
Kamati hiyo, ikiongozwa na makamu mkiti wa kamati hiyo Deo Filikunjombe, iliwajia juu, mwenyekiti wa bodi hiyo jaji mstaafu Chipeta, pamoja na uongozi wa mamlaka hiyo kwa kutumia zaidi ya tshs. 27 bilioni kinyume na taratibu za manunuzi.
Maeneo ambayo wajumbe wa kamati walihoji matumizi ni malipo ya zaidi ya tshs mil 700 yaliyofanywa na DG wa shirika hilo bila idhini ya bodi, na malipo ya usd 350 kila mwezi kwa wajumbe wa bodi kinyume na taratibu, na malipo ya tshs. Mil 600 toka vodacom kwa TCRA ambayo hayakuwemo kwenye vitabu vya shirika.
Mengine ni ujenzi wa jengo la mawasiliano towers kwa bei ambayo ni inflated toka tshs bil. 27 mpaka tshs. bil. 44 kinyume na maelekezo ya consultant aliyesema jengo hilo lisizidi bil. 27
Habari zilizopatikana hivi punde ni kwamba maafisa wa shirika hilo wamekuwa wakihaha kwenye vyombo vya habari kuwataka wasiitoe story hiyo kwenye media zao.
My take: si vema kwa mamlaka kama ya TCRA kuwarubuni newsroom ili waue stori
Kamati hiyo, ikiongozwa na makamu mkiti wa kamati hiyo Deo Filikunjombe, iliwajia juu, mwenyekiti wa bodi hiyo jaji mstaafu Chipeta, pamoja na uongozi wa mamlaka hiyo kwa kutumia zaidi ya tshs. 27 bilioni kinyume na taratibu za manunuzi.
Maeneo ambayo wajumbe wa kamati walihoji matumizi ni malipo ya zaidi ya tshs mil 700 yaliyofanywa na DG wa shirika hilo bila idhini ya bodi, na malipo ya usd 350 kila mwezi kwa wajumbe wa bodi kinyume na taratibu, na malipo ya tshs. Mil 600 toka vodacom kwa TCRA ambayo hayakuwemo kwenye vitabu vya shirika.
Mengine ni ujenzi wa jengo la mawasiliano towers kwa bei ambayo ni inflated toka tshs bil. 27 mpaka tshs. bil. 44 kinyume na maelekezo ya consultant aliyesema jengo hilo lisizidi bil. 27
Habari zilizopatikana hivi punde ni kwamba maafisa wa shirika hilo wamekuwa wakihaha kwenye vyombo vya habari kuwataka wasiitoe story hiyo kwenye media zao.
My take: si vema kwa mamlaka kama ya TCRA kuwarubuni newsroom ili waue stori