Ni mpumbavu tu na mvivu wa kufikiri anayeweza kuamini kuwa EU president anaweza kuandika upuuzi huu!
RIP Kamanda mtoi mapambano yanaendelea
Mkuu tafadhali naomba kujuzwa......Mtoi huyu ni Kamanda Mohamed Mtoi?
Huyo huyo mkuu
Huyo huyo mkuu
UN wanamuogopa EL na hata kabla ya kampeni kuanza walishaanza chokochoko. We will decide the destin of our country.