Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

Ikiwa ni siku tulivu kabisa mhe. Ngoyai anatarajiwa kuwasili mjini Singida mishale ya saa sita akitokea mkoani Dodoma ampapo atafanya mkutano wa kihistoria kwenye viwanja vya peoples kuanzia saa 10 jioni. Maandalizi yamekamilika mji mzima ni shamra shamra kuashiria uwepo wa kiongozi mkubwa.
……………………………………………………………………………………

Nimeshapiga kambi hapa uwanjani kwa ajili ya kuwaletea updates kwa kila kitakachokuwa kinajiri.
……………

Stay tunes for updates and photos

Lowassa chaguo la wengi
 
CCM kwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa


Yaani ya Jana Dodoma, na leo SINGIDA....basi, wala hakuna haja ya CCM kuongea tena, CCM imeshakufaaaaa...

Lowassa, Ukawa, mpango wa Mungu...

Yaani, watu kama UTITIRIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII... jamanii...!!!✌✌✌✌

Endeleeni kujifariji tu
 
Leo mida ya mchana mgombea wa UKAWA Lowasa amejikongoja kuhutubia kwa Dakika 11 ila alianza kutetemeka hadi akaangusha Mic alijifanya mjanja kushika mwenyewe


Yaani hata mkisema lowasa anakula watu sisi huyo huyo tunamchagua
 
Huyu apa
 

Attachments

  • 1442069746119.jpg
    1442069746119.jpg
    31.4 KB · Views: 509
Akiwa Rais muandae fungu la kutosha la matibabu

bora fungu la matibabu kuliko fungu la wakuu wa wilaya na kina sepetunga.we love our president with all heart and if we love someone we don care about the past expect the future.Lowassa gooooooo!!!!
 
Leo kaongea dk mbili hahahahaha....Lowsa kweli mgonjwa.

Mkuu mi naomba kura yako kwa kamanda lowasa..kama nyomi zote hizo zinafuata dk zake mbili za kuongea maanake haya ni maajabu ya Mungu.. usisubiri muujiza wa 2015 mkubwa kama huu kuwa mmoja wapo wa muujiza..nakushukuru sana kwa kura yako Mungu akuzidishie na akupatie maisha bora km ya riziwani
 
Kumbe ni wewe mmachame fisadi utatumika sana na mafisadi ila huwezi kutudanganya wadanganye wajinga wenzako.

hawa si ndo walikatwa,wana maahasira,wengine waliachwa na system,sasa walitaraji lowasa hatakatwa ili akishinda warudi kwenye system,sasa alipokatwa wakamfaata ukawa...
hawakuwa wafuasi wa chama,bali wa mtu na hii inaonekana wako kimaslahi tu.
mtu kama laki si pesa,ama msalani,wote hawa walikuwa ccm kimaslahi na wanahasira ya kutupwa nje ya system,ndo maana wameanzisha kauli mbiu eti hata akiwa mahututi watamchagua....



bavicha nao bila kujua wamenasa na wanaimba wimbo huo huo........
 
Leo mida ya mchana mgombea wa UKAWA Lowasa amejikongoja kuhutubia kwa Dakika 11 ila alianza kutetemeka hadi akaangusha Mic alijifanya mjanja kushika mwenyewe

Kumbe alidondosha MIC,..Wewe mara ngapi unadondosha kimba kwenye choo chenu cha shimo hapo kwenu?
 
Back
Top Bottom