- Thread starter
- #21
sasa LUDOVICK UTTOH anafanya kazi gani?
CAG ndiye aliyeyabaini hayo madudu.
Na hizo usd. 350 walizokuwa wakilipana wajumbe wa bodi ni kwaajili ya vocha za simu tu Kwa wajumbe wa bodi achilia mbalimbali marupurupu mengine wanayojilipa.