james katto
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 385
- 128
Mpe ushirikiano mzee wetu na sisi kagera tunamsubiri kwa hamu,viva Lowasa!
Mgombea Urais kupitia UKAWA Edward Lowassa ameingia Manyoni asubuhi kwa kishindo kikubwa na kulakiwa na umati mkubwa wa watu uliokuwa unaimba Rais..Rais..Rais muda wote wa mkutano.
Lowassa aliuambia umati huo wa watu kwamba analifahamu tatizo kubwa la maji katika wilaya ya Manyoni na amewahakikishia wakazi wa wilaya hiyo kwamba atahakikisha wananchi watapata maji ya uhakika mara tu atakapoingia IKULU.
Lowassa aliwaambia wananchi wajitokeze kwa maelfu siku ya kupiga kura ili ushindi wake uwe wa uhakika ambapo umati huo ulijibu kwamba watalala vituoni usiku wa kuamkia siku ya kura.
Pichani chini:Umati uliomlaki Lowassa Manyoni
Hatariiiiiiiiiiiiiiiiii.
hiyo habari imekatwa maksudi ili kutotoa usawa wa alichokiongea huyo mwakilishi maana imepigwa picha ya mkato .
Pia inamsaidia lowassa kwakuwa iliyoonywa ni serikali na siyo edward lowassa ...
"kajifunze kiingerezq kwanza ili ujitambue!
Mimi kwa hasira pamoja na familia yangu kura Ukawa kutokana na huo ujinga wa EU.
Mpe ushirikiano mzee wetu na sisi kagera tunamsubiri kwa hamu,viva Lowasa!