Chibolo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 4,982
- 6,465
Ikiwa ni siku tulivu kabisa mhe. Ngoyai anatarajiwa kuwasili mjini Singida mishale ya saa sita akitokea mkoani Dodoma ampapo atafanya mkutano wa kihistoria kwenye viwanja vya peoples kuanzia saa 10 jioni. Maandalizi yamekamilika mji mzima ni shamra shamra kuashiria uwepo wa kiongozi mkubwa.
……………………………………………………………………………………
Nimeshapiga kambi hapa uwanjani kwa ajili ya kuwaletea updates kwa kila kitakachokuwa kinajiri.
……………
Stay tunes for updates and photos
……………………………………………………………………………………
Nimeshapiga kambi hapa uwanjani kwa ajili ya kuwaletea updates kwa kila kitakachokuwa kinajiri.
……………
Stay tunes for updates and photos
Mgombea Urais kupitia UKAWA Edward Lowassa ameingia Manyoni asubuhi kwa kishindo kikubwa na kulakiwa na umati mkubwa wa watu uliokuwa unaimba Rais..Rais..Rais muda wote wa mkutano.
Lowassa aliuambia umati huo wa watu kwamba analifahamu tatizo kubwa la maji katika wilaya ya Manyoni na amewahakikishia wakazi wa wilaya hiyo kwamba atahakikisha wananchi watapata maji ya uhakika mara tu atakapoingia IKULU.
Lowassa aliwaambia wananchi wajitokeze kwa maelfu siku ya kupiga kura ili ushindi wake uwe wa uhakika ambapo umati huo ulijibu kwamba watalala vituoni usiku wa kuamkia siku ya kura.
Pichani chini:Umati uliomlaki Lowassa Manyoni