annamwombeki
Member
- Jul 31, 2015
- 38
- 5
katetemeshwa na kukosa hewa kwani watu ni wengi mno mahaba yanamuua rais wetu mpenzi
Akiwa Rais muandae fungu la kutosha la matibabu
Leo mida ya mchana mgombea wa UKAWA Lowasa amejikongoja kuhutubia kwa Dakika 11 ila alianza kutetemeka hadi akaangusha Mic alijifanya mjanja kushika mwenyewe
Lakini hakuwa akitetemeka kama huyu kiasi ya kudhani kama amefungwa motor ya kichinaKikwete alishawahi kudondoka kabisa jukwaani,na alishinda Urais,we una shangaa kudondosha mic!
Huyo ndo Rais kwa taarifa yako
CCM kwa majungu..vipi chenge kanadiwa na magufuli au ndoto ya mahakama ya mafisadi imekufa
Leo mida ya mchana mgombea wa UKAWA Lowasa amejikongoja kuhutubia kwa Dakika 11 ila alianza kutetemeka hadi akaangusha Mic alijifanya mjanja kushika mwenyewe
watasoma namba mwaka huu ccm hawajawah kukutana na balaa kama hii ya mwaka huu