Ikiwa ni siku tulivu kabisa mhe. Ngoyai anatarajiwa kuwasili mjini Singida mishale ya saa sita akitokea mkoani Dodoma ampapo atafanya mkutano wa kihistoria kwenye viwanja vya peoples kuanzia saa 10 jioni. Maandalizi yamekamilika mji mzima ni shamra shamra kuashiria uwepo wa kiongozi mkubwa.
Nimeshapiga kambi hapa uwanjani kwa ajili ya kuwaletea updates kwa kila kitakachokuwa kinajiri.
Stay tunes for updates and photos
Lowassa chaguo la wengi